Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akishiba mbege anamini bila wao nchi haiendiHAya ni mawazo ya mtu ambae hata form 4 hajasoma
Hapana ni kawaida tu kwasababu kama ni biashara Kwasasa makabila yote wanafanyaWachaga ni figure muhimu sana kwenye hii nchi, tusilete utani
Ukweli upi mzee? Nchi ya wachuuzi hii ina maajabu gani?Ukweli unauma
mbona mji wao wa Moshi umedumaa km mtoto mwenye kwashiakor? Wachaga nchi hii ni wachuuzi tu waliohamia maeneo yenye neema. Ni wakwepa kodi, biashara za magendo hiyo nchi itaendelea na nini. Mchaga maana yake ni shida, ni dhiki. Wamshukuru baba wa Taifa kutujengea utaifa vinginevyo hayo majinga yangekuwa mafukara ya kutupwa. Tuambia ni wapi wachaga wamepaendeleza nchi hii, wachaga huhamia sehemu ambayo tayari imeendela. Nenda kwao hasa Rombo kulivyo na umaskini. Mwisho mnaumwa ugonjwa wa kutojiamini ndio maana mnakesha na kushindamitandaoni kujaribu kujikweza for nothing.Habarini!
Kama ni mtu uliyezunguka angalau robo tatu ya hii nchi na ukiangalia biashara kubwa kubwa zinazoingiza mapato ya pesa nyingi serkalini basi kama siyo mmiliki ni mchaga basi wachaga hao hao kwa kiasi kikubwa wanachangia kwenye mzunguko wa hyo biashara kwa kufanya manunuzi ya Hali ya juu au hyo huduma wanaitumia kwa kiasi kikubwa sana kuliko makabila mengine.
Mfano kwenye biashara ya pombe, wachaga hapa ni changanyikeni. Yaani Kuna wanaokunywa Kila aina za pombe including zile za Bei kubwa kubwa mpaka kwenye pombe za chini kabisa, they are active.
Ukija kwenye suala la biashara wanazofanya wachaga ni kianzia zile top kwa uchangiaji wa pato la taifa mpaka the lowest businesses kwenye uchangiaji wachaga wapi pia.
Ukija kwenye suala la starehe. Sote tunajua starehe ni gharama, ili uonekane unapenda starehe lazima uwe na pesa na kwenye starehe ndyo nchi inanufaika zaidi kuingiza mapato. Mfano kwenye hotels, mchaga hata kama pesa yake ni ya kuunga UNGA lazima atafanya vitu vya starehe tu ambavyo mishori wake ni kuingizia serikali mapato.
Ukija kwenye suala la kufanya kazi😛amoja na kwamba watu wengi wanaogopa kufanya kazi na wachaga kwa kuhofia kuibiwa lakini Hawa watu kazi wanafanya ase, Kuna muda huwa nawafananisha na wachina, hawachoki. Mimi binafsi Bora mtu anafanya kazi hata akiniibia najua ataiba kwa akili lakini unakutana na mtu ni mvivu wa kazi lakini anaiba kama kawaida, sasa kipi Bora hapo?
we bwege ujifunze uchafu gani kwa hao mafukara wanaoishi km wakimbizi ndani ya nchi? Wachaga ni wahamiaji wasio haramuHakuna ukabila , tunaomgelea vitu vilivyopo. Tunapaswa kujifunza
mbona mji wao wa Moshi umedumaa km mtoto mwenye kwashiakor? Wachaga nchi hii ni wachuuzi tu waliohamia maeneo yenye neema. Ni wakwepa kodi, biashara za magendo hiyo nchi itaendelea na nini. Mchaga maana yake ni shida, ni dhiki. Wamshukuru baba wa Taifa kutujengea utaifa vinginevyo hayo majinga yangekuwa mafukara ya kutupwa. Tuambia ni wapi wachaga wamepaendeleza nchi hii, wachaga huhamia sehemu ambayo tayari imeendela. Nenda kwao hasa Rombo kulivyo na umaskini. Mwisho mnaumwa ugonjwa wa kutojiamini ndio maana mnakesha na kushindamitandaoni kujaribu kujikweza for nothing.
Kwenye kazi wachaga ni wavivu, mtu anashinda dukani au baa amezalisha nini, mchaga yupu mkulima, yupi mfugaji, yupi mvuvi? Haalafu acha upuuzi wachaga hawaendeshi ht 10% ya biashara ya nchi hii. Inaonekana umelewa zile pombe zenu za Romb
Mkuu inaonekana presha yako ipo juu sana em pumzika kidogo alafu urudi tenambona mji wao wa Moshi umedumaa km mtoto mwenye kwashiakor? Wachaga nchi hii ni wachuuzi tu waliohamia maeneo yenye neema. Ni wakwepa kodi, biashara za magendo hiyo nchi itaendelea na nini. Mchaga maana yake ni shida, ni dhiki. Wamshukuru baba wa Taifa kutujengea utaifa vinginevyo hayo majinga yangekuwa mafukara ya kutupwa. Tuambia ni wapi wachaga wamepaendeleza nchi hii, wachaga huhamia sehemu ambayo tayari imeendela. Nenda kwao hasa Rombo kulivyo na umaskini. Mwisho mnaumwa ugonjwa wa kutojiamini ndio maana mnakesha na kushindamitandaoni kujaribu kujikweza for nothing.
Kwenye kazi wachaga ni wavivu, mtu anashinda dukani au baa amezalisha nini, mchaga yupu mkulima, yupi mfugaji, yupi mvuvi? Haalafu acha upuuzi wachaga hawaendeshi ht 10% ya biashara ya nchi hii. Inaonekana umelewa zile pombe zenu za Rombo.
Abaana ba Ruhinda! 🚮Au mmeona watutsi kule Rwanda mnataka na nyie mji design km special people hapa Tz? It won't happen that way.
Kabisa mkuu, ujinga ni adui namba moja kwa mtu mweusi, kuna watu wanaandika humu mtu ubaki unajiuliza ni hizi ID fake tuu au sonona.Ujinga kama huu ndio ulisababisha Rwanda genocide