Tanzania haina wapinzani bali wajaza matumbo. Tatizo la uhaba wa madarasa limetatuliwa; mnalalama nini kihusu mikopo?

Tanzania haina wapinzani bali wajaza matumbo. Tatizo la uhaba wa madarasa limetatuliwa; mnalalama nini kihusu mikopo?

Benzi jipya ni hela ya ujenzi wa vyoo viwili vya shule, ndugu mpinzani😂🤣
Aliona ampatie gari la chini chini ili asipate tabu kupanda.

Halafu hayo mahesabu yako ni ya kifisadi milioni zaidi ya 200 kujenga vyoo viwili ni wizi.
 
Ndio umrjua leo!! Ni wachumia tumbo tu.
Wewe Kama ni mchumia tumbo usilazimishe wengine wawe na tabia Kama ya kwako. Wachumia tumbo wanaojulikana Ni CCM wanaokopa mpaka Speaker wa bunge kaona hatari ya nchi kupigwa mnada.
 
Miaka ya nyuma kila ikifika January hapa nchini palikuwa na tatizo kubwa sana la uhaba wa madarasa na hii ilisababisha watoto wengi waliochaguliwa kidato cha kwanza kukosa nafasi ya kujumuika na wenzao.

Serikali ya CCM kuona hili ni tatizo la kudumu ikaona itumie mkopowa Uviko 19 ili kumaliza hili tatizo. Sasa kila wilaya hizi pesa zimetumika vyema na na kujenga madarada amabayo yataondoa kero ya kukosa vyumba vya madarasa.

Sasa kama mkopo huu umetumika vyema, wapinzani mnashuparia nini kuhusu mkopo na kushadidia mambo? Kisa tu spika amehoji?
Eti na wewe ni GT!
 
Wewe Kama ni mchumia tumbo usilazimishe wengine wawe na tabia Kama ya kwako. Wachumia tumbo wanaojulikana Ni CCM wanaokopa mpaka Speaker wa bunge kaona hatari ya nchi kupigwa mnada.
Wote wale wale tu, wachumia tumbo. Ndio maana hata hawaeleweki nini wanakisimamia.
 
Miaka ya nyuma kila ikifika January hapa nchini palikuwa na tatizo kubwa sana la uhaba wa madarasa na hii ilisababisha watoto wengi waliochaguliwa kidato cha kwanza kukosa nafasi ya kujumuika na wenzao.

Serikali ya CCM kuona hili ni tatizo la kudumu ikaona itumie mkopowa Uviko 19 ili kumaliza hili tatizo. Sasa kila wilaya hizi pesa zimetumika vyema na na kujenga madarada amabayo yataondoa kero ya kukosa vyumba vya madarasa.

Sasa kama mkopo huu umetumika vyema, wapinzani mnashuparia nini kuhusu mkopo na kushadidia mambo? Kisa tu spika amehoji?
Kwa hiyo pesa ya tozo ilifanya kazi gani, maana nayo tuliambiwa imeenda kujenga madarasa na vituo vya afya...
 
Aliona ampatie gari la chini chini ili asipate tabu kupanda.

Halafu hayo mahesabu yako ni ya kifisadi milioni zaidi ya 200 kujenga vyoo viwili ni wizi.
Vyoo vya kisasa ndugu mpinzani😁
 
"Wajaza matumbo" well lkn ni vzr ukatueleza wanajaza vp matumbo yao.. je wanaiba sana? Ni mafisadi au wapinzan walishatawala NCHI hii ikaonekana ni majizi na mafisadi?? Ufafanuz mkuu.....
Miaka ya nyuma kila ikifika January hapa nchini palikuwa na tatizo kubwa sana la uhaba wa madarasa na hii ilisababisha watoto wengi waliochaguliwa kidato cha kwanza kukosa nafasi ya kujumuika na wenzao.

Serikali ya CCM kuona hili ni tatizo la kudumu ikaona itumie mkopowa Uviko 19 ili kumaliza hili tatizo. Sasa kila wilaya hizi pesa zimetumika vyema na na kujenga madarada amabayo yataondoa kero ya kukosa vyumba vya madarasa.

Sasa kama mkopo huu umetumika vyema, wapinzani mnashuparia nini kuhusu mkopo na kushadidia mambo? Kisa tu spika amehoji?
 
Back
Top Bottom