Wakati mwingine nikweli serikali inakosea kwa kuwa ni wajibu wake kuwasomesha watanzania bure ili kuinua kiwango cha elimu nchini. Lakini pia wanafunzi na wazazi wanatakiwa kujua kuwa wanatakiwa kuchangia elimu ili kuwapa responsibility na machungu ya kupata pesa ya elimu.
Nje ya nchi watanzania wanabeba box na kujisomesha wenyewe kuanzia UG mpaka PG au hawa sio watanzania ambao wanafaamu umuhimu wa elimu na kuamua kujisomesha wenyewe, ili linawezekana hata kwetu kwani swala ni kujituma. Nina uhakika kwetu hata kama mishahara itaongezwa kiasi gani hakuna mwanafunzi atakayekubali kufanya kazi kujilipia ada.
Tunatakiwa kuangalia nani anapata side effect ya migomo wakati watoto wa wakubwa wakiwa nchi za nje wanasoma kwa raha wanafunzi mlimani wanagoma na kufukuzwa bila huruma na kuongeza matatizo kwa wazazi wao.
tufanye financial analysis ya gharama ya kufukuzwa chuoni in terms of money utakuta inalingana na pesa wanayotakiwa kulipa kama 40% na hii gharama wamelipa bila hata kulalamika lakini hiyo 40% ndio wanalalamika na ukiongeza time costs utakuta mwanafunzi hata kama amerudishwa yeye ndio amekula hasara zaidi.
watoto wa wakulima wengi hawana pa kukaa dar walipofukuzwa either walirudi nyumbani au walikaa kwa ndugu tuone wataramu wa pesa wanaweza kutusaidia simple estimates za gharama walizoingia kurudi kwao au kukaa kwa ndugu zao.
all in all serikali ina wajibu wa kusomesha watu wake lakini sometimes tusijitoe sadaka kwa vitu ambavyo tunajua kweli kuwa hatutapata support kutoka kwa watanzania wengine. sasa hivi watanzania wanafocus kwenye kuondoa ufisadi kuliko kitu kingine chochote.
Nje ya nchi watanzania wanabeba box na kujisomesha wenyewe kuanzia UG mpaka PG au hawa sio watanzania ambao wanafaamu umuhimu wa elimu na kuamua kujisomesha wenyewe, ili linawezekana hata kwetu kwani swala ni kujituma. Nina uhakika kwetu hata kama mishahara itaongezwa kiasi gani hakuna mwanafunzi atakayekubali kufanya kazi kujilipia ada.
Tunatakiwa kuangalia nani anapata side effect ya migomo wakati watoto wa wakubwa wakiwa nchi za nje wanasoma kwa raha wanafunzi mlimani wanagoma na kufukuzwa bila huruma na kuongeza matatizo kwa wazazi wao.
tufanye financial analysis ya gharama ya kufukuzwa chuoni in terms of money utakuta inalingana na pesa wanayotakiwa kulipa kama 40% na hii gharama wamelipa bila hata kulalamika lakini hiyo 40% ndio wanalalamika na ukiongeza time costs utakuta mwanafunzi hata kama amerudishwa yeye ndio amekula hasara zaidi.
watoto wa wakulima wengi hawana pa kukaa dar walipofukuzwa either walirudi nyumbani au walikaa kwa ndugu tuone wataramu wa pesa wanaweza kutusaidia simple estimates za gharama walizoingia kurudi kwao au kukaa kwa ndugu zao.
all in all serikali ina wajibu wa kusomesha watu wake lakini sometimes tusijitoe sadaka kwa vitu ambavyo tunajua kweli kuwa hatutapata support kutoka kwa watanzania wengine. sasa hivi watanzania wanafocus kwenye kuondoa ufisadi kuliko kitu kingine chochote.