TANROADS sasa mkae mguu sawa

CAG alikuwa Chief Accountant wa Tanroads......usisahau hilo bwashee!
Ila we jamaa bana.

Kidogo kidogo unawahama mataga.

Hahahhahahahahahahaha yani mi nakufatilia sana comments na post zako siku mbili hizi ni kama unataka tukuamini amini kuwa
Miiiii ni mwenzenu!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyu Hayati JPM" Aliwaona Walimu Wetu kama Mayaya. Anasema Mwl asiguse hela ya mchango...dah. Kauli dharau kabisa ile....
 
Mkuu Yuko njia panda huyo!
 
Na wkt ule akimtendea ubaya ule Assad nyie bootlickers mkawa mkimsifia Magu kwa kumuita Chuma cha pua,jiwe,mwamba hahah.
Watanzania wanafki mnooo binafsi sincerely sijawahi kumkubali jiwe hata nukta moja
 
Inauma sana
 
Rubbish
 
Usiwatishe Magufuli bado yupo hakuwa wa kuwafanya chochote
 
Nimemsikia Rais Mama Samia kuwa sasa anataka kuona miradi ya barabara ikikaguliwa na CAG.

TANROADS mkae mguu sawa.
 

Mrejesho tafadhali. Pana lolote limeahafanyika kwenye alivyosema mama kuhusu hawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…