Tanzania haitambui ushindi wa Mugabe - Membe

Tanzania haitambui ushindi wa Mugabe - Membe

Kama hili ni kweli basi wamrudishe nyumbani balozi wetu Zimbabwe na pia wamuombe wa Zimbabwe arudi kwao.

Bubu,

Balozi wa Zimbabwe alisharudi Zimbabwe.

Labda kama karudi tena Dar-es-Salaam.

Hukusikia kokote kwa sababu Tanzania hakuna press.
 
Bubu wa Zimbabwe alisharudi Zimbabwe.

Labda kama karudi tena Dar-es-Salaam.

Hukusikia kokote kwa sababu Tanzania hakuna press.

Kuna press lakini ni corrupt!
Press siyo source of information..Wao wanaripoti tu baada ya ku gather information.
Hata hivyo kama walivyofanya kwenye hiyo issue ya Balozi..Waliamua kui ignore source hiyo ya information kuhusu mabalozi hao!
Na saa nyingine hata wakiamuwa kuto kuignore na kuwa wakweli kama wako hao wakweli...Then tunarudi back kwenye tatizo...SOURCE...UNAKUMBUKA MWENYEWE NI KAULI NGAPI KINZANI ZA SERIKALI ZILIZOWAHI KUTOLEWA KUTOKA KWA MEMBE,MKULLO,NA SALVA !
HAPO BADO HAMJACHOMBWEZWA NA PROPAGANDA ZA MAKAMBA!
 
sijui kama wakuu wamelitazama hili. unapokuwa humtambui rais wa nchi na serikali yake inamaana hatua ambayo inafuata ni kuvunja uhusiano wa kibalozi au "kumuita balozi wenu nyumbani kwa mashauriano." sasa kama ndio mmeishaitiana mabalozi wenu kwa mashauriano sijui huko sadc kutakaaje.


Tuachane na kupapatikia misimamo ya kushinikizwa na waMagharibi. Mugabe anahitaji msaada wetu sio na sisi kujiunga kumpiga mawe. Kwani hao waliomtangulia Kikwete hawakujua kuwa vita ya Mugabe ni zaidi ya demokrasia ya kupiga kura tu?


Membe anatakiwa ajiuzulu kwa kuropokwa ovyo ovyo kinyume na diplomat mkuu wa nchi anavytakiwa kuwa.
 
Kwa maana hiyo unanambia niliyemuona anatangaza hakuwa mkuu wa usimamizi wa uchaguzi wa SADC bali alikuwa Tony Blair???

Mimi nina akili timamu za kutambua propaganda na ukweli, kilichotokea Zimbabwe ni ukweli tupui suala ni kuwa vilipewa kipaumbele saana katika TV yao.

Unaposema uchaguzi ulikuwa free unamaanisha nini? Mamilioni ya Wazimbabwe waliokimbilia SA na msituni na walichomwa moto matakoni na sehemu zingine za mwili hawakupata hiyo freedom unayoisema

Nyangumi,
Nafikiri huyafahamu ya huko kusini ndio maana unasema kuwa wa Zimbabwe walioko SA walimkimbia Mugabe. Sijui na wa TZ, waMozambique, Nigeria, Kenya n.k. walioko huko wote pia wamekimbia maraisi wao?

Uchaguzi Zimbabwe umekuwa wa mtu mmoja kwa vile Tsvangirai aliamua kujitoa dakika ya 90 kinyume na sheria maana pengine alihisi kushindwa, who knows. Awamu ya kwanza matokeo yalikuwa 47% MDC, 42% Mugabe, niambie hata kama ni wewe tena baada ya kukimbilia SA utakuwa na uhakika kweli wa kushind re-run?

Ni kweli vurugu zilikuwepo hapa na pale na waliokumbwa nazo hata elfu hawafiki, hii ni kwa taarifa ya MDC. Wewe umeng'ang'ania na picha za propaganda za kwenye net, mbona hazikuonyeshwa kwa maelfu kama ilivyokuwa vurugu za SA, au kuonyeshwa video, zaidi ya ile ya wale vijana wanaokimbizana waliovaa vilemba vya ZANU-PF??

Swali kwenye free election ni kuwa je watu walishindwa kupiga kura ingawa walitaka kufanya hivyo? Ukweli ni kuwa hata baada ya Morgan Tsvangirai kuwataka watu wakae nyumbani, bado wengi walijitokeza kwenda kumpigia Tsvangirai kura au kuziharibu. Hii inaonyesha dhahiri kuwa access ya kupiga kura ilikuwapo na ndio maana nasema uchaguzi ulikuwa FREE, lakini kuwa FAIR kunaweza kuwa discussed kutokana na vurugu za awali.

