Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Mbona Benin walitupiga kamoja nasi tukawapiga hako hako! Tukienda Kamanyola tunawapiga 3 kama wamesimama!Viwili tumepigwa kavu
Tatu mpaka sasaMkuu, hebu tueleze matokeo ya mechi kati ya wenyeji Taifa Stars dhidi ya timu ya taifa ya DRC
Kama uwanja umetiwa nuksi kwenye mechi ya Yanga dhidi ya Zesco, imekuaje timu ya Tanzania ikashinda kwenye uwanja huo huo dhidi ya Madagascar?Yaan tangia Utopolo alivyo tia NUKSI ktk kiwanja cha BWM (Lupaso) basi mambo sio mambo siku izi ktk kile kiwanja. Si mnakumbuka Utopolo walipigwa na ile timu ya zambia ! Basi vipigo vimekuwa vikifululiza pale. ....itabidi waambiwe utopolo waende waende wakatoe tunguri walizo zizika pale
Kivipi?Waganga wa yanga wanaharibu sana huu uwanja