Kimsingi ulisahau kuongeza neno per capita, lakini uko sawa tu.Kwani per capita inapatikanaje kama sio kwa kuanza na GNI?! Btw, ina maana unataka kujificha kwenye typing error kwa kuandika "per" badala ya "by" kama ambavyo nimeandika kwenye posts zangu zingine za nyuma?!
Nyie sio muhimu sana hadi Wakenya tuwaombee mabaya. Hamna umuhimu huo.Wanafiki wote hawataki Tz ipige hatua,Wacha Jpm awapike pini ameshawajua ninyi ni wanafiki wakubwa
Hata ninyi hamna umuhimu Pia ,Mnavyopenda kujiona wazungu kumbe mavi tuNyie sio muhimu sana hadi Wakenya tuwaombee mabaya. Hamna umuhimu huo.
Naona sindano imepenyaHata ninyi hamna umuhimu Pia ,Mnavyopenda kujiona wazungu kumbe mavi tu
Acha umburula wewe!! Hivi kama data nyepesi namna hiyo unashindwa kuzielewa, ni kipi unakijua wewe?!
Takwimu zinasema uchumi wa Kenya UNATARAJIWA kukua kwa 4.7% na sio UTAKUA kwa 4.7%!!
At the end of the day, inaweza kuwa 4.7%, or higher than 4.7% or BELOW 4.7%!!!
Sasa suala la LCD sio forecast ndo madudu gani hayo unaongea?! Kuna mahali nimesema LDC ni forecast?! We jamaa vp?!
Mido inkamu haoHahahaha hivi huku si ndio penye ile largest port in Africa? π π π
Naah, you guys, mnatutazama sanaa, afu wengi wenu mna husda na bongo. Usitudanganye au kama hujui, ndio ujue.Nyie sio muhimu sana hadi Wakenya tuwaombee mabaya. Hamna umuhimu huo.
Unastahili kujua kuwa WB na IMF wanarank countries kwa kutumia GNI per capita. Hio Atlas method ni method tu ya kucalculate hio GNI per capita.
GNI per capita = GNI/ population.
GNI per capita, unachukua GNI kisha unaigawanya kwa population ya nchi fulani ili upate GNI ya mtu mmoja.
Mnaitia Afrika aibu.
Duh!Kimsingi ulisahau kuongeza neno per capita, lakini uko sawa tu.
Bado Tanzania ni LDCDuh!
Man, Atlas Method ina-calculate GNI, hayo ya per capita yanafuata baada ya kuwa na GNI!
Kwa hisani ya eliakeem, kutana na mama kutoka developed country inayofahamika kama Kenya:-
View attachment 1610376
Wewe ni mnyama wa aina gani kama unasherehekea masaibu ya binadamu mwenzako?Kwa hisani ya eliakeem, kutana na mama kutoka developed country inayofahamika kama Kenya:-
View attachment 1610376
Lugha za kifedhuli ni za nini ndugu yangu?! Huo unyama niliosherehekea upo wapi zadi ya kuweka picha?! Kama hapo kuna Kiongozi wa Juu wa Kenya, hiyo picha imepigwa na nani kama sio na Kenyan Official Photographers wenyewe?!Wewe ni mnyama wa aina gani kama unasherehekea masaibu ya binadamu mwenzako?
Wananunua bunduki kisha wanasahau kujinunulia chakula