Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni CCM

Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni CCM

Upinzani sio vyama bali ni itikadi,vyama ni wakilisho tu la kuonyesha wale walio na hiyo itikadi.Jinsi wenye itikadi kinzani wanavyokua wengi ndio jinsi upinzani unavyoongezeka.Sasa wewe inawezekana unaangalia chama kwa maana ya kusanyiko ila unasahau kua sio lazima mpinzani awe na chama.Vyama hivi vinaanzishwa na vinakufa ila itikadi haifi.kwasasa huwezi kuona kuna upinzani kiasi gani kwasababu tunategemea shughuli za vyama ndivyo vituonyeshe hali ya upinzani ilivyo.Japo ni sawa ila unakosea sana kwasababu hakuna uwiano sawa wa shughuli za kisiasa kati ya mtawala na mpinzani.kwahiyo usijidanganye ukadhani upinzani haupo kwakuangalia muktadha wa mrengo wa vyama pekee.Siasa zetu zimechelewa kukomaa ila kwakadri miaka inavyoenda watu wanaelimika na siku sio nyingi ccm itakua historia.Kwasababu ccm sasa haipumui kwa pua zake yenyewe bali mashine za kulazimisha.Omba uzima.
 
Basi kulikuwa hakuna sababu ya kumpga Lissu risasi nyingi kiasi kile kwa kutumia silaha ya kivita,mngetumia tu mshale. R.I.P Ben Saanane.
Yule alifanya kitu kibaya sana inawezekana. Na Lissu kupigwa risasa pengine haikuwa watu wa Serikali kama wengi wanavyodhani. Lissu ni public figure na maadui wengi tu. pengine walitumia uhasama uliopo baina yake na Serikali kumtwaga njugu wakijua wazi lawama zote zitaangukia kwa Serikali. Nasema tu.
 
1. Kwa nini CCM huwa inatumia nguvu za ziada kupambana na vyama vya upinzani(hasa nyakati za uchaguzi)?

2. Uoga wa CCM kuhusu katiba mpya ni wa nini?.

Kabla ya kuandika mada lazima ufikirie kwa kina.
CCM hawaogopi katiba mpya, hawaitaki tu.
 
Kwa upande mmoja naridhika na kwa upande mwingine siridhiki pia. Kwa sababu vyama vingi vya upinzani barani Afrika ni 'stooges' viko kutimiza maslahi ya nchi za magharibi, sio vyote, hapa mifano iko mingi sana. Hii haina maana vyama vikuu hakitumiki, ila ni vingi kwa upinzani. Na hii ni kwa sababu vyama vingi vya upinzani vimepigwa na umasikini wa hali ya juu ukilinganisha na vyama vikuu. Pia kipi kifanyike, vyama vya upinzani lazima viwe na clear agenda, na pia nadhani upinzani sio lazima kuwe na vyama, mnaweza kuwa na chama kimoja still mkapingana.
Hayo ni matatizo yetu kama watu weusi,ndo maana hata hao unaowaita vyama vikuu vinavyoongoza nchi navyenyewe haviwezi kusimamia serikali bila serikali kua tegemezi kwa nchi za magharibi.Hiyo nikwasababu bado tumeshikiwa akili.Ila mabadiliko yako kwa kadri watu wanavyoelimika.Usijiangalie tu wewe kwa miaka unayoishi ukaja na hitimisho,wakati nchi itakuwepo ata baada ya wewe kuondoka.jaribu kuangalia ata miaka 50 ijayo nchi itakuaje.
 
Ukweli sio kama ni mbaya au mchungu kama wasemavyo wahenga, ila uchungu na ubaya wake huja kulingana na maandalizi ya kuupokea. Ukitayarisha akili yako kupokea ukweli wakati wowote wala haitokuwia ugumu kuukubali na kuendelea na maisha yako. Tatizo ni pale tu ukweli unapokuja kisha hukuandaa akili yako kuupokea, utaumia tu.

Kichwa cha habari cha makala yangu hii mafupi ni ukweli ambao utakuwa shubiri kwa wengi hapa JF na kwingineko. Kwanini nasema Tanzania hakuna vyama vya upinzani vyote ni CCM tu? Nitatoa ufafanuzi.

