Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Sawa basi wameingia vijana under 20 Boko na NyoniWe ni mjinga ,siku zote unaleta uyanga tu kwenye kila kitu ,acha upumbavu hii ni mechi ya taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa basi wameingia vijana under 20 Boko na NyoniWe ni mjinga ,siku zote unaleta uyanga tu kwenye kila kitu ,acha upumbavu hii ni mechi ya taifa
Bangi mbaya , tunacheza tu kama tupo mchanganiTuna safari ndefu sana aisee
Mandi,Gidewari ,Dareda,ShamnaDabil kijiji kimoja huko Dareda mkoani Manyara
Kocha mpya wa Simba yupo jukwaani anashuhudia Simba inavyopopolewa.Congo 2 simba 0
Yeah, Simba inacheza na timu za taifaKocha mpya wa Simba yupo jukwaani anashuhudia Simba inavyopopolewa.