- Thread starter
- #201
Kuwa na heshima basiKwani Magufuli alikuwa na nini cha maana zaidi ya mwenyewe kuwa mwizi na kundi lake dogo alilolichagua?
Acheni kuabudu mzoga !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na heshima basiKwani Magufuli alikuwa na nini cha maana zaidi ya mwenyewe kuwa mwizi na kundi lake dogo alilolichagua?
Acheni kuabudu mzoga !!
Umesema kweli ndugu. Ubarikiwe.Habari JF, Ukitaka kuliongoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali. maono na Mwenye msimamo. Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-
1. Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi
2. Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .
3. Wanapenda starehe sana
Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .
Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .
Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Mwaka wa pili tu wa magufuli nchi ikaingia uchumi wa kati wa chumi za dunia. Baada ya hapo likatokea janga la corona ukuaji uchumi ukashuka toka 7% hadi 4.5%. kiasi bado kizuri kufuatana na jpm alivyomanage covid. Nchi nyingi mfano uganda na kenya ukuaji ulikua chini sana 2% au kua hasi. Uganda kenya majirani wlidhurika sana. Kwa hivyo comment yako ni uongo tu haina mashiko.Pia kipindi cha Magufuli ndio uchumi wetu ulikuwa kwa spidi ndogo zaidi kuliko cha Kikwete na Mkapa, aliharibu zaidi kuliko alivyosaidia
Siŵezi kumheshimu mtu alibaka binti yake wa kuzaa hatimaye binti akanywa sumu kiogopa aibu mwaka 2012. Siwezi kuheshimu mtu alimzalisha mdogo wa mke wake JanetKuwa na heshima basi
Nadhani kuna haja ya kuwa na akiba ya maneno .Siŵezi kumheshimu mtu alibaka binti yake wa kuzaa hatimaye binti akanywa sumu kiogopa aibu mwaka 2012. Sowezi kuheshimu mtu alimzalisha mdogo wa mke wake Janet
Wewe unaona hayo sisi tunaona mambo chanya kutokana na uongozi wake. Ulimchukia kwa hivyo kila uongo na uzushi dhidi yake uliamini.Siŵezi kumheshimu mtu alibaka binti yake wa kuzaa hatimaye binti akanywa sumu kiogopa aibu mwaka 2012. Sowezi kuheshimu mtu alimzalisha mdogo wa mke wake Janet
Upo sahihi kabisa lakini kumpata asiye MUUAJI inategemeana na tafsiri Kwa mfano Kwa Sasa hatusikii kutekwa,kuuwawa au kupigwa RISASI lakini tunapoacha wahamiaji haramu wanaingia Nchini na kupora Ardhi haya NI Mauaji ya Aina nyingine tunapoachia wafanya magendo waingize kila Aina ya Sumu Nchini nao huo ni uuaji wa namna nyingine unapo kwenda kukosa haki yako Mahakamani au Polisi ni uuaji ulioboreshwa.
Leo ukitoa taarifa ya muhalifu unageuka Kuwa muhalifu unapo iba DAWA za kuwatibu MASKINI huu ni uuaji Sawa na uuaji mwingine.
Tuliombee Taifa letu hivi hawa watu wanayoyafanya Serikalini ingekuwa kipindi kile cha kabla ya Kristo ata baadaye adhabu yake ingekuwa nini? Hivi si TULIAMBIWA kwenye SHAMBA sharti magugu yang'olewe?
Ili iweje kwa mfano? Yule mwendazake alikuwa ni kichaa full!!Nadhani kuna haja ya kuwa na akiba ya maneno .
Wewe unekuwa kipofu omekufanya habari usizozijua udhanie ni uwongo. Ipokee hivyo hivyo japo chungu kumeza. Magufuli alikuwa shetaniWewe unaona hayo sisi tunaona mambo chanya kutokana na uongozi wake. Ulimchukia kwa hivyo kila uongo na uzushi dhidi yake uliamini.
sawaIli iweje kwa mfano? Yule mwendazake alikuwa ni kichaa full!!