Upinzani wa kweli Tanzania ulikuwa ule wa kabla ya 1965, ila baada ya Katiba ya 1965 iliyotambua TANU pekee kuwa chama cha siasa, vyama vya vyote vya upinzania vimekuwa vyama vya mchongo tu kama mifereji ya kujipatia fedha.

Vyama vyote vilivyoazishwa baada ya sheria ya vyama vya vingi ya 1992 vyote ni vyama vya mchongo na hadi leo vinajiendesha kimchongo tu. Wasomi wa Political Science wanajua vyama vya upinzani huchipua vipi na katika mazingira gani, kwa mazingira ya vyama vya Tanzania ni wazi kabisa vilianzishwa kimchongo. Unajua ilikuwaje?

Wakati Tanzania inapita ukata wa hali ya juu kuanzia mwaka 1980 baada ya vita na Uganda hadi mwaka 1985, Tanzania ilikuwa kwenye shinikizo kubwa kutoka nchi za magharibi kukubali baadhi ya masharti kama kupunguza thamani ya fedha, kukubali demokrasia ikiwemo vyama vingi, kubinafsisha mashirika ya serikali na kadhalika ili tu ipokee misaada ya fedha kutoka IMF na WB kunusuru uchumi wetu. Hapo ndio michongo ya vyama vingi ilianzia.

Hapo chama kilikuwa kimoja tu, CCM kilichabadili jina kutoka TANU 1977. Wazee kwa busara zao wakachaguana ndani ya CCM humohumo na kwenda kuazisha vyama vya siasa kuwacheza shere wazungu ili tupate fedha. Wakati huo Urusi mtu wetu wa nguvu dhooful-hali, China naye hayuko sawa sana, ikawa hatuna namna tukubali tu masharti ya Magharibi.

Kuanzia hapo akina Mtei wakaazisha CHADEMA, akina Mrema wakaja na NCCR - Mageuzi, CUF, TLP na vyama kibao vikafuata hadi leo tuna vyama zaidi ya 25 na ukitazama kwa karibu zaidi ya 90% ya waasisi wa vyama hivi wakati fulani walikuwa wafuasi warekeketwa wa CCM.

Bado kuna mtu kila siku anawaza kwamba kuna siku CHADEMA au chama kingine kitakuja kushika dola Tanzania, huwa nacheka na kumuombea dua kwa Mungu amtue mzigo huo wa ujinga, maana ni adhabu kwake. Hakuna nadharia hata moja kwenye sayansi ya siasa ambayo inafiti kuelezea namna vyama vya siasa Tanzania vilivyoibuka. Ni wazi kwamba ulikuwa mpango uliopangwa kwa lengo fulani, na sio madhumuni mahususi na ya dhati ya ukombozi wa watu na mali zao.

Ndio maana unaona ni rahisi sana mtu leo kuwa CHADEMA, kesho yuko CCM. Tena sio mtu mdogo, bali mtu wa nafasi kama ya Waziri MKuu mstaafu au nafasi yeyote kubwa. Vyama hivi vya upinzani vinafanya kazi miaka yote kutoa tu uhalali kwamba Tanzania tuna vyama vingi, na mwisho wa siku kila chama kinakula hela yake kwa kazi nzuri ya kuidanganya dunia kwamba Tanzaia tuna vyama vingi.

Tanzania inaweza hata kudanganya dunia kumfunga kiongozi mkubwa wa upinzani gerezani kwa muda mrefu kuonesha namna siasa za vyama vingi zilivyochangamka Tanzania. Viongozi wale kule ndani nani anajua wanaishije? Nani anajua wanakula kitu gani au wanalala wapi? Wakitoka hao wanakwenda zao Ikulu kukutana na marafiki zao ambao sisi tunaamini ni maadui. Huwa nacheka sana.

Kubwa mtambue tu kwamba siasa za upinzani Tanzania ni kiina macho tu. Nyie hamuoni vyama vya upinzania hapa tu nchi za maziwa makuu vinavyokuwa? Acheni utani Tanzania hakuna vyama vya siasa ni miradi ya watu hii.