Tuachane na kudance hizi ngoma tunazopigiwa kwa vile sauti zao ni kubwa. Mambo Zim ni kweli hayaendi sawia, lakini tusijiunge tu na kwaya hii inayotuambia kuwa sababu tu ni Mugabe, kwa vile wao wana vita naye basi na sisi tujiingize. Historia itatuadhibu kama hatuisomi ipasavyo hivi sasa. Zidumu fikira za Mwalimu.
 
Kuna press lakini ni corrupt!
Press siyo source of information..Wao wanaripoti tu baada ya ku gather information.
Hata hivyo kama walivyofanya kwenye hiyo issue ya Balozi..Waliamua kui ignore source hiyo ya information kuhusu mabalozi hao!
Na saa nyingine hata wakiamuwa kuto kuignore na kuwa wakweli kama wako hao wakweli...Then tunarudi back kwenye tatizo...SOURCE...UNAKUMBUKA MWENYEWE NI KAULI NGAPI KINZANI ZA SERIKALI ZILIZOWAHI KUTOLEWA KUTOKA KWA MEMBE,MKULLO,NA SALVA !

You are so incoherent.

Unasema press ipo lakini ni corrupt.

Unasema press ipo lakini ina ignore information za Kidiplomasia kuhusu moja ya ishu kubwa kuliko zote kwenye press duniani sasa hivi.

Unasema kuna press wakati hapo hapo una doubt kama wapo waandishi wakweli.

So incoherent. Almost ridiculous.

Unatanisamehe, lakini ni kituko, tena karibia na utupu, kukubali yote hayo juu halafu kunikatalia kwamba hakuna press.

So incoherent.
 
You are so incoherent.

Unasema press ipo lakini ni corrupt.

Unasema press ipo lakini ina ignore information za Kidiplomasia kuhusu moja ya ishu kubwa kuliko zote kwenye press duniani sasa hivi.

Unasema kuna press wakati hapo hapo una doubt kama wapo waandishi wakweli.

So incoherent. Almost ridiculous.

Unatanisamehe, lakini ni kituko, tena karibia na utupu, kukubali yote hayo juu halafu kunikatalia kwamba hakuna press.

So incoherent.

Press inaripoti habari...Na habari hizo zina sources kama vile Govt sources nk. Inategemea na habari yenyewe.

Kama ni issue kama ile ya Last hope basi unakwenda bank ama pale polisi kama unataka ku report.

However..Press zenyewe zinaweza zikawa na malengo na kupotosha ukweli bila kuzingatia valid sources..Kwa mfano walipoacha kutangaza habari za Zimbabwe kumwita Balozi wao!

Na pia vile vile habari ni kuchaguwa...Ni wewe mwenyewe kutumia ubongo wako...Kuna magazeti kibao tu!Lakini haina maana unayaamini yote.

Kwani licha ya kwamba watu kama kina Mkullo walitoa taarifa nyingi na tofauti kuhusu ballali...Na magazeti hayo hayo kuripoti kama source hiyo ya habari ilivyosema..Bado sisi tulihoji hapa jf na mjadala kuhusu Ballali ulikuwa moto moto na hata kupelekea MWK kubadili mawazo na kusema kuwa Ballali hajafa!

Kwa hiyo kama wewe unasema hakuna PRESS period..At the same time press hiyo hiyo imetufanya kutambuwa ukweli...Then ndiyo hapo unaposhindwa kujuwa kuwa wao wanaripoti...Na wewe unatumia UBONGO WAKO!
 
Nyangumi,
Nafikiri huyafahamu ya huko kusini ndio maana unasema kuwa wa Zimbabwe walioko SA walimkimbia Mugabe. Sijui na wa TZ, waMozambique, Nigeria, Kenya n.k. walioko huko wote pia wamekimbia maraisi wao?

Uchaguzi Zimbabwe umekuwa wa mtu mmoja kwa vile Tsvangirai aliamua kujitoa dakika ya 90 kinyume na sheria maana pengine alihisi kushindwa, who knows. Awamu ya kwanza matokeo yalikuwa 47% MDC, 42% Mugabe, niambie hata kama ni wewe tena baada ya kukimbilia SA utakuwa na uhakika kweli wa kushind re-run?

