TANROADS Mkoa wa Kilimanjaro ifuatilie malori yanayobeba soda kutoka kiwanda cha Bonite Bottlers kwenda Arusha usiku, yanazidisha uzito

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Somo limeeleweka.

Tanroads fuatilieni malori ya kutoka kiwanda cha soda cha bonite bottlers Moshi , yanayochukua soda kiwandani hapo kupeleka Arusha wanaharibu barabara kwa kuzidisha uzito na Hakuna mizani ya kuyapima malori hayo Kati ya barabara ya Moshi kwenda arusha.

Cha kushangaza na kufurahisha malori hayo huwa yanaanza safari saa moja jioni kuelekea arusha na kurudisha chupa tupu Kesho yake asubuhi.

Tanroads Kilimanjaro babaraba zinaharibika Kila siku hawajawafanya utafiti ni kwanini.

Fuatilieni sasa Mpatie sababu.

Ninaomba kuwasilisha
 
Barabara zinahujumiwa,kujengwa chini ya viwango,kuzidishiwa mizigo
 
Ila hiyo barabara ya Moshi Arusha imesimama. Sijui ni contractor gani alitengeneza ile, ni moja ya lami zenye ubora wa juu kabisa, miaka mingi iko intact, japo nina miaka kadhaa lakini sijaja tena huko, vipi siku hizi mkuu hiyo barabara imeanza ku crak?
 
Mkuu soda sio nzito na haziwezi kuharibu barabara..hapo tatizo ni barabara imejengwa chini ya kiwango....huku tunduma gari zinabeba copper ambayo ni nzito sana na barabara haiharibiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Kwan unataka Barabara iharibike papo hapo, life span ya Barabara lazma iishe mapema. Kudumu Kwa road kunaisha mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…