CCM is here to stay, na hata vyama vya upinzani vinavyoanzishwa vinajua wazi kwamba ni ndoto kushika dola. CCM imefikia hatua ambayo haiitaji tena watu au kura ishinde uchaguzi. CCM ina mbinu zaidi ya 10 za kushinda Uchaguzi bila hata kupata kura. Sasa ni chama utashindana nacho hicho?

Wakati tunakaua makoo maskani kubishana CHADEMA na CCM, na hata kupigana na kujeruhiana kisa vyama vya siasa, tutambue kuwa maumivu yetu ni mtaji mkubwa sana kwa watu fulani mahali fulani. Narudia tena, Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni CCM.
Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCM
 
Kwa upande mmoja naridhika na kwa upande mwingine siridhiki pia. Kwa sababu vyama vingi vya upinzani barani Afrika ni 'stooges' viko kutimiza maslahi ya nchi za magharibi, sio vyote, hapa mifano iko mingi sana. Hii haina maana vyama vikuu hakitumiki, ila ni vingi kwa upinzani. Na hii ni kwa sababu vyama vingi vya upinzani vimepigwa na umasikini wa hali ya juu ukilinganisha na vyama vikuu. Pia kipi kifanyike, vyama vya upinzani lazima viwe na clear agenda, na pia nadhani upinzani sio lazima kuwe na vyama, mnaweza kuwa na chama kimoja still mkapingana.
Hatuwezi Kwenda kinyume na wanavyotaka wafadhili !! Vyama lazima viwepo !! Na ni kwanini nguvu kubwa huwa inatumika kuvidhibiti vyama vya upinzani na wapinzani wa kawaida huko mitaani ?
 
Yule alifanya kitu kibaya sana inawezekana. Na Lissu kupigwa risasa pengine haikuwa watu wa Serikali kama wengi wanavyodhani. Lissu ni public figure na maadui wengi tu. pengine walitumia uhasama uliopo baina yake na Serikali kumtwaga njugu wakijua wazi lawama zote zitaangukia kwa Serikali. Nasema tu.

..aliyeondoa walinzi wa area D, eneo la serikali aliposhambuliwa Lissu, anawafahamu wahusika wa shambulizi lile.
 
Ukweli sio kama ni mbaya au mchungu kama wasemavyo wahenga, ila uchungu na ubaya wake huja kulingana na maandalizi ya kuupokea. Ukitayarisha akili yako kupokea ukweli wakati wowote wala haitokuwia ugumu kuukubali na kuendelea na maisha yako. Tatizo ni pale tu ukweli unapokuja kisha hukuandaa akili yako kuupokea, utaumia tu.

Kichwa cha habari cha makala yangu hii mafupi ni ukweli ambao utakuwa shubiri kwa wengi hapa JF na kwingineko. Kwanini nasema Tanzania hakuna vyama vya upinzani vyote ni CCM tu? Nitatoa ufafanuzi.

Upinzani wa kweli Tanzania ulikuwa ule wa kabla ya 1965, ila baada ya Katiba ya 1965 iliyotambua TANU pekee kuwa chama cha siasa, vyama vya vyote vya upinzania vimekuwa vyama vya mchongo tu kama mifereji ya kujipatia fedha.

Vyama vyote vilivyoazishwa baada ya sheria ya vyama vya vingi ya 1992 vyote ni vyama vya mchongo na hadi leo vinajiendesha kimchongo tu. Wasomi wa Political Science wanajua vyama vya upinzani huchipua vipi na katika mazingira gani, kwa mazingira ya vyama vya Tanzania ni wazi kabisa vilianzishwa kimchongo. Unajua ilikuwaje?

Wakati Tanzania inapita ukata wa hali ya juu kuanzia mwaka 1980 baada ya vita na Uganda hadi mwaka 1985, Tanzania ilikuwa kwenye shinikizo kubwa kutoka nchi za magharibi kukubali baadhi ya masharti kama kupunguza thamani ya fedha, kukubali demokrasia ikiwemo vyama vingi, kubinafsisha mashirika ya serikali na kadhalika ili tu ipokee misaada ya fedha kutoka IMF na WB kunusuru uchumi wetu. Hapo ndio michongo ya vyama vingi ilianzia.

