TANROADS sasa mkae mguu sawa

TANROADS sasa mkae mguu sawa

Hawezi kumuondoa labda atumie ubabe kama Yule mwendazake aliyemlazimisha Pr Assad astaafu Kwa lazima

Mkuu Matanga shukrani kwa ufafanuzi ILA Rais wetu wa JMT Mh. Samia Sululu hasani si anaweza kumpa CAG wa sasa ubalozi hata huko New York ili iwe kama njia ya kumwondoa nchini? Je CAG akishamaliza muda wake mamlaka ya uteuzi inaweza kumteua tena baada ya kupita miaka fulani?

Ahsante
 
Mantiki ya mfugale na kijazi kupewa jina la daraja la tazara na ubungo imekaa kiswahiba zaidi kuliko hali halisi kama washikaji na sio kimantiki ya usahii wa vigezo vya upewaji majina.
Sahihi majina halisi yarejeshwe.Tazara fly over na ubungo flyover.
Ni wivu tu 😁
 
Nazisubiri sana post za ndg yetu aliyesubiria uteuzi muda mrefu bila mafanikio Pascal Mayala
Maana alishakuwa chizi siku hizi muda wote anashinda humu kusifia tu kuhusu magu
Bora aende tu mbutu kwa yeriko akamfunze kulima bamia,kama hakupata teuzi awamu ya tano hali cv ikiwemo kabila vinambeba asahau.
 
Mkuu Matanga shukrani kwa ufafanuzi ILA Rais wetu wa JMT Mh. Samia Sululu hasani si anaweza kumpa CAG wa sasa ubalozi hata huko New York ili iwe kama njia ya kumwondoa nchini? Je CAG akishamaliza muda wake mamlaka ya uteuzi inaweza kumteua tena baada ya kupita miaka fulani?

Ahsante
Unamzungumzia Pr Assad kwamba apewe tena nafasi hiyo?? Maana kwangu mm huyo jamaa alikuwa mzuri sana mwenye weredi wa hali ya juu sana sema ukweli wake kuhusu ile 1.5tril ndy ukamuondoa niliumia sana kwakweli
 
Nazisubiri sana post za ndg yetu aliyesubiria uteuzi muda mrefu bila mafanikio Pascal Mayala
Maana alishakuwa chizi siku hizi muda wote anashinda humu kusifia tu kuhusu magu
Hilo ni kubwa jinga!!
 
Kwani aliposema awapeleki maendeleo kwa wapinzani, aliposema safarii hii awakosei, aliposema uvccm wamekuwa wapole Sana jeshi lao KILA kitu chao,alipotoa kauli za kintarahamwe ulikuwa ujazaliwa nini?
Mtakoma Tunawapelekea Moto ule ule nani kawaambia kuna ahueni?
 
Huko tanrod kwa mfugale inatakiwa lipite kabisa fagio la chuma na msasa wa chuma walikingiwa kifua sana.Huko ndo kiwanda cha ufisadi kimelala tujue usalama wa fedha zetu.
 
Kwa miaka hii sita, TANROADS imetoa viongozi wengi katika fani mbali mbali nchini.
Nani asiyejua kuwa ni TANROADS ambao walikuwa nguvu kubwa ya mheshimiwa Magufui hadi kushika madaraka ya Urais.

Nguvu ya TANROADS imetumika kisiasa na tumeona wafanya kazi wa TANROADS wakipelekwa sehemu mbali mbali za uongzi katika awamu ya tano.
Hiyo ilikuwa kama shukrani ya muheshimiwa.

Siyo bure kwamba lile daraja la TAZARA pale limtunikiwa jina la Mfugale wa TANROADS.
Hatukuwahi kusikia mahesbu ya CAG yakiigusa vibaya TANROADS kwa muda wote wa awamu ya tano.

Sasa mambo yameanza kubadilika, kaingia rais wa sita Mama Samia.

Mtu wa kwanza kuenguliwa ni Eng Kakoko wa TPA-Bandari.
Alikuwa meneja wa Mkoa TANROADS huyu
Hili siyo bure- walikuwa untouchables.

Nimemsikia Rais Mama Samia kuwa sasa anataka kuona miradi ya barabara ikikaguliwa na CAG.

TANROADS mkae mguu sawa.
Hapa kuna ufisadi mkubwa sana, kama wakifanya ukaguzi wa miaka mitano ya nyuma watakugundua jiwe na genge lake wamekula sana ela za nchi hii.
 
Ufisadi unatoka wapi hapo?

Charles Kicheere ni mtu muadilifu sana!
Magu bwana...[emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210328-162203.jpg
Screenshot_20210328-145853.jpg
 
Kwa miaka hii sita, TANROADS imetoa viongozi wengi katika fani mbali mbali nchini.
Nani asiyejua kuwa ni TANROADS ambao walikuwa nguvu kubwa ya mheshimiwa Magufui hadi kushika madaraka ya Urais.

Nguvu ya TANROADS imetumika kisiasa na tumeona wafanya kazi wa TANROADS wakipelekwa sehemu mbali mbali za uongzi katika awamu ya tano.
Hiyo ilikuwa kama shukrani ya muheshimiwa.

Siyo bure kwamba lile daraja la TAZARA pale limtunikiwa jina la Mfugale wa TANROADS.
Hatukuwahi kusikia mahesbu ya CAG yakiigusa vibaya TANROADS kwa muda wote wa awamu ya tano.

Sasa mambo yameanza kubadilika, kaingia rais wa sita Mama Samia.

Mtu wa kwanza kuenguliwa ni Eng Kakoko wa TPA-Bandari.
Alikuwa meneja wa Mkoa TANROADS huyu
Hili siyo bure- walikuwa untouchables.

Nimemsikia Rais Mama Samia kuwa sasa anataka kuona miradi ya barabara ikikaguliwa na CAG.

TANROADS mkae mguu sawa.
Kimenuka !
 
hawa Tanroasds walibebwa sana na Magu, ndio akina kakoko hawa wababe kupindukia ulizeni TPA
 
Jamaa alimchukia vya kutosha Assad

Hata siku ya kumuapisha Kicheere alikataa Assad asialikwe Ikulu Ikulu kwny sherehe…hakujua kuwa kuna Viumbe vimeumbwa kwa ajili ya kumsujudia Mungu pekee
Hawezi kumuondoa labda atumie ubabe kama Yule mwendazake aliyemlazimisha Pr Assad astaafu Kwa lazima
 
Back
Top Bottom