Ni kweli vurugu zilikuwepo hapa na pale na waliokumbwa nazo hata elfu hawafiki, hii ni kwa taarifa ya MDC. Wewe umeng'ang'ania na picha za propaganda za kwenye net, mbona hazikuonyeshwa kwa maelfu kama ilivyokuwa vurugu za SA, au kuonyeshwa video, zaidi ya ile ya wale vijana wanaokimbizana waliovaa vilemba vya ZANU-PF??

Swali kwenye free election ni kuwa je watu walishindwa kupiga kura ingawa walitaka kufanya hivyo? Ukweli ni kuwa hata baada ya Morgan Tsvangirai kuwataka watu wakae nyumbani, bado wengi walijitokeza kwenda kumpigia Tsvangirai kura au kuziharibu. Hii inaonyesha dhahiri kuwa access ya kupiga kura ilikuwapo na ndio maana nasema uchaguzi ulikuwa FREE, lakini kuwa FAIR kunaweza kuwa discussed kutokana na vurugu za awali.

Tuachane na kudance hizi ngoma tunazopigiwa kwa vile sauti zao ni kubwa. Mambo Zim ni kweli hayaendi sawia, lakini tusijiunge tu na kwaya hii inayotuambia kuwa sababu tu ni Mugabe, kwa vile wao wana vita naye basi na sisi tujiingize. Historia itatuadhibu kama hatuisomi ipasavyo hivi sasa. Zidumu fikira za Mwalimu.

Mi nadhani ni dhahiri kuwa there was intimidation, maiming and killing during the election, eti kusema kuna watu walijitokeza kumpigia kura Tsvangirai is a delusional claim, maana wengi hivi sasa ni refugees at the US embassy, wengine wamekuwa viwete na wanaugulia hospitali. Usichanganye pan Africanism na uhuni wa Mugabe. Mwalimu Nyerere kama angekuwa hai asingeweza kusapoti uhuni, ubabe na mauaji ya Mugabe in the name of Pan Africanism. Mugabe has to go!!!!!
 
Mi nadhani ni dhahiri kuwa there was intimidation, maiming and killing during the election, eti kusema kuna watu walijitokeza kumpigia kura Tsvangirai is a delusional claim, maana wengi hivi sasa ni refugees at the US embassy, wengine wamekuwa viwete na wanaugulia hospitali. Usichanganye pan Africanism na uhuni wa Mugabe. Mwalimu Nyerere kama angekuwa hai asingeweza kusapoti uhuni, ubabe na mauaji ya Mugabe in the name of Pan Africanism. Mugabe has to go!!!!!

The last thing Mugabe na watu wake wanachotaka ni kufanya attrocities zitakazompeleka kotini. He is very smart with this. Anafanya mambo within sheria ili asitoe mwanya wa kuhukumiwa. Zimbabwe ina zaidi ya watu millioni 13. Sasa utafanya intimidation kiasi gani bila kuonyeshwa kwenye TV, ukitilia maanani alivyokuwa anachunguzwa? Ina maana zile picha tulizoonyeshwa za watu walioungua matako ambazo hazijulikani source yake zinatosha kweli kuzuia watu wanaokabiliwa na inflation ya karibu 1,000,000% kuacha kudai wanachotaka? Baadhi ya watu walipimpigia kura Tsvangirai na walisema hivyo hata kwenye BBC inayompinga Mugabe kwa uwezo wake wote.

The decition not to vote was Tsvangirai's and his alone, even within the party and some of their external backers warned him against that.

Hao waliokimbilia ubalozi wa marekani sio jambo geni hata waTZ walikimbilia Uingereza baada ya uchaguzi wa ZNZ, wengi wakiwa watoto wa vibozile Dar and not ZNZ. Propaganda za Zimbabwe ni kubwa sana kuliko ukweli wenyewe. Ndio Mugabe katumia mbinu za kisheria kushinda uchaguzi, lakini hiyo sio sababu ya kuwatesa waZimbabwe kwa vile tu Uingereza hawamtaki.
 
Kubwajinga;
BBC, CNN, na most of western journalists hawaruhusiwi kukanyaga Zimbabwe. Zile picha unazoziona ni zile tu ambazo zinapigwa na freelance photographers (at their own risks). Hata NGO zimepigwa marufuku, utapataje news? Au wewe unategemea ile Herald (Uhuru version of Zimbabwe)? Acha siasa za kizamani hizo!
 