Hapo chama kilikuwa kimoja tu, CCM kilichabadili jina kutoka TANU 1977. Wazee kwa busara zao wakachaguana ndani ya CCM humohumo na kwenda kuazisha vyama vya siasa kuwacheza shere wazungu ili tupate fedha. Wakati huo Urusi mtu wetu wa nguvu dhooful-hali, China naye hayuko sawa sana, ikawa hatuna namna tukubali tu masharti ya Magharibi.

Kuanzia hapo akina Mtei wakaazisha CHADEMA, akina Mrema wakaja na NCCR - Mageuzi, CUF, TLP na vyama kibao vikafuata hadi leo tuna vyama zaidi ya 25 na ukitazama kwa karibu zaidi ya 90% ya waasisi wa vyama hivi wakati fulani walikuwa wafuasi warekeketwa wa CCM.

Bado kuna mtu kila siku anawaza kwamba kuna siku CHADEMA au chama kingine kitakuja kushika dola Tanzania, huwa nacheka na kumuombea dua kwa Mungu amtue mzigo huo wa ujinga, maana ni adhabu kwake. Hakuna nadharia hata moja kwenye sayansi ya siasa ambayo inafiti kuelezea namna vyama vya siasa Tanzania vilivyoibuka. Ni wazi kwamba ulikuwa mpango uliopangwa kwa lengo fulani, na sio madhumuni mahususi na ya dhati ya ukombozi wa watu na mali zao.

Ndio maana unaona ni rahisi sana mtu leo kuwa CHADEMA, kesho yuko CCM. Tena sio mtu mdogo, bali mtu wa nafasi kama ya Waziri MKuu mstaafu au nafasi yeyote kubwa. Vyama hivi vya upinzani vinafanya kazi miaka yote kutoa tu uhalali kwamba Tanzania tuna vyama vingi, na mwisho wa siku kila chama kinakula hela yake kwa kazi nzuri ya kuidanganya dunia kwamba Tanzaia tuna vyama vingi.

Tanzania inaweza hata kudanganya dunia kumfunga kiongozi mkubwa wa upinzani gerezani kwa muda mrefu kuonesha namna siasa za vyama vingi zilivyochangamka Tanzania. Viongozi wale kule ndani nani anajua wanaishije? Nani anajua wanakula kitu gani au wanalala wapi? Wakitoka hao wanakwenda zao Ikulu kukutana na marafiki zao ambao sisi tunaamini ni maadui. Huwa nacheka sana.

Kubwa mtambue tu kwamba siasa za upinzani Tanzania ni kiina macho tu. Nyie hamuoni vyama vya upinzania hapa tu nchi za maziwa makuu vinavyokuwa? Acheni utani Tanzania hakuna vyama vya siasa ni miradi ya watu hii.

CCM is here to stay, na hata vyama vya upinzani vinavyoanzishwa vinajua wazi kwamba ni ndoto kushika dola. CCM imefikia hatua ambayo haiitaji tena watu au kura ishinde uchaguzi. CCM ina mbinu zaidi ya 10 za kushinda Uchaguzi bila hata kupata kura. Sasa ni chama utashindana nacho hicho?

Wakati tunakaua makoo maskani kubishana CHADEMA na CCM, na hata kupigana na kujeruhiana kisa vyama vya siasa, tutambue kuwa maumivu yetu ni mtaji mkubwa sana kwa watu fulani mahali fulani. Narudia tena, Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni CCM.
Upumbavu wako umekomaa sana
 
Ukweli sio kama ni mbaya au mchungu kama wasemavyo wahenga, ila uchungu na ubaya wake huja kulingana na maandalizi ya kuupokea. Ukitayarisha akili yako kupokea ukweli wakati wowote wala haitokuwia ugumu kuukubali na kuendelea na maisha yako. Tatizo ni pale tu ukweli unapokuja kisha hukuandaa akili yako kuupokea, utaumia tu.

Kichwa cha habari cha makala yangu hii mafupi ni ukweli ambao utakuwa shubiri kwa wengi hapa JF na kwingineko. Kwanini nasema Tanzania hakuna vyama vya upinzani vyote ni CCM tu? Nitatoa ufafanuzi.

