TANROADS na TRC wekeni matuta kwenye makutano ya barabara na njia za treni; Alama na ishara hazitoshi maeneo hayo

TANROADS na TRC wekeni matuta kwenye makutano ya barabara na njia za treni; Alama na ishara hazitoshi maeneo hayo

Pale Morogoro karibu na Tanesco kuna crossway sign na matuta kila upande lakini panatafuna watu na magari kila mwaka kadhalika maeneo mengine mengi tu Tanga, Dar ni hivyo, wakiweka mifumo ya umeme ni salama, mbona wana vibanda vya walinzi mle kwenye crossway wanalinda nini zaidi ya kuvutia wanawake usiku mle
Ooh wanawake tena! Ama kweli wanawake wanavutiwa na vingi hadi mabanda?
 
Ndo utalinganisha sasa kati ya gari kuharibika AU kufanywa chapati na wewe kupoteza maisha na pengine mtapoteza wengi
Tujifunze kuheshimu alama za barabarani....

Tabata relini hapo hakuna tuta ila hakuna ajali. Ni kuheshimu alama. Full stop.
 
Wenzetu wanawezaje kutumia barabara bila kuweka matuta,milima
Aise

Ova
 
Pale Morogoro karibu na Tanesco kuna crossway sign na matuta kila upande lakini panatafuna watu na magari kila mwaka kadhalika maeneo mengine mengi tu Tanga, Dar ni hivyo, wakiweka mifumo ya umeme ni salama, mbona wana vibanda vya walinzi mle kwenye crossway wanalinda nini zaidi ya kuvutia wanawake usiku mle
Kuna ajali imetokea jana Kati ya kiberenge na gari. Gari imesagwa kabisa dereva kafariki, nafikiri ni hapo ulipopataja.
 
Umenikumbusha project yangu ya pale FoE, UDSM enzi hizo... Nilitengeneza protype ya hii kitu..!! LAKINI zile projects huwa zinaishia pale.

Na kuna vijana walitengeneza ya LUKU kwamba ukinunua luku kwa simu, wakala au TANESCO wenyewe, huna haja ya kuingiza zile namba kwenye mita au kirimoti chake, ukishanunua tu umeme unaingia straight kwenye mita yako
aiseee pole sana hii ndio Tanzania ata waliosoma wana akili sawa na ambao hawajasoma. Kwaiyo kuwa support na kutumia hizo project zenu waliona kama vile mtafaidi sana
 
Kuna ajali imetokea jana Kati ya kiberenge na gari. Gari imesagwa kabisa dereva kafariki, nafikiri ni hapo ulipopataja.
Duh hatari sana huo mzinga inaelekea ulikuwa siyo wa inchi hii
 
Toa mfano hai sio watoa lawama. TRC wako vizuri kuzingatia usalama wa watumiaji wote wa reli na barabara
 
Mtu kuigonga treni ni uzembe wa huyo mtu
 
kwenye hii treni ya kisasa ni bora waweke vizuizi kabisa vya kujifunga na kufunguka au traffic light.
 
Back
Top Bottom