Tanzania 1 - 0 Afrika kusini, yatinga nusu fainali

Tanzania 1 - 0 Afrika kusini, yatinga nusu fainali

Wanakwambia.
"[HASHTAG]#Malinzi[/HASHTAG] amekaa sero siku 3 tu timu imefika nusu fainali je akikaa mwaka mmoja timu itafika fainali ya world cup"
 
Mimi nilikuwa naangalua kwa kutegea mara naweka mara natoa. Bafana Bafana walikuwa muda wowote warudishe. Wamepiga mpira mwingi sana kwa dakika nilizoangalia.

Labda Nidhamu ya uncle Magu imewaingia Vijana nao wanajituma kwa nafasi yao.

Hongera Taifa Stars
we muongo sana..nimeangalia tangu list zinatolewa
 
Hiyo sio CECAFA ni COSAFA ni michuano ya mataifa kutoka kusini mwa Africa. Tanzania ni wageni waalikwa
Kiongozi inachanganya kidogo [HASHTAG]#wageni[/HASHTAG] waalikwa ama washiriki waalikwa au timu alikwa
 
Jumanne saa 11 jioni tutasikia nyimbo hizi pacha

na
 
Timu ya taifa Tanzania Taifa Stars imetinga nusu fainali baada ya kuwafunga wenyeji South Africa au bafana bafana Goli 1 kwa nunge goli lililo pachikwa wavuni na mshambuliaji hatari Elias Maguli dakika ya 17 akipokea pasi nzuri kutoka kwa mzamiru yasni Wote tuseme hongera[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Watapambana na Zambia, Jumatano 5/7/2017. Taifa Stars hawakuonyesh mchezo wa Kiwango japo tumewafunga. Bafana walidharau na ndiyo kilichowagharimu kufungwa. Itabidi kujiandaa kisaikolojia na kimchezo kuwavaa wazambia kwani ni watata sana kimpira
 
Hongera sana wa nyumbani... endeleeni kutupa raha then mrudi na kikombe
 
Tumemtoa bingwa mtetezi na mwenyeji wa mashindano
 
Back
Top Bottom