Upinzani wa kweli Tanzania ulikuwa ule wa kabla ya 1965, ila baada ya Katiba ya 1965 iliyotambua TANU pekee kuwa chama cha siasa, vyama vya vyote vya upinzania vimekuwa vyama vya mchongo tu kama mifereji ya kujipatia fedha.

Vyama vyote vilivyoazishwa baada ya sheria ya vyama vya vingi ya 1992 vyote ni vyama vya mchongo na hadi leo vinajiendesha kimchongo tu. Wasomi wa Political Science wanajua vyama vya upinzani huchipua vipi na katika mazingira gani, kwa mazingira ya vyama vya Tanzania ni wazi kabisa vilianzishwa kimchongo. Unajua ilikuwaje?

Wakati Tanzania inapita ukata wa hali ya juu kuanzia mwaka 1980 baada ya vita na Uganda hadi mwaka 1985, Tanzania ilikuwa kwenye shinikizo kubwa kutoka nchi za magharibi kukubali baadhi ya masharti kama kupunguza thamani ya fedha, kukubali demokrasia ikiwemo vyama vingi, kubinafsisha mashirika ya serikali na kadhalika ili tu ipokee misaada ya fedha kutoka IMF na WB kunusuru uchumi wetu. Hapo ndio michongo ya vyama vingi ilianzia.

Hapo chama kilikuwa kimoja tu, CCM kilichabadili jina kutoka TANU 1977. Wazee kwa busara zao wakachaguana ndani ya CCM humohumo na kwenda kuazisha vyama vya siasa kuwacheza shere wazungu ili tupate fedha. Wakati huo Urusi mtu wetu wa nguvu dhooful-hali, China naye hayuko sawa sana, ikawa hatuna namna tukubali tu masharti ya Magharibi.

Kuanzia hapo akina Mtei wakaazisha CHADEMA, akina Mrema wakaja na NCCR - Mageuzi, CUF, TLP na vyama kibao vikafuata hadi leo tuna vyama zaidi ya 25 na ukitazama kwa karibu zaidi ya 90% ya waasisi wa vyama hivi wakati fulani walikuwa wafuasi warekeketwa wa CCM.

Bado kuna mtu kila siku anawaza kwamba kuna siku CHADEMA au chama kingine kitakuja kushika dola Tanzania, huwa nacheka na kumuombea dua kwa Mungu amtue mzigo huo wa ujinga, maana ni adhabu kwake. Hakuna nadharia hata moja kwenye sayansi ya siasa ambayo inafiti kuelezea namna vyama vya siasa Tanzania vilivyoibuka. Ni wazi kwamba ulikuwa mpango uliopangwa kwa lengo fulani, na sio madhumuni mahususi na ya dhati ya ukombozi wa watu na mali zao.

Ndio maana unaona ni rahisi sana mtu leo kuwa CHADEMA, kesho yuko CCM. Tena sio mtu mdogo, bali mtu wa nafasi kama ya Waziri MKuu mstaafu au nafasi yeyote kubwa. Vyama hivi vya upinzani vinafanya kazi miaka yote kutoa tu uhalali kwamba Tanzania tuna vyama vingi, na mwisho wa siku kila chama kinakula hela yake kwa kazi nzuri ya kuidanganya dunia kwamba Tanzaia tuna vyama vingi.

Tanzania inaweza hata kudanganya dunia kumfunga kiongozi mkubwa wa upinzani gerezani kwa muda mrefu kuonesha namna siasa za vyama vingi zilivyochangamka Tanzania. Viongozi wale kule ndani nani anajua wanaishije? Nani anajua wanakula kitu gani au wanalala wapi? Wakitoka hao wanakwenda zao Ikulu kukutana na marafiki zao ambao sisi tunaamini ni maadui. Huwa nacheka sana.

Kubwa mtambue tu kwamba siasa za upinzani Tanzania ni kiina macho tu. Nyie hamuoni vyama vya upinzania hapa tu nchi za maziwa makuu vinavyokuwa? Acheni utani Tanzania hakuna vyama vya siasa ni miradi ya watu hii.

