Tanzania 0-1 Uganda, kipigo kilikuwa ni haki yetu Watanzania, kwa sababu hizi....

Tanzania 0-1 Uganda, kipigo kilikuwa ni haki yetu Watanzania, kwa sababu hizi....

Hata ule ushindi tulioupata kipindi kile kusaka tiketi ya kushiriki mashindano ya Afrika ulikuwa ni ushindi wa mchongo lakini kiuhalisia uganga hatuwawezi,nchi yetu sijui ina laana gani wakati tuna Amani pia tuna rasilimali za kutosha lakini bado tuna umaskini wa kutupwa, kwenye michezo tupo taabani yaani mtu unajiuliza unashindwa kupata jibu,kila kiongozi akiingia madarakani anajifanya kupambana na ufisadi kumbe lenyewe ndilo limekubuhu sasa ole wako ujitie kiherehere kuhoji hoji wiki haipiti utaokotwa ukiwa kwenye kiroba.
 
Tatizo la Taifa Stars no yule kocha. Huyu kocha anafaa akafundishe black viba ya morogoro na siyo timu yetu ya taifa
 
Tanzania mambo ya mpira tungeachana nayo tufanye mambo mengine. Hayo hatuyawezi
Mimi nilikuwa na wazo kama lako tuachane na mpira kama india ila kila ikifika siku ya ratiba ya kucheza national team kila mtu apewe GB 2 za bure tulambe asali na kumwagilia moyo kuliko kutumia gharama kwa hawa wachezaji wasiojielewa.
 
Hivi Eswatin ina raia wangapi
Na tumetoka pale PTA ambapo timu yetu ya taifa ya netball ilikua ni vichekesho vitupu, eti tunafungwa na Eswatini!!,aibu na iwe mwisho kuwa na coach mwanajeshi hawezi hata kujieleza kwa kiswahili, shame!!
 
Ukweli timu ya Uganda imewekeza Kwa wachezaji vijana academy, ni mchezaji Gani wa Tanzania angeweza kuchukua mpira akawa na utulivu akapiga chenga na kufunga kama yule mganda mchawi ni uwekezaji wetu Kwa timu za vijana
Wewe ndio umeongea mpira wetu unaongozwa kihuni huni na wajanja wajanja, Uganda wamewekeza sana kwenye soka la vijana.
 
Nashauri timu ya Taifa Tanzania iundwe ki style ya football club.
 
Shida Usimba na Uyanga mwingi sana kwenye soka letu
Mpaka na hapa kwenye comment za wadau zinaonyesha Usimba na Uyanga wa wazi wazi
 
Tatizo la Taifa Stars no yule kocha. Huyu kocha anafaa akafundishe black viba ya morogoro na siyo timu yetu ya taifa
E u wacha kutukosea heshima watu wa mororgoro, huyo kocha hana uwezo wa kufundisha black viba
 
Huyu kabaha ndio kaleta hii gundu
IMG_20220828_185914.jpg
 
Timu ijayo wachaguliwe wengine wasiwekwe mchezaji wa Simba na Yanga humo hata mmoja. Halafu Samatta aache kuchezea timu ya Taifa ni upuuzi mtupu.
 
Kama mtu mwenye akili huwezi mpanga Farid Musa ukamuacha nje Tepsie
 
Back
Top Bottom