Kitakachofuata ni kuzuia magari ya Kenya yasikanyage aridhi ya Tanzania, tunataka limao na mchele vipande hadi wananchi waandamane dadek. Tutaheshimiana tu. Tunataka limao moja itoke 20ksh hadi 200ksh. Nyie ni maskini tena mnaishi nyumba ya vioo, ni wa kutuzingua sisi?Hehehe hako kamzee ka chato ni moto wakuotewa mbali
Unless mban other airlines ha ha ha ambapo watakuwa wanatua direct to its destinationhuyu mzee atakufa na stress bure tu. hana akili kabisa. sasa dar is slum na zanzi bar si zitakuwa upungufu wa watalii?
Hafu tunamsingizia Magu. Huyo ni mkurugenzi wa tcaa. Kenya haijawahi kujibiwa na waziri, size yao ni wakuu wa mikoa na wakurugenzi wa mamlaka tu. Kwa rais mbali sana teh tehHata Mimi nahisi vivyo sidhani kama mh Magu ndio ataishia hapa tu
Ha ha ha kuna Qatar, Ethiopia, swis, rwandair and much more. Tunawanyima biashara lkn wagen wapo pale pale kwa mashirika menginenyingi hizo huleta watalii tzee soo poaa tu[emoji23][emoji1360]..wataishia maasai mara na kisha mombasaaa!!!
Watalii watakuja direct Tanzania kwani mtalii ili aje Tanzania lazima apite Nairobihuyu mzee atakufa na stress bure tu. hana akili kabisa. sasa dar is slum na zanzi bar si zitakuwa upungufu wa watalii?
Mutajua tu kama kituko magu au huyo chapombe wenuaisee, Magu ni kituko kweli kweli!
Ndege zinazotumika na watalii ni hizo tuu?huyu mzee atakufa na stress bure tu. hana akili kabisa. sasa dar is slum na zanzi bar si zitakuwa upungufu wa watalii?
Hao watalii watapungua kusafiri na KQ Kwa kua wanajua kabisa hawatoweza ingia Tz watawapata ambao walipanga kwenda Kenya tu na kurudi Kwa maana hiyo hata safari za huko ulaya zitaathirika na kuchukua nafac Ethiopia na. Rwanda airnyingi hizo huleta watalii tzee soo poaa tu[emoji23][emoji1360]..wataishia maasai mara na kisha mombasaaa!!!
Na washa fanya retrenchment kwa KQHao watalii watapungua kusafiri na KQ Kwa kua wanajua kabisa hawatoweza ingia Tz watawapata ambao walipanga kwenda Kenya tu na kurudi Kwa maana hiyo hata safari za huko ulaya zitaathirika na kuchukua nafac Ethiopia na. Rwanda air
Viongozi wa KQ wakilala wakiamka wanawaza bongo tu , utasikia mgogoro na TANZANIA umeshatatuliwa hahahaha sisi ndo Kwanza tunakaz bolt ya piliNa washa fanya retrenchment kwa KQ
Lazima ajulikane nani ni baba katka ukanda huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee, Magu ni kituko kweli kweli!
Napende sana magu anavyodili na nyie ny'angauaisee, Magu ni kituko kweli kweli!
Haiwezi kupita Wiki mbili lazima Kenya itasalimu amri, kinyume na hapo kuna uwezekano mkubwa tukazuia magari ya mizigo kuingia toka Kenyanyingi hizo huleta watalii tzee soo poaa tu[emoji23][emoji1360]..wataishia maasai mara na kisha mombasaaa!!!
Inaonyesha ni jinsi gani walivyo wapumbavu.Harafu uongoz wa Kenya kama unavuta bangi ,sasa uwakatae watu kwasababu ya ugonjwa ila kwao unapiga mahesabu ya kwenda inamaa wakija wao ugonjwa hawapati ila tukienda cc ndio wanapata hii inaonesha jinsi gani Wakenya walivyo wabaguzi na wana roho mbaya
kwanini awatangazie!?!? kwani nyinyi ni mabubu? mbona musipambane kivyenu na Kenya ipambane kivyake bila kulaumiana. hivi sasa ndio napata picha kamili kuwa "Wabongo hutumia asilimia moja ya akili zao".Aseee... yani hoteli za kenya ndio zinakwenda kukaliwa na popo hivyo...watalii wengi wanaofika kenya lazima wapite Bongo. Sasa kwa hali hii naona watakuja direct.
Mpaka uhuru aitishe press aseme Tanzania ni safe hakuna covid ndio tuwasamehe..atutangazie hadi kwa mabeberu huko kuwa Tz its safe. Kama walivyoleta propaganda uchwara kuwa tunaficha ugonjwa. Akanushe aseme tuko safe.
mlala hoi kama wewe na wenzako ndio mutaumiaNapende sana magu anavyodili na nyie ny'angau
Hahahaha, muda sio mrefu tutapata majibu, relax brothermlala hoi kama wewe na wenzako ndio mutaumia