CCM is here to stay, na hata vyama vya upinzani vinavyoanzishwa vinajua wazi kwamba ni ndoto kushika dola. CCM imefikia hatua ambayo haiitaji tena watu au kura ishinde uchaguzi. CCM ina mbinu zaidi ya 10 za kushinda Uchaguzi bila hata kupata kura. Sasa ni chama utashindana nacho hicho?

Wakati tunakaua makoo maskani kubishana CHADEMA na CCM, na hata kupigana na kujeruhiana kisa vyama vya siasa, tutambue kuwa maumivu yetu ni mtaji mkubwa sana kwa watu fulani mahali fulani. Narudia tena, Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni CCM.
Toa ACT.,
 
we ni nzi wa kijani una uhakika mrema alianzisha nccr tafuta bwana wa kukulamba hyo asali kwenye msafara wa mamba na ww umo kenge mkubwa ww,usiulize kwann nimekutusi nazani jibu unalo
Kwani Umoja Party mnaanza lini? Pole I.
 
Ukweli sio kama ni mbaya au mchungu kama wasemavyo wahenga, ila uchungu na ubaya wake huja kulingana na maandalizi ya kuupokea. Ukitayarisha akili yako kupokea ukweli wakati wowote wala haitokuwia ugumu kuukubali na kuendelea na maisha yako. Tatizo ni pale tu ukweli unapokuja kisha hukuandaa akili yako kuupokea, utaumia tu.

Kichwa cha habari cha makala yangu hii mafupi ni ukweli ambao utakuwa shubiri kwa wengi hapa JF na kwingineko. Kwanini nasema Tanzania hakuna vyama vya upinzani vyote ni CCM tu? Nitatoa ufafanuzi.

Upinzani wa kweli Tanzania ulikuwa ule wa kabla ya 1965, ila baada ya Katiba ya 1965 iliyotambua TANU pekee kuwa chama cha siasa, vyama vya vyote vya upinzania vimekuwa vyama vya mchongo tu kama mifereji ya kujipatia fedha.

Vyama vyote vilivyoazishwa baada ya sheria ya vyama vya vingi ya 1992 vyote ni vyama vya mchongo na hadi leo vinajiendesha kimchongo tu. Wasomi wa Political Science wanajua vyama vya upinzani huchipua vipi na katika mazingira gani, kwa mazingira ya vyama vya Tanzania ni wazi kabisa vilianzishwa kimchongo. Unajua ilikuwaje?

Wakati Tanzania inapita ukata wa hali ya juu kuanzia mwaka 1980 baada ya vita na Uganda hadi mwaka 1985, Tanzania ilikuwa kwenye shinikizo kubwa kutoka nchi za magharibi kukubali baadhi ya masharti kama kupunguza thamani ya fedha, kukubali demokrasia ikiwemo vyama vingi, kubinafsisha mashirika ya serikali na kadhalika ili tu ipokee misaada ya fedha kutoka IMF na WB kunusuru uchumi wetu. Hapo ndio michongo ya vyama vingi ilianzia.

Hapo chama kilikuwa kimoja tu, CCM kilichabadili jina kutoka TANU 1977. Wazee kwa busara zao wakachaguana ndani ya CCM humohumo na kwenda kuazisha vyama vya siasa kuwacheza shere wazungu ili tupate fedha. Wakati huo Urusi mtu wetu wa nguvu dhooful-hali, China naye hayuko sawa sana, ikawa hatuna namna tukubali tu masharti ya Magharibi.

Kuanzia hapo akina Mtei wakaazisha CHADEMA, akina Mrema wakaja na NCCR - Mageuzi, CUF, TLP na vyama kibao vikafuata hadi leo tuna vyama zaidi ya 25 na ukitazama kwa karibu zaidi ya 90% ya waasisi wa vyama hivi wakati fulani walikuwa wafuasi warekeketwa wa CCM.

