Tanzania bado nchi masikini sana, kwa miaka 8 watanzania wameagiza magari 561,875

Namjua mzee mmoja huko daslam ana nyumba 300 lakini anatembelea pikipiki,
Baada ya kuuliza sana nikaambiwa akihitaji gari anakodisha lakini hamiliki
Kumiliki nyumba pia ni indicator ya uwezo wa juu wa kiuchumi wa mtu.. Kuna mtu hawezi hata kukodi gari, yeye uwezo wake ni bodaboda au baiskeli. Lakini pia inategemea ni nyumba za aina gani? Za miti na juu nyasi? All in all indicators za kufanya wealth ranking mojawapo ni kumiliki nyumba...
 
Tulikuwa bize kuwasaidia wenzetu wajikomboe na kuwa nchi huru na kuwafukuza wakoloni [emoji23] [emoji23]
 
Hauelewi chochote kuhusu kodi kubwa wanazozisema wadau.
Kabisa, pia inategemea na umakini kwenye kununua kwa mtu, mimi gari ya kwanza nilinunua kwa mtu wa pili na niliitumia miaka 7 bila shida yoyote (ukiondoa minor services) mpaka nilipoiuza ili kununua nyingine..
 
Hivi shetani aliyepanga kodi ya kamkomeni namna hiyo bado hajafa?

Vyovyote iwevyo, kwanini wabunge wasi review kodi hii ya kinyang'au na kuipigia kelele mpaka kikaeleweka?
Wabunge hawawezi coz wao wanapewa milioni 200 mkopo wa gari na mengineyo... Wakijifanya kutetea sana wanaitwa kwenye kamati zao na kupigwa mkwara
 
Kwa ulimwengu wa SAsa ant dumping ni useless principal.sababu antidumping uja kumezwa na scrapping principal yaani kitu au gari likifika mwisho linaenda screpa kukatwa chuma chakavu then linarudi kiwandani kama raw materials ya kuzalisha tena gari.
Sahihi kabisa, hebu kwa mfano hapa Tanzania ni wapi huko utakuta migari chakavu imetupwa kama Ulaya? Mwezi uliopita nilikuwa Morogoro, Kihonda naelekea Veta. Kuna jamaa mmoja baada ya kupiga pombe sana pale Wallet Pub akatoka na gari yake mpya tuu Toyota Premio kama sikosei.. Alikuwa spidi hatari, akawa anaeakosa kosa watu njiani na bodaboda. Kufika maeneo ya shule ya msingi NOTO akamgonga boda boda aliyekuwa na abiria na kuwaumiza, na gari inaingia kwenye kimtaro. Dakika tuu bodaboda wskajaa na kumuweka kati na kwenye hizo purukushani gari ikawaka moto yoooteee na ikawa screpa.. Jamaa kwa kuchanganyikiwa akawa anarudi mjini kwa mguu. Asubuhi napita nikakuta ile screpa imeshanyofolewa kila kitu imebaki fremu tuu, na yenyewe after 3 days imebebwa... [emoji23] [emoji23]
 
Umesahau kwamba mpaka miaka ya karibuni piki piki na magari yalikua yana share number. Means kama ingekua kama sasa kwamba gari zisimame zenyewe inawezekana namba E ingesogea mpaka miaka 4 mbele, so piga hesabu upya.
Mkuu kwani zile za pikipiki hazikua replace na gari?

Basi kweli kama ndio hivyo namba D ingeweza kuja mwaka 2027, yaani tuangize gari 517k kwa miaka 13.

Hii nchi bado masikini sana. Maisha ni magumu sana.
 
Hata hayo 500000+ bado pikipiki nyingi zilichangia hiyo D kukimbia zaidi, maana hadi 2013 pikipiki zilikuwa zatumia D
 
Na wengi Sasa eti wanasubir namba E ianze ndo waagize magar yao
 
Umesahau kwamba mpaka miaka ya karibuni piki piki na magari yalikua yana share number. Means kama ingekua kama sasa kwamba gari zisimame zenyewe inawezekana namba E ingesogea mpaka miaka 4 mbele, so piga hesabu upya.
Sijui waliogopa Nini?? Kwanza wanataka Txxx zikae mpaka lini. Wangeacha ziende pamoja, baada ya hpo wangeleta ubunifu mwingne wa namba
 

Gari zikiagizwa kwa wingi zitachochea pia biashara, KAZI na guess nyingine nyingine ambapo serikali itapata kodi kubwa zaidi.
 
Msema kweli mpenzi wa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…