Tanzania haina Polisi wala waandishi wa habari

Mwishoni mwandishi wa habari wa gazeti la mwananchi aliandika, sijui alikuwa anatania au anamaanisha;

"Kuku ameacha mayai manne"

Hapo alikuwa amechukua ule utaratibu wa kusema mfano, "Marehemu ameacha mke mmoja, na watoto watano, wajukuu 10"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…