TANROADS sasa mkae mguu sawa

TANROADS sasa mkae mguu sawa

Ole Sabaya kiboko ya Mbowe
Angekuwa kiboko asingelia kama mtoto mdogo machozi hadi kidevuniView attachment 1737593
download%20(1).jpg
 
Mh Raisi jana alimwambia CAG mashirika ya umma kama hayafanyi vizuri ataje asipepese ulimi
 
Huko ndio ibilisi Jiwe na genge wamepora matilioni , haki nakuambia Zanzimana kapora sana hii nchi na vibaraka wake .
 
Mpaka mfugale kapewa Jina la uwanja huko chato et Mfugale city.....
 
Jamaa alimchukia vya kutosha Assad

Hata siku ya kumuapisha Kicheere alikataa Assad asialikwe Ikulu Ikulu kwny sherehe…hakujua kuwa kuna Viumbe vimeumbwa kwa ajili ya kumsujudia Mungu pekee
Na wkt ule akimtendea ubaya ule Assad nyie bootlickers mkawa mkimsifia Magu kwa kumuita Chuma cha pua,jiwe,mwamba hahah.
 
Hii taasisi ina ufisadi sana.

Nashauri mama Samia asiishie kwenye ukaguzi wa mahesabu tu, aingie mpaka kwenye technical audit.

Hamtaani madudu mtakayoona na kupigwa
 
Tunamfahamu Eng Koroso mtu mtaratibu asiye na tamaa, na mkimya.
Sema yuko wrong place , wrong time.

Sawa hatukatai ustaarabu wa Eng. Korosso, tatizo ni jinsi Jiwe alivyokuwa hajali suitability ya watu alipokuwa anagawa vyeo; to him LOYALTY was paramount, ndio maana akawajaza watu aliotoka nao TANROADS na TANZANIA BUILDING AGENCY!! Hawa ndio walikuwa wasiri wake.
 
Sawa hatukatai ustaarabu wa Eng. Korosso, tatizo ni jinsi Jiwe alivyokuwa hajali suitability ya watu alipokuwa anagawa vyeo; to him LOYALTY was paramount, ndio maana akawajaza watu aliotoka nao TANROADS na TANZANIA BUILDING AGENCY!! Hawa ndio walikuwa wasiri wake.
Alikuwa Reg Manager Mwanza miaka hiyoo, and he was a good guy.
Alifanya kazi nzuri.
Mwacheni!
 
Hii taasisi ina ufisadi sana.

Nashauri mama Samia asiishie kwenye ukaguzi wa mahesabu tu, aingie mpaka kwenye technical audit.

Hamtaani madudu mtakayoona na kupigwa
TANROADS Generally katika mashirika ya umma imeperform vizuri zaidi kuliko Taasisi nyingi.
Ndio maana JPM aliiamini.
Kama kuna matatizo yapo ni kwa uchunguzi tu ndio mtu anawea kusema.
Tatizo la TAROADS kama ilivyosema huko yuma , i ile kuwa KING MAKER!
Wengine hawatalipenda kwa hilo maana, hata JPM aliwiwa kurudisha fadhila kwa waliomuwezesa.
Kama kuna makosa ni ya mtu biafsi kama tulivyoona kwa Eng Kakoko.
Ni hilo tu!!
 
TANROADS Generally katika mashirika ya umma imeperform vizuri zaidi kuliko Taasisi nyingi.
Ndio maana JPM aliiamini.
Kama kuna matatizo yapo ni kwa uchunguzi tu ndio mtu anawea kusema.
Tatizo la TAROADS kama ilivyosema huko yuma , i ile kuwa KING MAKER!
Wengine hawatalipenda kwa hilo maana, hata JPM aliwiwa kurudisha fadhila kwa waliomuwezesa.
Kama kuna makosa ni ya mtu biafsi kama tulivyoona kwa Eng Kakoko.
Ni hilo tu!!
Aliiamini yeye,siyo sisi.
 
Kwani aliposema awapeleki maendeleo kwa wapinzani, aliposema safarii hii awakosei, aliposema uvccm wamekuwa wapole Sana jeshi lao KILA kitu chao,alipotoa kauli za kintarahamwe ulikuwa ujazaliwa nini?
Ninauliza tu. Kwa kauli hizi mbona tuliendelea kumsifu nikiwammojawapo. Nani alitufunga macho tusione haya yote?
 
Back
Top Bottom