TANROADS Mkoa wa Kilimanjaro ifuatilie malori yanayobeba soda kutoka kiwanda cha Bonite Bottlers kwenda Arusha usiku, yanazidisha uzito

TANROADS Mkoa wa Kilimanjaro ifuatilie malori yanayobeba soda kutoka kiwanda cha Bonite Bottlers kwenda Arusha usiku, yanazidisha uzito

Mkuu soda sio nzito na haziwezi kuharibu barabara..hapo tatizo ni barabara imejengwa chini ya kiwango....huku tunduma gari zinabeba copper ambayo ni nzito sana na barabara haiharibiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulivyocomment ni sawa mtu anabishana kokoto kilo 5 na pamba kilo saa ipo nzito...... mtu anasema pamba ni nyepesi hahaha....

Uzito ni uzito regardless of material carried. Kama kopa imepimwa na haijazidi uzito huwezi sema soda haziwezi kuzidi uzito wa kopa.
So funny...
 
Back
Top Bottom