Kubwajinga;
BBC, CNN, na most of western journalists hawaruhusiwi kukanyaga Zimbabwe. Zile picha unazoziona ni zile tu ambazo zinapigwa na freelance photographers (at their own risks). Hata NGO zimepigwa marufuku, utapataje news? Au wewe unategemea ile Herald (Uhuru version of Zimbabwe)? Acha siasa za kizamani hizo!

I-Ob,
Usiwe mvivu wa kufikiria. Ni kweli wamekatazwa officially, lakini sio kuwa hawamo humo Zim. Wana watu wao na kwa technolojia ya siku hizi, wala huhitaji OB Van kunasa habari. Cell foni zinatosha. Wewe hujaona waZimbabwe wakihojiwa CNN na BBC? Nenda kwenye CNN video uone kama hawana latest shootings. Kuwa makini kidogo na utaona mbali.
 
Kama kweli hilo limesemwa na Membe then Naipongeza serikali/AU kwa hilo.........hatuwezi kujustfy makosa mengine eti kwa kuogopa kuwa tutaitwa "double stds"....a line has to be drawn somewhere........
 
Mkuu Nyangumi,
Ningekushauri tu kuwa BBC iwe sehemu yako ya mwisho kupatia habari za Zimbabwe hasa zinapokosekana mahali pengine popote.

Kisheria, kitu ambacho ndio pekeyake alichokitaka Mugabe, uchaguzi wa Zimbabwe umetimiza vipengele vyote vinavyotakiwa. Was it FREE, absolutely YES. Was it FAIR probably NOT. How was the elections in TZ, Uganda, Kenya, Ethiopia, Nigeria n.k.? FREE but not FAIR, and no one listened to the opositions. Why is Zim so special?. How on earth should Kikwete say Mugabe is not a president but Karume is?

Mkuu,
Ni kweli kabisa haingii akilini kumwita Karume raisi na kumkataa Mugabe!!
Haya ndiyo matatizo ya viongozi wetu wa kiafrika kupelekwa pelekwa na mataifa ya magharibi.Ni bora membe awe anasema kama CCM na siyo kwa Taifa letu!! maana hii inatia aibu.Tamko la viongozi wa Afrika kuhusu Zimbabwe limeshasemwa kule Misri,sasa hapa anasema kama nani??
Mwaka 2010 siyo mbali hapo Pemba.
Yetu macho tuone hiyo free and fair election!
 
Mugabe si Rais

2008-07-04 09:24:48
Na Raymond Kaminyoge


Umoja wa Afrika (AU), haumtambui Bw. Robert Mugabe, kama Rais halali wa Zimbabwe kutokana na ukiukaji wa taratibu za uchaguzi na haki za binadamu.

Kutokana na hali hiyo, Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imepewa jukumu la kuandaa mazungumzo kati ya chama cha ZANU-PF na Movement for Democratic Change(MDC).

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa AU, Bw. Bernard Membe,
alisema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Bw. Membe alisema hayo mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa AU uliofanyika katika mji wa Sharm El-Shekh, nchini Misri.

Alisema kufuatia kadhia hiyo, SADC wamepewa jukumu la kuchagua timu ya wapatanishi watakaokubalika na vyama hivyo ili mazungumzo ya amani yaanze.

``Viongozi hao wameona kwamba kwa hali ilivyo sasa Zimbabwe haiwezi kutawalika na chama kimoja cha siasa, suluhisho ni vyama hivyo viwili kukaa pamoja na kufikia uamuzi,`` alisema.

Alisema kikao cha SADC kuhusiana na upatanishi Zimbabwe kitakaa muda wowote kuanzia sasa.

Alisema viongozi karibu wote kwenye mkutano huo walieleza wazi mbele ya Mugabe kwamba uchaguzi huo haukuwa halali.

``Umewasikia viongozi wenzako namna wasivyoridhika na uchaguzi nchini mwako,`` alisema Membe akimkariri Mwenyekiti wa AU, Bw. Jakaya Kikwete.

Bw. Membe aliongeza kuwa uchaguzi nchini Zimbabwe ni sawa na mchezaji wa mpira miguu kufunga bao huku akiwa amezidi.

``Naulinganisha ushindi wa Rais Mugabe kama ule wa mchezaji wa mpira wa miguu anayefunga goli huku akiwa amezidi halafu anashangilia goli hilo,`` alisema.

SOURCE: Nipashe



Kama CCM wangekuwa wanafanya wa haki then ningewaelewa wanayoyasema. Kwa ushauri wangu Membe kwanza TZ ijisafishe na uchaguzi wa ZNZ kabla ya kumsakama Mzee Mugabe.
 
