Tanzania haipo katika Orodha ya nchi zenye nguvu kijeshi duniani 2024

Tanzania haipo katika Orodha ya nchi zenye nguvu kijeshi duniani 2024

Mhhh! Maajabu haya. Nchi yenye GDP ya less than 90 billion kwa mwaka unategemea iwe na kwenye top military rank. Kovipi?
 
ondoa Nigeria wameshindwa kuitokomeza Boko aram ...pia ondoa Ethiopia wameshindwa kumaliza mzozo wa Tigeree
 
2024 military strength ranking:

1. 🇺🇸United States
2. 🇷🇺Russia
3. 🇨🇳China
4. 🇮🇳India
5. 🇰🇷South Korea
6. 🇬🇧United Kingdom
7. 🇯🇵Japan
8. 🇹🇷Turkey
9. 🇵🇰Pakistan
10. 🇮🇹Italy
11. 🇫🇷France
12. 🇧🇷Brazil
13. 🇮🇩Indonesia
14. 🇮🇷Iran
15. 🇪🇬Egypt
16. 🇦🇺Australia
17. 🇮🇱Israel
18. 🇺🇦Ukraine
19. 🇩🇪Germany
20.🇪🇸Spain
21. 🇵🇱Poland
22. 🇻🇳Vietnam
23. 🇸🇦Saudi Arabia
24. 🇹🇼Taiwan
25. 🇹🇭Thailand
26. 🇩🇿Algeria
27. 🇨🇦Canada
28. 🇦🇷Argentina
29. 🇸🇪Sweden
30. 🇸🇬Singapore
31. 🇲🇽Mexico
32. 🇬🇷Greece
33. 🇿🇦South Africa
34. 🇵🇭Philippines
35. 🇲🇲Myanmar
36. 🇰🇵North Korea
37. 🇧🇩Bangladesh
38. 🇵🇹Portugal
39. 🇳🇬Nigeria
40. 🇳🇱Netherlands
41. 🇳🇴Norway
42. 🇲🇾Malaysia
43. 🇨🇭Switzerland
41. 🇳🇴Norway
42. 🇲🇾Malaysia
43. 🇨🇭Switzerland
44. 🇨🇴Colombia
45. 🇮🇶Iraq
46. 🇨🇿Czechia
47. 🇷🇴Romania
48. 🇩🇰Denmark
49. 🇪🇹Ethiopia
50. 🇫🇮Finland

According to Global Fire Power

🌟World of statistics
Vigezo hivi huwa vya kijinga.
India ampite Germany, Japan na Uk?
Ndoto za mchana.

Kigezo kimojawapo najua ni idadi ya askari, hiki hakifanyi kazi sana
 
2024 military strength ranking:

1. 🇺🇸United States
2. 🇷🇺Russia
3. 🇨🇳China
4. 🇮🇳India
5. 🇰🇷South Korea
6. 🇬🇧United Kingdom
7. 🇯🇵Japan
8. 🇹🇷Turkey
9. 🇵🇰Pakistan
10. 🇮🇹Italy
11. 🇫🇷France
12. 🇧🇷Brazil
13. 🇮🇩Indonesia
14. 🇮🇷Iran
15. 🇪🇬Egypt
16. 🇦🇺Australia
17. 🇮🇱Israel
18. 🇺🇦Ukraine
19. 🇩🇪Germany
20.🇪🇸Spain
21. 🇵🇱Poland
22. 🇻🇳Vietnam
23. 🇸🇦Saudi Arabia
24. 🇹🇼Taiwan
25. 🇹🇭Thailand
26. 🇩🇿Algeria
27. 🇨🇦Canada
28. 🇦🇷Argentina
29. 🇸🇪Sweden
30. 🇸🇬Singapore
31. 🇲🇽Mexico
32. 🇬🇷Greece
33. 🇿🇦South Africa
34. 🇵🇭Philippines
35. 🇲🇲Myanmar
36. 🇰🇵North Korea
37. 🇧🇩Bangladesh
38. 🇵🇹Portugal
39. 🇳🇬Nigeria
40. 🇳🇱Netherlands
41. 🇳🇴Norway
42. 🇲🇾Malaysia
43. 🇨🇭Switzerland
41. 🇳🇴Norway
42. 🇲🇾Malaysia
43. 🇨🇭Switzerland
44. 🇨🇴Colombia
45. 🇮🇶Iraq
46. 🇨🇿Czechia
47. 🇷🇴Romania
48. 🇩🇰Denmark
49. 🇪🇹Ethiopia
50. 🇫🇮Finland

According to Global Fire Power

🌟World of statistics
Kama hao wametuzidi ulitakaje sasa?
 
