Tanzania, Burundi and DRC to construct a standard gauge railway

Tanzania, Burundi and DRC to construct a standard gauge railway

DR Congo the poorest country in the world itaweza kujenga SGR kama hata haina uwezo wa kujenga lami nje ya city zao? Unakuta lami ziko tu kwenye cities lakini nje ya city ni barabara mpararo. Halafu Burundi hata sitaki kuongelea maana bado wanatwangana, wao pia ni masikini wa kutupwa. Hawataweza kujenga SGR.
Unaita nchi zingine masikini utafikiri hiyo Sgr yenu mlijenga kwa pesa zenu.
 
Mwakenya ni selfish mno wanahis watu hawawez kisa wao wamekopa, wel until it blows up on their faces kama sgr yetu
Ninazungumzia kuhusu Tanzania kuweza kujenga SGR kwa kutumia pesa yako, wote mlisema Tanzania ni nchi masikini sana haina uwezo wa kujenga SGR ya umeme kwa kutumia pesa yake yenyewe, sasa hivi mnasema DRC ni masikini haina uwezo wa kupata mkopo.
 
Tunaandaa pesa za safar mwakani tu apo sio mbal kwa mambo mazur kama haya tutasubir tu ata miaka mia
nakubaliana na wewe asilimia mia kwa mia. kwa sasa tanzania haina ubavu wa kujenga esjiarr labda baada ya miaka mia moja kutoka sasa kama ulivyokiri. shukran sana bro kwa kuliweka jambo hilo wazi. mwenye macho aone na mwenye masikio asikie.
shukran tena na tena
 
Ninazungumzia kuhusu Tanzania kuweza kujenga SGR kwa kutumia pesa yako, wote mlisema Tanzania ni nchi masikini sana haina uwezo wa kujenga SGR ya umeme kwa kutumia pesa yake yenyewe, sasa hivi mnasema DRC ni masikini haina uwezo wa kupata mkopo.
Nyie msijidharau nyie mko sawa. Hivi hujui nyie ni top 10 economy in Africa? Mtajilinganisha aje na DRC au Burundi? Ndio mna uwezo wa kujenga kilomita mia mbili ya SGR ya umeme bila kutumia mkopo kama vile sisi tunajenga Lamu port bila kutumia mkopo.
 
Cha kwanza we sio mtanzania, cha pili uwezo wa kujenga wanao, investers wappo hawakosekani hata wachina wapo watachukua tenda
Wachina sio wajinga. Wanajua nani wa kukopesha na nani sio wa kukopesha. Burundi ambayo state house ya rais wao wamejengewa bure na China ndio wataweza kulipa mkopo?
 
Cha kwanza we sio mtanzania, cha pili uwezo wa kujenga wanao, investers wappo hawakosekani hata wachina wapo watachukua tenda

Aibu hii! Kwako wewe anaechukua tenda na akiwa na uwezo wa kujenga ndie financier? Na "investers" ndio nini?
You are a certified potato.
 
Wachina sio wajinga. Wanajua nani wa kukopesha na nani sio wa kukopesha. Burundi ambayo state house ya rais wao wamejengewa bure na China ndio wataweza kulipa mkopo?

Save your efforts; that nincompoop won't understand anything you tell him/her/it (as the case maybe).
 
Back
Top Bottom