Mr Zero issue ya Zanzibar na ya MUGABE ni tofauti kabisa!Labda ya Zanzibar inafanana na ile ya Kenya!
Tofauti ni kwamba ZIMBAMBWE MUGABE kagombea peke yake na khali Morgani naye alitakiwa agombee!hapa issue ni MORGAN na MUGABE waingie kwenye ulingo!ili ukweli ujulikane je ni MUGABE AU MORGAN!
tatizo linakuja serikali yetu inaangalia sana nje na ilifanikiwa kusaidia maelewano kenya na khali hapa kwetu the same tatizo kama la kenya limetushinda hadi leo
 
Mr Zero issue ya Zanzibar na ya MUGABE ni tofauti kabisa!Labda ya Zanzibar inafanana na ile ya Kenya!
Tofauti ni kwamba ZIMBAMBWE MUGABE kagombea peke yake na khali Morgani naye alitakiwa agombee!hapa issue ni MORGAN na MUGABE waingie kwenye ulingo!ili ukweli ujulikane je ni MUGABE AU MORGAN!
tatizo linakuja serikali yetu inaangalia sana nje na ilifanikiwa kusaidia maelewano kenya na khali hapa kwetu the same tatizo kama la kenya limetushinda hadi leo

First Lady,

Nakubaliana na wewe kwmba matatizo ya ZNZ hayafanani na ya ZIM. Kitu ambacho umesema yanafanana na Kenya, lakini tumeona jinsi Kenya walivyofanikiwa kusolve matatizo yao tena wakisaidiwa na TZ. On top of that tukatumia 2.6 billion (if true) za walipa kodi wetu. Sasa kwa kuwa ushakubali kuwa ZNZ kuna matatizo, je tuendelee kuyaacha hivyo hivyo tu kwa kuwa hayafanani na ya Mugabe? Mbona TZ tunakuwa wepesi sana kukimbilia kutatua matatizo ya wenzetu wakati yetu yanatushinda? Mfano ni usuluhishi Kenya, Majeshi yetu Comoro, now Zimbabwe etc....????
 
Mr Zero yetu hayakuonyesha maafa kama ya Kenya!nafikiri ndo maana yanadharaulika
 
First lady you are not serious, Ya kwetu hayakuonyesha madhara? hivi wale vijana wa pemba walo uliwa, na wale walo kuwa wanachapwa mboko utadhani enzi za mkoloni?
Tusiandikie mate nenda youtube google zanzibar utaona mateso hayo yalivyo wazi kwa dunia nzima!

Shida ya viongozi wetu (CCM) ni kutaka sifa za nje wakati kwao kuna ungua! Ndo maana namshangaa JK anavo jichekeshaga mbele ya viongozi wa nje utadhani kwake kuko shwari!
 
Mr Zero issue ya Zanzibar na ya MUGABE ni tofauti kabisa!Labda ya Zanzibar inafanana na ile ya Kenya!Tofauti ni kwamba ZIMBAMBWE MUGABE kagombea peke yake na khali Morgani naye alitakiwa agombee!hapa issue ni MORGAN na MUGABE waingie kwenye ulingo!ili ukweli ujulikane je ni MUGABE AU MORGAN!tatizo linakuja serikali yetu inaangalia sana nje na ilifanikiwa kusaidia maelewano kenya na khali hapa kwetu the same tatizo kama la kenya limetushinda hadi leo

Mugabe hakushiriki uchaguzi peke yake, tume ya uchaguzi ya Zimbabwe ambayo inaundwa na wajumbe wanaotoka MDC na ZANU-PF walishasema, kujiondoa kwa Morgan hakuna maana yoyote kisheria, kwani analazimishwa na katiba kushiriki run-off, pia hata kama ni first round pia asingeweza kujitoa kwani mgombea anatakiwa kujitoa wiki nne kabla ya uchaguzi wakati yeye alijitoa wiki mbili kabla ya uchaguzi. Kama tunamtaka Mugabe atii sheria basi hata Morgan naye atii sheria na katiba ya Zimbabwe, tatizo naloliona hapa wengi hatuhoji pande mbili za shilingi Zimbabwe na kwa kifupi tulishapoteza uwezo huo tayari.
 
Kama serikali ya CCM ilikaa na Salmin Amour (Komandoo) kwa kipindi chake chote cha urais, nashindwa kuelewa hii guts ya Membe inatoka wapi sijui.
 
Back
Top Bottom