Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Tanzania 0-3 DR Congo | 2022 FIFA WC Qualifiers | Benjamin Mkapa Stadium

Zile hela walizowalazimisha wenye viwanda na matajir wachangie

Wafanyie Jambo la maana hata kujenga shule au hospital wasiwape hao wapuuuz tff wanasiasa na wachezaji
 
Tanesco huku kwetu walishikwa na machale mapema,
Halafu mbona wachezaji wetu mwenzao akiwa na mpira wanajificha?
 
Taarifa nzuri sana sababu TZ ktk vipaji vya soka na mikakati ya kuvitafuta na kuvitumia bado zaidi ya miaka 50 mbele.

Amini usiamini, Rwanda, Uganda, Zambia na hata Kenya wako juu zaidi kisoka kuliko TZ yetu iliyokaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia wake.

TZ tuendelee kutembea vifua mbele kwenye inshu za singeli na taarabu ila si soka la ushindani.
 
Leo kutakuwa na Mchezo wa Kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2022 pale Qatar, kati ya Tanzania dhidi ya DR Congo katika dimba la Benjamin Mkapa hapa Dar Es Salaam.

Taifa Stars wataingia dimbani wakitafuta point 3 muhimu ili waendelee kutengeneza mazingira mazuri ya kufuzu kombe la Dunia.

Ni mchezo muhimu sana, mechi itaanza saa 10:00 jioni na huu ndio uzi rasmi wa kuleta matangazo hapa, karibuni sana!!

=========

15' Mpira unaendelea uwanja wa Benjamin Mkapa, Time ya Taifa ya Congo inaongoza kwa goli moja lililofungwa dakika ya 6 na Gael Kakuta

66' Idumba anaipa Congo goli la pili, Tanzania 0-2 Congo

View attachment 2006949
Leo kutakuwa na Mchezo wa Kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2022 pale Qatar, kati ya Tanzania dhidi ya DR Congo katika dimba la Benjamin Mkapa hapa Dar Es Salaam.

Taifa Stars wataingia dimbani wakitafuta point 3 muhimu ili waendelee kutengeneza mazingira mazuri ya kufuzu kombe la Dunia.

Ni mchezo muhimu sana, mechi itaanza saa 10:00 jioni na huu ndio uzi rasmi wa kuleta matangazo hapa, karibuni sana!!

=========

15' Mpira unaendelea uwanja wa Benjamin Mkapa, Time ya Taifa ya Congo inaongoza kwa goli moja lililofungwa dakika ya 6 na Gael Kakuta

66' Idumba anaipa Congo goli la pili, Tanzania 0-2 Congo

View attachment 2006949

Nchi imejaa uchuro tushinde vipi?

Mahakamani makesi ya ajabu ajabu watu wanamshtakia Mungu mfululizo:

IMG_20211110_090602_953.jpg
 
Pengine kama Mh. Ndugai angalikuwa ndiye mgeni wa heshima, labda tungaliambulia suluhu [emoji849]
 
Mechi ambazo serikali huanza kujitapa na kuongea ongea ndo huwa zinaishia hivi, walipoenda Benin kimyakimya mbona walishinda? Siasa na utaalamu havichangamani, wakiambiwa turuhusu uraia pacha tupate hata akina Poulsen wanaocheza RB Reipzig (raia wetu walioko nchi nyingine) hawataki ila mpira wanataka kushinda.
Imagine hao akina Inonga, Shaban Djuma, Mukoko, Mayele, Kisinda, hawana namba DRC, wangekuwa Tz wana viwango vyetu vya timu ya Taifa, je tulidhani tutawafunga kimiujiza?

Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
 
Masikini hadi dada yetu mchambuzi wa michezo UFM Salama Ngare anamwaga machozi.....daah Stars inatuumiza hii....😪😪
 
Back
Top Bottom