Mahiga alikuja baada ya Amina Mohammed kuja mara mbili tena kwa machozi, soma vizuri uone nani napata maumivu ya sindano.Wenyewe mumemtuma waziri wenu Mahiga aje hadi Nairobi ili mazungumzo yafanyike, na tukafikia hatua ya kuruhusu sote turejee biashara kama ilivyokua, halafu aliporudi mkaendelea kutunisha misuli.
Amini usiamini kwamba Tanzania hata pamoja na ukubwa wake, inahitaji ushirikiano na Kenya kama jinsi tunahitaji kushirikiana nanyi. Haya mambo yenu ya kutubeep halafu tukiwapigia mnaanza kulialia, ipo siku yatawashinda.
Acha kukariri mambo weweAll those are outdated economic policies have no place in moderns international economies.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwaachie Northern Frontier na Uganda border mfanye nao biashara. Museveni lazma aanzishe upya mgogoro wa Migingo.i think its high time huu mpaka wa tz na kenya ufungwe kabisa kila mtu abaki tu kivyake...hizi sarakasi zimechosha sasa.kila mmoja atakula hasara yake lakini baada ya miaka kadhaa atakua amezoea na maisha yataendelea
museveni anaenda zake very soon...wind of change is starting to blow in ug.walikuwa wamelalia maskio muda mrefuTuwaachie Northern Frontier na Uganda border mfanye nao biashara. Museveni lazma aanzishe upya mgogoro wa Migingo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya biashara nyingine mimi sijawahi kufundishwa na Mkenya wala Mganda na kiingereza changu kiko sawa. Unapojenga accent sijui unamaanisha nn? Unapenda Kikuyu na Kalenjin accents kuliko swahili accent. Acha utani...[emoji15] [emoji115]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania is much flexible to change its business more to Rwanda, Mozambique, Zambiano ,DRC, Malawi, & soWenyewe mumemtuma waziri wenu Mahiga aje hadi Nairobi ili mazungumzo yafanyike, na tukafikia hatua ya kuruhusu sote turejee biashara kama ilivyokua, halafu aliporudi mkaendelea kutunisha misuli.
Amini usiamini kwamba Tanzania hata pamoja na ukubwa wake, inahitaji ushirikiano na Kenya kama jinsi tunahitaji kushirikiana nanyi. Haya mambo yenu ya kutubeep halafu tukiwapigia mnaanza kulialia, ipo siku yatawashinda.
Mlidhani JPM ni mchezo, na bado mtalia sn tu.
Tena JPM anza kukagua Nursury schools, Primary Schools, Secondary Schools, na Colleges/Universities uwarudishe wakenya wote kwao.
JPM ata wakong'ota subirini, huyu si JK. Si muli beep? Sasa mnapigiwa pokeeni..
JMP KAMATA WEZI
Ni wakati muafaka Kenya kutambua Tanzania ina viwanda vingi vya kutosha sasa hatuwezi kuingiza tu mibidhaa mingine ambayo huku inakosa wateja, tunalinda ajira na kodi.
Kwa hio na nyie KENYA mmeanza kujiweka level za USA&EU mnaweza kuiwekea TZ vikwazo,hahah maajabu matupu haya
Tombatomba idevice Model TH 45
Fukuza wote!! Yaani Watz 40 kwa Wakenya 4000 una ona akili? Warudi wachukue hizi za Wakenya 4000 tutakao fukuza.Kuna watanzania wengi tu wako Kenya na wana Fanya kazi au biashara au wanasoma anataka na wao wafukuzwe? Tuache roho za kimaskini hazitufikishi popote.
Mbona walimu wa English language wazuri tupo tu hapa hapa tz kwa JPM nipm tunegotiate usikariri vya nje ndo bora utakuwa ni mtumwa wa kifikrakenya haijawahi kuishinda tz kwa figisu hata siku moja. tukiamu akupigana ban kwenye vitu watakaoathirika zaidi ni wakenya kuliko watz ambao wataathirika kidogo. hata hivyo, sipendi relationship ya aina hii kati ya nchi mbili. binafsi nina mpango kufungua shule muda si mrefu kwaajili ya watoto na kikwazo changu kikubwa na waalimu wa kenya kuja kufundisha tz, I will need to pay permit for each one of them kama $2000 kwa mwaka, hiyo ni hela nyingi ukilinganisha na mishahara nitakayowapa plus ada watoto watalipa.worse enough watz wanaoweza kuongea kiingereza hawawezi kukubali kuajiriwa kufundisha watoto, pia kiingereza cha kenya ni kizuri (accent) kuliko cha Uganda. ningepata waalimu wa kenya hata watano tu ambayo ni sawa na milioni za tz 20ml kwa mwaka kuwalipia permit tu. kwa kitendo hicho Tz tumefanya kitu kibaya sana....we are blocking our own education.
Nani anayeanzisha huu mnyukano kila mara? Huku Tz miaka hii tuna JPM kuweni makini sana.Kuna watanzania wengi tu wako Kenya na wana Fanya kazi au biashara au wanasoma anataka na wao wafukuzwe? Tuache roho za kimaskini hazitufikishi popote.
Sio ya Kenya EAC, ni rahisi kwa ninyi wakenya kutoka lakini si Tanzania.Na simtoke EAC.
Sio kosa unanjaa kichwani
tukue to honest....tz ndio iko na shida.kuna kauoga fulani mko nako kwa kenya sijui ni kanini.Nani anayeanzisha huu mnyukano kila mara? Huku Tz miaka hii tuna JPM kuweni makini sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fukuza wote!! Yaani Watz 40 kwa Wakenya 4000 una ona akili? Warudi wachukue hizi za Wakenya 4000 tutakao fukuza.
JPM KAMATA WEZI
Huu upuuzi wako ndio wakenya wakekuwa waki take advantage!!Heri umaskini wa Mali kuliko wa akili.