Tanzania haina Polisi wala waandishi wa habari

Tanzania haina Polisi wala waandishi wa habari

Rule L

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
1,846
Reaction score
2,754
Kiukweli nimekereka mpaka basi, kuona waandishi wa habari wanamdhalilisha bila huruma yule dogo wanayesema amebaka kuku.

Polisi nao na ukiritimba wao wameenda kituo kizima kumkamata. dogo kama yule ni wakufuatwa nakikosi chote kile? alikua au?

Mbona hao polisi wakiitwa kwenye show za kiume (majambazi) hawaendi kwa wakati? Hivi walitumia akili zilizo kwenye kichwa au? waandishi nao na uchawa wao wameenda kama machizi vile.

kwanini sasa wasiifunike hata sura ya mkosaji? Angekua wakike wangemuonyesha sura yote kwa udhalikishaji kama ule? au wameamua kumkomoa.

Hata dada yake yule dogo nae ni fala sana unakubalije mdogo wako aingie kwenye aibu kama ile? Kama shida ni Hilo likuku si angemwambia amlipe?

Dah, tuwe makini sana, tunaweza kumsababishia mauji mtu kisa kusambaza habari zinazomdhalilisha.

Yule waziri aliyesema kwamba wachambuzi wakasome, basi aunganishe na Hawa wapuuzi wengine.
 
Show za kiume hata wewe unawezakwenda tu,kikubwa jinsia.
 
Dogo nae ana matatizo ya akili.

malaya wapo hadi wa buku mbili halafu anaenda kutuharibia MBOGA
hivi unajua gharama ya kumpata malaya na wapi anapatikana? watu wakipitia ukame wa kupata mbususu halisi hujilia hata wanyama kama mbuzi, kondoo, ngo'mbe, punda, mbwa na kuku. Wengine huvamia vikongwe kumaliza haja zao. Naona hamjawahi kuona matukio haya. Kupata mwanamke ni shughuli pevu kama huna hata hela ya kumpa akanunue sabuni hupewi mbususu ya bure. Cha msingi ni kuwa mvumilivu tu unapokosa mbususu halisi utulie tu na usiwazie hiyo kitu
 
Wewe ulitaka naindikeje
Ungeandika huku ukijua kwamba sio wote walioliona hilo tukio au walikuwa nataarifa yake. Mathalan umesema waandishi wa habari walimdhalilisha dogo -ungelieleza ni kwa namna gani? umesema Polisi walienda kikosi kizima -ao polisi kikosi kizima ni wangapi? n.k. na kama ingewezekana ukatupiamo picha au vid.clipili habari hiyo iwe na mashiko.
 
Kiukweli nimekereka mpaka basi, kuona waandishi wa habari wanamdhalilisha bila huruma yule dogo wanayesema amebaka kuku.

Polisi nao na ukiritimba wao wameenda kituo kizima kumkamata. dogo kama yule ni wakufuatwa nakikosi chote kile? alikua au?

Mbona hao polisi wakiitwa kwenye show za kiume (majambazi) hawaendi kwa wakati? Hivi walitumia akili zilizo kwenye kichwa au? waandishi nao na uchawa wao wameenda kama machizi vile.

kwanini sasa wasiifunike hata sura ya mkosaji? Angekua wakike wangemuonyesha sura yote kwa udhalikishaji kama ule? au wameamua kumkomoa.

Hata dada yake yule dogo nae ni fala sana unakubalije mdogo wako aingie kwenye aibu kama ile? Kama shida ni Hilo likuku si angemwambia amlipe?

Dah, tuwe makini sana, tunaweza kumsababishia mauji mtu kisa kusambaza habari zinazomdhalilisha.

Yule waziri aliyesema kwamba wachambuzi wakasome, basi aunganishe na Hawa wapuuzi wengine.

View: https://m.youtube.com/watch?v=CqZILRno_NQ
 
Back
Top Bottom