Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #281
Zimebaki dk 11' tunaweza tukasawazisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio suala la kuamua tu kuwapa, hadi nao wauhitaji. Kwani wamekwambia wanataka kuwa Watanzania?Hivi hatuwezi kuwapa uraia akina Bangala, Inonga and co.? Kama tulivyofanya kwa Kibu.
Servette -SwitzelandHuyu kipa wa DRC anacheza ligi gani wakulungwa..!?
Yaan Utopolo ni NUKSI gundu tupu, alafu li beki lenu ndio chanzo cha goli la kwanza kufungwaUjinga tu,nyie mumefungwa hapo kwa Mkapa,na
Yanga
Galaxy
Tp mazembe
Kubambikia watu kesi fake. Hatuwezi kubalikiwa, hii ni laana kwa awamu ya 6.Hii nchi sijui tujivunie nini
Hilo nalo nenooo.....🤣Shughuri imeisha, turudi kwenye ligi yetu ya Nbc.
Ligi yetu sasa hivi wanatamba Wacongo, sasa National team yao tunaiwezaje? Tuwe wakweli jameni.
Unataka tupate gori la nini sasaHatuwawezi na hatupati hata goli
Mmma nkamuIputagha nkamu
Kibu kakulia Tz sema tu alivyohamia Simba figisu zikaanzaSio suala la kuamua tu kuwapa, hadi nao wauhitaji. Kwani wamekwambia wanataka kuwa Watanzania?
Ndo ile kusema tukose woteKenya nao wana Nongwa sio la dunia hii.
Mkuu, hebu tueleze matokeo ya mechi kati ya wenyeji Taifa Stars dhidi ya timu ya taifa ya DRCMuongo wa Taifa alifata nini Pale Taifa.?
Hii ni hasira kali sana duuhGwa Nyokoooo
Aaaagh Bora nikanywe Bia tu na kupiga nyeto kuliko upuuzi huu
Mpira bongoooooo haya mkacheze singeli Huko na kupigana miti
Shwaini!
Viwili tumepigwa kavuMkuu, hebu tueleze matokeo ya mechi kati ya wenyeji Taifa Stars dhidi ya timu ya taifa ya DRC