Tanzania hakuna kama Jose Mtambo

Tanzania hakuna kama Jose Mtambo

Yoh yoh wapi unakwenda, hebu njoo now put your hands up
Hapana kukaa man, come on now stand up
Tumble away, haha haha danger
Ni ngoma kali, mwenyewe naipenda, naila denda,

Beat inakutega ha! kama duka la mpemba
Rusha mikono man, rusha na miguu ukipenda

Mkanda ukikatika amini ipo suspender
And I like the way wakija, I like the way hata wakienda

Hata wakivaa kanga, kanga bado wananibamba
Nakuwa mkubwa, kama kidole kidole gumba

Kamwili kembamba, ila mi ni namba. (Kubwa)
Mmmh mmh eh mshamba
Kamuulize Anorld mwadai komando mwamba

Yoh man wats up, whats up come on hands up
Mi wa kigambo.ni, ingawa gamba sijaenda
No usiondoke, come back put your hands up... Jos Mtamboo huyo
Mechi za Ugenini[emoji91][emoji119]
 
Yoh yoh wapi unakwenda, hebu njoo now put your hands up
Hapana kukaa man, come on now stand up
Tumble away, haha haha danger
Ni ngoma kali, mwenyewe naipenda, naila denda,

Beat inakutega ha! kama duka la mpemba
Rusha mikono man, rusha na miguu ukipenda

Mkanda ukikatika amini ipo suspender
And I like the way wakija, I like the way hata wakienda

Hata wakivaa kanga, kanga bado wananibamba
Nakuwa mkubwa, kama kidole kidole gumba

Kamwili kembamba, ila mi ni namba. (Kubwa)
Mmmh mmh eh mshamba
Kamuulize Anorld mwadai komando mwamba

Yoh man wats up, whats up come on hands up
Mi wa kigambo.ni, ingawa gamba sijaenda
No usiondoke, come back put your hands up... Jos Mtamboo huyo
Uko sawa mkuu 👏👏
 
Bongo sijaona mwana Hip hop ambaye anaweza kuflow kama Jose Mtambo. Sijaona. Kama yupo mtaje wa kumshinda Jose Mtambo kwenye flow[emoji91][emoji91][emoji119]

#forgive me
Weka vigezo ulivyotumia ili wanaolinganishwa naye nao wapimwe kwa vigezo hivyo hivyo.
 
Sema unampenda .ni kweli.jamaa mzima sana ila enzi zao zimepita sisi tuliokuwa madhabiki zao saivi tuna vitambi na majukumu kibao wengi tunavaa mashati ya draft na sendo za kichaga
 
Shotout kwa Jose, bonge la moja la MC, shida kaendekeza sana tungi.. ana akili sana na mtu safi hana majivuno, ila tungi limemkolea hata kuhama kwao kashindwa.
 
Yoh yoh wapi unakwenda, hebu njoo now put your hands up
Hapana kukaa man, come on now stand up
Tumble away, haha haha danger
Ni ngoma kali, mwenyewe naipenda, naila denda,

Beat inakutega ha! kama duka la mpemba
Rusha mikono man, rusha na miguu ukipenda

Mkanda ukikatika amini ipo suspender
And I like the way wakija, I like the way hata wakienda

Hata wakivaa kanga, kanga bado wananibamba
Nakuwa mkubwa, kama kidole kidole gumba

Kamwili kembamba, ila mi ni namba. (Kubwa)
Mmmh mmh eh mshamba
Kamuulize Anorld mwadai komando mwamba

Yoh man wats up, whats up come on hands up
Mi wa kigambo.ni, ingawa gamba sijaenda
No usiondoke, come back put your hands up... Jos Mtamboo huyo
Hii verse mtambo alitisha sana kwenye ile beat!

Verse nyingine ninayoikubali sana ni ile ameshirikishwa na Mr. Paul ngoma inaitwa chocolate kama sijasahau..

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Yoh yoh wapi unakwenda, hebu njoo now put your hands up
Hapana kukaa man, come on now stand up
Tumble away, haha haha danger
Ni ngoma kali, mwenyewe naipenda, naila denda,

Beat inakutega ha! kama duka la mpemba
Rusha mikono man, rusha na miguu ukipenda

Mkanda ukikatika amini ipo suspender
And I like the way wakija, I like the way hata wakienda

Hata wakivaa kanga, kanga bado wananibamba
Nakuwa mkubwa, kama kidole kidole gumba

Kamwili kembamba, ila mi ni namba. (Kubwa)
Mmmh mmh eh mshamba
Kamuulize Anorld mwadai komando mwamba

Yoh man wats up, whats up come on hands up
Mi wa kigambo.ni, ingawa gamba sijaenda
No usiondoke, come back put your hands up... Jos Mtamboo huyo
Nikumbushe jina la hii ngoma Vinci Dayot Upamecano
 
Kwenye aina yake ya flow Kuna mtu anaitwa mitaani most wanted (Dknob) na King crazy Gk
 
Bongo sijaona mwana Hip hop ambaye anaweza kuflow kama Jose Mtambo. Sijaona. Kama yupo mtaje wa kumshinda Jose Mtambo kwenye flow[emoji91][emoji91][emoji119]

#forgive me
Uzi wako umekosa mantiki.
Kula msanii ana flow yake na upekee wake..

Ni kweli hapa bongo hakuna msanii anayeweza ku flow kama jose mtambo .
Lakini haimaanishi kwamba Jose mtambo ni msanii bora wa Hip hop
 
Shotout kwa Jose, bonge la moja la MC, shida kaendekeza sana tungi.. ana akili sana na mtu safi hana majivuno, ila tungi limemkolea hata kuhama kwao kashindwa.
Afu mchizi yuko hamble sana
 
Back
Top Bottom