Bado kuna mtu kila siku anawaza kwamba kuna siku CHADEMA au chama kingine kitakuja kushika dola Tanzania, huwa nacheka na kumuombea dua kwa Mungu amtue mzigo huo wa ujinga, maana ni adhabu kwake. Hakuna nadharia hata moja kwenye sayansi ya siasa ambayo inafiti kuelezea namna vyama vya siasa Tanzania vilivyoibuka. Ni wazi kwamba ulikuwa mpango uliopangwa kwa lengo fulani, na sio madhumuni mahususi na ya dhati ya ukombozi wa watu na mali zao.

Ndio maana unaona ni rahisi sana mtu leo kuwa CHADEMA, kesho yuko CCM. Tena sio mtu mdogo, bali mtu wa nafasi kama ya Waziri MKuu mstaafu au nafasi yeyote kubwa. Vyama hivi vya upinzani vinafanya kazi miaka yote kutoa tu uhalali kwamba Tanzania tuna vyama vingi, na mwisho wa siku kila chama kinakula hela yake kwa kazi nzuri ya kuidanganya dunia kwamba Tanzaia tuna vyama vingi.

Tanzania inaweza hata kudanganya dunia kumfunga kiongozi mkubwa wa upinzani gerezani kwa muda mrefu kuonesha namna siasa za vyama vingi zilivyochangamka Tanzania. Viongozi wale kule ndani nani anajua wanaishije? Nani anajua wanakula kitu gani au wanalala wapi? Wakitoka hao wanakwenda zao Ikulu kukutana na marafiki zao ambao sisi tunaamini ni maadui. Huwa nacheka sana.

Kubwa mtambue tu kwamba siasa za upinzani Tanzania ni kiina macho tu. Nyie hamuoni vyama vya upinzania hapa tu nchi za maziwa makuu vinavyokuwa? Acheni utani Tanzania hakuna vyama vya siasa ni miradi ya watu hii.

CCM is here to stay, na hata vyama vya upinzani vinavyoanzishwa vinajua wazi kwamba ni ndoto kushika dola. CCM imefikia hatua ambayo haiitaji tena watu au kura ishinde uchaguzi. CCM ina mbinu zaidi ya 10 za kushinda Uchaguzi bila hata kupata kura. Sasa ni chama utashindana nacho hicho?

Wakati tunakaua makoo maskani kubishana CHADEMA na CCM, na hata kupigana na kujeruhiana kisa vyama vya siasa, tutambue kuwa maumivu yetu ni mtaji mkubwa sana kwa watu fulani mahali fulani. Narudia tena, Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni CCM.
Nakushauri uunde chama Cha Upinzani tutoke huko tuje kwako,
 
Ukweli sio kama ni mbaya au mchungu kama wasemavyo wahenga, ila uchungu na ubaya wake huja kulingana na maandalizi ya kuupokea. Ukitayarisha akili yako kupokea ukweli wakati wowote wala haitokuwia ugumu kuukubali na kuendelea na maisha yako. Tatizo ni pale tu ukweli unapokuja kisha hukuandaa akili yako kuupokea, utaumia tu.

Kichwa cha habari cha makala yangu hii mafupi ni ukweli ambao utakuwa shubiri kwa wengi hapa JF na kwingineko. Kwanini nasema Tanzania hakuna vyama vya upinzani vyote ni CCM tu? Nitatoa ufafanuzi.

Upinzani wa kweli Tanzania ulikuwa ule wa kabla ya 1965, ila baada ya Katiba ya 1965 iliyotambua TANU pekee kuwa chama cha siasa, vyama vya vyote vya upinzania vimekuwa vyama vya mchongo tu kama mifereji ya kujipatia fedha.

Vyama vyote vilivyoazishwa baada ya sheria ya vyama vya vingi ya 1992 vyote ni vyama vya mchongo na hadi leo vinajiendesha kimchongo tu. Wasomi wa Political Science wanajua vyama vya upinzani huchipua vipi na katika mazingira gani, kwa mazingira ya vyama vya Tanzania ni wazi kabisa vilianzishwa kimchongo. Unajua ilikuwaje?

