Umeona unavyoropoka as if hujui chochote kuhusu Tanzanian politics, nani aliyekuambia kuna mwanasiasa anaweza mtoa Magu kwenye kiti? Hakuna uchaguzi ulikuwa moto km wa 2015 na km upinzani ulishindwa kuitoa ccm mwaka 2015 ambapo madudu yalikuwa mengi hawataweza kwa miala ya hv karibuni, Tz co kenya mtanzania co mkenya mtanzania anatumia akili zote za kuambiwa anachanganya na zake, Lisu yuko vzr upstairs lkn hatoshi kwa Magu hata yeye mwenyewe anajua hilo yn lisu hawezi kuongoza nchi wkt Magu yupo, na co Lisu tu kiongozi yeyote Afrika hii angekuwa na bahati mby sn km angelizaliwa Tz ya ss cz baba wa Afrika yupo Tz.
Unawezaje kumpa mtu ajaribu kazi wakati tayari una mfanyakazi ambaye ni mzoefu na anapatikana kwa pesa ndogo? Km utakubali hilo basi wewe utakuwa umerogwa.
Yani tumpe nchi Lisu ili agundue nn wakati mambo yote aliyokuwa anayaimba miaka yote imefanyika ndani ya miaka mitano na yapo mengine hakuwahi kuyaota wala kuyagusia lkn yamefanyika kwa muda mfupi, ss unadhani cc ni wajinga eti tuiharibu nchi yetu tuliyotumia nguvu nyingi kuifikisha hapa kwa kelele za wasiojitambua mfano wako? Umechelewa sana na ofcz reaction unazopata kupitia kwa WaTz wa humu walio wengi should tell you something unique about our vision kwmb tumemuelewa sn Magu so msishangae hata baada ya muda wake tungamuongeza 10 nyingine ili azidi kuwalaza njaa na kuwapumulia matakoni [emoji3][emoji3]