Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Hii timu bado sana... Ukiwasikiliza wanasiasa uchwara wanavyoongea utadhani kuna timu ya maana....
 
Kilichobaki ni yale mahesabu ya fulani akifungwa na fulani alafu sisi tukamfunga fulani tunafuzu

Tuendelee kuiombea sitazi wafuzu kombe la dunia..


IMG_20211111_172829_566.jpg
 
Tumeshatolewa hapo hakuna jipya tena, endeleeni kufurahia chenga zenu tu, kumbe kuwafunga Benin kwao ilikuwa kubahatisha tu
 
Hivi hatuwezi kuwapa uraia akina Bangala, Inonga and co.? Kama tulivyofanya kwa Kibu.
 
Yaan tangia Utopolo alivyo tia NUKSI ktk kiwanja cha BWM (Lupaso) basi mambo sio mambo siku izi ktk kile kiwanja. Si mnakumbuka Utopolo walipigwa na ile timu ya zambia ! Basi vipigo vimekuwa vikifululiza pale. ....itabidi waambiwe utopolo waende waende wakatoe tunguri walizo zizika pale
Ujinga tu,nyie mumefungwa hapo kwa Mkapa,na
Yanga
Galaxy
Tp mazembe
 
Back
Top Bottom