Tanzania absolute poverty is on another level

Tanzania absolute poverty is on another level

Baada ya kuishi ughaibuni kwa muda mrefu sasa nimerudi home nakuta maisha ya Watanzania ni mabovu sana, elimu duni, bidhaa bei juu, kweli Tanzania is a grave of poverty.
Mkuu kwani ulitembelea wapi

Pili mara ya mwisho umekuja bongo ulikuwa mwaka gani?

Umaskini upo Elimu yetu bado sana tunaungaunga lakini kuna unafuu sehemu na sehemu

Ukizungumzia swala la AFYA ni Tatizo kushindwa kuelezea

Nchi imekaribisha waganga wa kienyeji toka China Korea ni balaa wanapiga pesa ndefu na serikali ipo tu inawaangalia( kuna clinic moja ipo njia panda kuelekea Ubungo Kibangu ya Wakorea mbuzi) wanajitajirisha usiku na mchana

Corruption inatumaliza
 
Baada ya kuishi ughaibuni kwa muda mrefu sasa nimerudi home nakuta maisha ya Watanzania ni mabovu sana, elimu duni, bidhaa bei juu, kweli Tanzania is a grave of poverty.
Hongera kwa kuishi ughaibuni, wewe ni mTanzania wa pekee sana kuwahi kuishi ubeberuni.
 
Ujinga mzigo....yani umeona uje utuambie kuwa na ww umenda ughaibuni [emoji848] mbona ni mambo ya kawaida ww...acha ulimbukeni....Tz maskini ? Kwaiyo ndicho ulicho jifunza icho? Aiseee
Kwani amedanganya? Kwani TZ ni tajiri?
 
Baada ya kuishi ughaibuni kwa muda mrefu sasa nimerudi home nakuta maisha ya Watanzania ni mabovu sana, elimu duni, bidhaa bei juu, kweli Tanzania is a grave of poverty.
Mkuu endelea kugonga hao Watanzania wenzako. Unafurahisha sana.
 
MTU aliyetoka ughaibuni hashangai bei za vitu kuwa juu . Hushangaa kwa nini parachichi linauzwa Tsh 500/ wakati uingereza linauzwa Tsh 10,000/
Hushangaa kiwanja kinauzwa laki 3, wakati ughaibuni hakuna kiwanja cha kununua .
MTU wa ughaibuni hutamani life style yetu , je wewe umetoka ughaibuni ya wapi?
Don't compare developed country with poor country like Tanzania
 
Hehehe hizi nyuzi, halafu kama kawaida comments hadi raha.

Watu wakiambiwa ukweli wanang'aka balaa!
 
Baada ya kuishi ughaibuni kwa muda mrefu sasa nimerudi home nakuta maisha ya Watanzania ni mabovu sana, elimu duni, bidhaa bei juu, kweli Tanzania is a grave of poverty.
Umerudi na nini?
Au majigambo tu,Ruge alizaliwa USA,akarudi bongo,akaanzisha Clouds media,wewe unatuletea masimango na kejeri.una nini wewe,nguo,simu ya gharama na vidola kadhaa?!!pls stop motherfucking us,our life is none of ur fucking business,go do ur own fucking thing,don't give us fucking shit,we ain't goner fucking take it,mind ur own fucking life,if with ur "uhaibuni life"u ain't goner fucking help us to have better life,shut ur fucking mouth.
 
Back
Top Bottom