ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
Hii timu bado sana... Ukiwasikiliza wanasiasa uchwara wanavyoongea utadhani kuna timu ya maana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waganga wa yanga wanaharibu sana huu uwanjaLupaso pashakuwa pagumu kwa timu za Tanzania
Uwanja umejaa mizimu na mapepoWaganga wa yanga wanaharibu sana huu uwanja
Labla UNAFIKIHii nchi sijui tujivunie nini
Katika ubora wake yaani...Kila la kheri kichwa cha mwendawazimu
Bangi mbaya , tunacheza tu kama tupo mchangani
Ujinga tu,nyie mumefungwa hapo kwa Mkapa,naYaan tangia Utopolo alivyo tia NUKSI ktk kiwanja cha BWM (Lupaso) basi mambo sio mambo siku izi ktk kile kiwanja. Si mnakumbuka Utopolo walipigwa na ile timu ya zambia ! Basi vipigo vimekuwa vikifululiza pale. ....itabidi waambiwe utopolo waende waende wakatoe tunguri walizo zizika pale