Tanzania Demoted back to LDC Status

Kwani per capita inapatikanaje kama sio kwa kuanza na GNI?! Btw, ina maana unataka kujificha kwenye typing error kwa kuandika "per" badala ya "by" kama ambavyo nimeandika kwenye posts zangu zingine za nyuma?!
Kimsingi ulisahau kuongeza neno per capita, lakini uko sawa tu.
 
Wanafiki wote hawataki Tz ipige hatua,Wacha Jpm awapike pini ameshawajua ninyi ni wanafiki wakubwa
 
This is stupidity of the highest order. Does imf give out loans? So their say is barely useless coz we can still loans from wb as a middle income country. Furthermore, we were living our comfortable life with our bulldozer, so with or without those reports, still tz is gon walk at its pace.
 

Duu bro naona sasa umeamua kigawa za uso kwa huyu nyang'au pretender.
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Nimejifunza kuwa Watanzania wanauwezo mkubwa wa kuchanganua mambo wakati wakenya wana IQ dongo yaani hawawezi kuchanganua mambo inavyotakiwa.
 
Nyie sio muhimu sana hadi Wakenya tuwaombee mabaya. Hamna umuhimu huo.
Naah, you guys, mnatutazama sanaa, afu wengi wenu mna husda na bongo. Usitudanganye au kama hujui, ndio ujue.
 

Narudia, huwezi kuwa na GNI per capita bila kuwa na GNI, na ndio maana hao hao World Bank wenyewe wamesema hapo juu kwamba "...the size of the economies are based by GNI...."

Hilo suala la per capita jibu lake linaweza kupatikana hata kwa calculator ya kwenye simu kwa sababu tayari GNI inakuwa imeshapatikana kwa kutumia Atlas Method, na kinachobaki ni kugawa with mid population ili upate per capita by Atlas Method!
 
Wewe ni mnyama wa aina gani kama unasherehekea masaibu ya binadamu mwenzako?
Lugha za kifedhuli ni za nini ndugu yangu?! Huo unyama niliosherehekea upo wapi zadi ya kuweka picha?! Kama hapo kuna Kiongozi wa Juu wa Kenya, hiyo picha imepigwa na nani kama sio na Kenyan Official Photographers wenyewe?!

Ilifikaje mtandaoni kama haikuwekwa na hao hao wenyewe?!

Sasa how come mimi ku-repost picha mliyo-post wenyewe iwe ni unyama ninayefurahia masahibu ya wengine?!

Hivyo hiyo ni kufurahia masahibu yenu au ni kuwaambia kwa lugha ya picha kwamba acheni kujifanya nchi yenu ni matajiri wakati watu bado wana umaskini wa kutupwa!

Rudi kwenye mijadala yenu hapa JF kuhusu Corona kama utakuta michango yangu huko kwa sababu naaamini corona ni janga ambalo mtu hastahili kumcheka mwenye nalo!

All in all, busara inanishawishi nikutakie siku njema kwa sababu kuna hatari ukaniharibia weekeend yangu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…