Ooh wanawake tena! Ama kweli wanawake wanavutiwa na vingi hadi mabanda?Pale Morogoro karibu na Tanesco kuna crossway sign na matuta kila upande lakini panatafuna watu na magari kila mwaka kadhalika maeneo mengine mengi tu Tanga, Dar ni hivyo, wakiweka mifumo ya umeme ni salama, mbona wana vibanda vya walinzi mle kwenye crossway wanalinda nini zaidi ya kuvutia wanawake usiku mle
Tujifunze kuheshimu alama za barabarani....Ndo utalinganisha sasa kati ya gari kuharibika AU kufanywa chapati na wewe kupoteza maisha na pengine mtapoteza wengi
Matuta yanaua sana shockup na vifaa vingine kwenye gari. Pia yanaharibu barabara sana. Angalia sehemu nyingi zenye matuta na yanapita magari makubwa utakuta barabara imebonyea.Hapana hatujui embu tujuze mpendwa
Kuna ajali imetokea jana Kati ya kiberenge na gari. Gari imesagwa kabisa dereva kafariki, nafikiri ni hapo ulipopataja.Pale Morogoro karibu na Tanesco kuna crossway sign na matuta kila upande lakini panatafuna watu na magari kila mwaka kadhalika maeneo mengine mengi tu Tanga, Dar ni hivyo, wakiweka mifumo ya umeme ni salama, mbona wana vibanda vya walinzi mle kwenye crossway wanalinda nini zaidi ya kuvutia wanawake usiku mle
Madereva wana akili timamu.Wenzetu wanawezaje kutumia barabara bila kuweka matuta,milima
Aise
Ova
aiseee pole sana hii ndio Tanzania ata waliosoma wana akili sawa na ambao hawajasoma. Kwaiyo kuwa support na kutumia hizo project zenu waliona kama vile mtafaidi sanaUmenikumbusha project yangu ya pale FoE, UDSM enzi hizo... Nilitengeneza protype ya hii kitu..!! LAKINI zile projects huwa zinaishia pale.
Na kuna vijana walitengeneza ya LUKU kwamba ukinunua luku kwa simu, wakala au TANESCO wenyewe, huna haja ya kuingiza zile namba kwenye mita au kirimoti chake, ukishanunua tu umeme unaingia straight kwenye mita yako
Duh hatari sana huo mzinga inaelekea ulikuwa siyo wa inchi hiiKuna ajali imetokea jana Kati ya kiberenge na gari. Gari imesagwa kabisa dereva kafariki, nafikiri ni hapo ulipopataja.
Ni kweli KiongoziKuna ajali imetokea jana Kati ya kiberenge na gari. Gari imesagwa kabisa dereva kafariki, nafikiri ni hapo ulipopataja.
Kutingwa siyo kitu kidogo MkuuOoh wanawake tena! Ama kweli wanawake wanavutiwa na vingi hadi mabanda?
Teh teh ina maana bongo ndiyo vileMadereva wana akili timamu.
How mfano sip watia lawama tuKuna uzembe mwingi unafanywa na Shirika la reli, baadhi ya maeneo kuna majani marefu kama msitu na ni ngumu kuona kama treni inakuja
Toa mfano hai sio watoa lawama. TRC wako vizuri kuzingatia usalama wa watumiaji wote wa reli na barabara
Kama upepokwenye hii treni ya kisasa ni bora waweke vizuizi kabisa vya kujifunga na kufunguka au traffic light.