DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
To be honest Watz 90% Bado tunaishi Maisha ya kuunga unga
Hiyo 10% ndo kidogo wanaishi Maisha Mazuri yenye Nafuu .
Mafuta yamepanda kidogo lakin watu wameamua kupaki Magari ndani huku wengine wakiomba msaada was kuchangiwa Mafuta .
Yaani nashangaa watu wanawatukana jobless lakin still na. Wao they live in extreme poverty.
Hiyo 10% ndo kidogo wanaishi Maisha Mazuri yenye Nafuu .
Mafuta yamepanda kidogo lakin watu wameamua kupaki Magari ndani huku wengine wakiomba msaada was kuchangiwa Mafuta .
Yaani nashangaa watu wanawatukana jobless lakin still na. Wao they live in extreme poverty.