kwamba Myanmar, Bangladesh, Philippines Taiwan na n.k ni bora zaid ya Tz....
Taiwan bajeti yao ya jeshi ni dola bilion 19 kwa mwaka. Tanzania gdp ya nchi nzima ni aroumd dola bilion 50. Yani bajeti ya jeshi la taiwan ni almost nusu ya uchumi wa tanzania. Usifkiri taiwan ni wenzetu. Sio wavunja matofali kwa kichwa hawa
 
Rudia tena habari ya India. Unaishi dunia gani? Achana na India. India sasahivi ni tishio Kiuchumi, kijeshi, technology
Hilo elimu yake ya unga unga,Yeye anavyoona movie anajua taifa lililochoka
 
2024 military strength ranking:

1. [emoji631]United States
2. [emoji635]Russia
3. [emoji630]China
4. [emoji1128]India
5. [emoji2406]South Korea
6. [emoji636]United Kingdom
7. [emoji627]Japan
8. [emoji1250]Turkey
9. [emoji1191]Pakistan
10. [emoji634]Italy
11. [emoji632]France
12. [emoji1054]Brazil
13. [emoji1129]Indonesia
14. [emoji1130]Iran
15. [emoji1093]Egypt
16. [emoji1037]Australia
17. [emoji1134]Israel
18. [emoji1255]Ukraine
19. [emoji629]Germany
20.[emoji633]Spain
21. [emoji1200]Poland
22. [emoji1264]Vietnam
23. [emoji1210]Saudi Arabia
24. [emoji1239]Taiwan
25. [emoji1242]Thailand
26. [emoji1026]Algeria
27. [emoji1063]Canada
28. [emoji1033]Argentina
29. [emoji1236]Sweden
30. [emoji1215]Singapore
31. [emoji1166]Mexico
32. [emoji1112]Greece
33. [emoji1221]South Africa
34. [emoji1198]Philippines
35. [emoji1175]Myanmar
36. [emoji1188]North Korea
37. [emoji1042]Bangladesh
38. [emoji1201]Portugal
39. [emoji1184]Nigeria
40. [emoji1179]Netherlands
41. [emoji1189]Norway
42. [emoji1157]Malaysia
43. [emoji1237]Switzerland
41. [emoji1189]Norway
42. [emoji1157]Malaysia
43. [emoji1237]Switzerland
44. [emoji1075]Colombia
45. [emoji1131]Iraq
46. [emoji1086]Czechia
47. [emoji1205]Romania
48. [emoji1087]Denmark
49. [emoji1098]Ethiopia
50. [emoji1103]Finland

According to Global Fire Power

[emoji93]World of statistics
Mbona Switzerland imeingia mara mbili?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Iweje haipo ilhali tuna makomandoo hatari wanaovunja tofali kwa ngumi, vichwa, na mateke?
 
2024 military strength ranking:

1. 🇺🇸United States
2. 🇷🇺Russia
3. 🇨🇳China
4. 🇮🇳India
5. 🇰🇷South Korea
6. 🇬🇧United Kingdom
7. 🇯🇵Japan
8. 🇹🇷Turkey
9. 🇵🇰Pakistan
10. 🇮🇹Italy
11. 🇫🇷France
12. 🇧🇷Brazil
13. 🇮🇩Indonesia
14. 🇮🇷Iran
15. 🇪🇬Egypt
16. 🇦🇺Australia
17. 🇮🇱Israel
18. 🇺🇦Ukraine
19. 🇩🇪Germany
20.🇪🇸Spain
21. 🇵🇱Poland
22. 🇻🇳Vietnam
23. 🇸🇦Saudi Arabia
24. 🇹🇼Taiwan
25. 🇹🇭Thailand
26. 🇩🇿Algeria
27. 🇨🇦Canada
28. 🇦🇷Argentina
29. 🇸🇪Sweden
30. 🇸🇬Singapore
31. 🇲🇽Mexico
32. 🇬🇷Greece
33. 🇿🇦South Africa
34. 🇵🇭Philippines
35. 🇲🇲Myanmar
36. 🇰🇵North Korea
37. 🇧🇩Bangladesh
38. 🇵🇹Portugal
39. 🇳🇬Nigeria
40. 🇳🇱Netherlands
41. 🇳🇴Norway
42. 🇲🇾Malaysia
43. 🇨🇭Switzerland
41. 🇳🇴Norway
42. 🇲🇾Malaysia
43. 🇨🇭Switzerland
44. 🇨🇴Colombia
45. 🇮🇶Iraq
46. 🇨🇿Czechia
47. 🇷🇴Romania
48. 🇩🇰Denmark
49. 🇪🇹Ethiopia
50. 🇫🇮Finland

According to Global Fire Power

🌟World of statistics
Hiyo Orodha siyo sahihi. Urusi siyo ya pili, ni ya tatu au ya nne; intanaguliwa na China na huenda hata India.
 
Hizi rankings nimeacha kuziamini baada ya kusoma list ya nchi zenye furaha ambapo Tanzania inaongoza huku DRC na yenyewe ikiwemo top five.
 
Back
Top Bottom