Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Shughuri imeisha, turudi kwenye ligi yetu ya Nbc.

Ligi yetu sasa hivi wanatamba Wacongo, sasa National team yao tunaiwezaje? Tuwe wakweli jameni.
Hilo nalo nenooo.....🤣

Halafu wakongo wanaocheza ligi yetu hawapo katika KIKOSI CHA KWANZA....

Tujipange tutafika 🙏
 
Wiki nzima kabla ya mechi ya Stars na DRC kulikuwa na pilikapilika za ofisi ya Waziri Mkuu kuhangaika na ahadi kedekede kwa Stars ikiwa watashinda game hii , INAFAHAMIKA MADHARA ya ahadi kama hizi kuelekea kwenye mechi muhimu kama hii , Matokeo yake ni tensheni ya kufa na kupona huku wachezaji wakiwaza ahadi walizopewa tu .

Iko haja sasa kwa TFF kudhibiti wanasiasa uchwara wanaotafuta umaarufu kupitia timu ya Taifa huku wakifahamika kwamba kwenye enzi zao hawakuwahi kupiga danadana hata mbili , wanaua morali ya wachezaji .
 
Back
Top Bottom