Wizi + ufisadi + uongo + uvivuHii nchi sijui tujivunie nini
Tozo...mpaka wazungu wametuiga kwa hili la TozoHii nchi sijui tujivunie nini
[emoji23]Uwanja umejaa mizimu na mapepo
, [emoji23]Labda tufuzu kombe la dunia la drafti
Sio "DR LOVE PIMBI" wa gazeti la SANI?Jana Diblo Dibala akaenda hadi kutazama mazoezi lakini wapiii
Wamenitia aibuKila la kheri kichwa cha mwendawazimu
Kesi haijafika mwisho....
Hapo unayo hukumu yake?!!!!
Basi Watanzania tulivyo Washirikina, usikute hapa tunaombea Madagascar aifunge Benin, halafu mechi ya mwisho, sisi tuwafunge Madagascar halafu Benin watoe sare na DRC!!Sema tulijitahidi. View attachment 2007155
Na half time Benin anaongoza 1Basi Watanzania tulivyo Washirikina, usikute hapa tunaombea Madagascar aifunge Benin, halafu mechi ya mwisho, sisi tuwafunge Madagascar halafu Benin watoe sare na DRC!!
Yaani full upigaji ramli....