Wakati Tanzania inapita ukata wa hali ya juu kuanzia mwaka 1980 baada ya vita na Uganda hadi mwaka 1985, Tanzania ilikuwa kwenye shinikizo kubwa kutoka nchi za magharibi kukubali baadhi ya masharti kama kupunguza thamani ya fedha, kukubali demokrasia ikiwemo vyama vingi, kubinafsisha mashirika ya serikali na kadhalika ili tu ipokee misaada ya fedha kutoka IMF na WB kunusuru uchumi wetu. Hapo ndio michongo ya vyama vingi ilianzia.

Hapo chama kilikuwa kimoja tu, CCM kilichabadili jina kutoka TANU 1977. Wazee kwa busara zao wakachaguana ndani ya CCM humohumo na kwenda kuazisha vyama vya siasa kuwacheza shere wazungu ili tupate fedha. Wakati huo Urusi mtu wetu wa nguvu dhooful-hali, China naye hayuko sawa sana, ikawa hatuna namna tukubali tu masharti ya Magharibi.

Kuanzia hapo akina Mtei wakaazisha CHADEMA, akina Mrema wakaja na NCCR - Mageuzi, CUF, TLP na vyama kibao vikafuata hadi leo tuna vyama zaidi ya 25 na ukitazama kwa karibu zaidi ya 90% ya waasisi wa vyama hivi wakati fulani walikuwa wafuasi warekeketwa wa CCM.

Bado kuna mtu kila siku anawaza kwamba kuna siku CHADEMA au chama kingine kitakuja kushika dola Tanzania, huwa nacheka na kumuombea dua kwa Mungu amtue mzigo huo wa ujinga, maana ni adhabu kwake. Hakuna nadharia hata moja kwenye sayansi ya siasa ambayo inafiti kuelezea namna vyama vya siasa Tanzania vilivyoibuka. Ni wazi kwamba ulikuwa mpango uliopangwa kwa lengo fulani, na sio madhumuni mahususi na ya dhati ya ukombozi wa watu na mali zao.

Ndio maana unaona ni rahisi sana mtu leo kuwa CHADEMA, kesho yuko CCM. Tena sio mtu mdogo, bali mtu wa nafasi kama ya Waziri MKuu mstaafu au nafasi yeyote kubwa. Vyama hivi vya upinzani vinafanya kazi miaka yote kutoa tu uhalali kwamba Tanzania tuna vyama vingi, na mwisho wa siku kila chama kinakula hela yake kwa kazi nzuri ya kuidanganya dunia kwamba Tanzaia tuna vyama vingi.

Tanzania inaweza hata kudanganya dunia kumfunga kiongozi mkubwa wa upinzani gerezani kwa muda mrefu kuonesha namna siasa za vyama vingi zilivyochangamka Tanzania. Viongozi wale kule ndani nani anajua wanaishije? Nani anajua wanakula kitu gani au wanalala wapi? Wakitoka hao wanakwenda zao Ikulu kukutana na marafiki zao ambao sisi tunaamini ni maadui. Huwa nacheka sana.

Kubwa mtambue tu kwamba siasa za upinzani Tanzania ni kiina macho tu. Nyie hamuoni vyama vya upinzania hapa tu nchi za maziwa makuu vinavyokuwa? Acheni utani Tanzania hakuna vyama vya siasa ni miradi ya watu hii.

CCM is here to stay, na hata vyama vya upinzani vinavyoanzishwa vinajua wazi kwamba ni ndoto kushika dola. CCM imefikia hatua ambayo haiitaji tena watu au kura ishinde uchaguzi. CCM ina mbinu zaidi ya 10 za kushinda Uchaguzi bila hata kupata kura. Sasa ni chama utashindana nacho hicho?

Wakati tunakaua makoo maskani kubishana CHADEMA na CCM, na hata kupigana na kujeruhiana kisa vyama vya siasa, tutambue kuwa maumivu yetu ni mtaji mkubwa sana kwa watu fulani mahali fulani. Narudia tena, Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni CCM.
Kwani CHADEMA, NCCR-Mageuzi, CUF, TLP, ACT vyote vikiwa ni vya CCM wewe unadhurika nini?
Vizuri zaidi anzisha chama chako upambane kiume na CCM.
 
Ewe bint wa kimasai tafuta kwqnza mume alambe hiyo asali isije ikamwagika

mambo mengine baadae
 
Yule alifanya kitu kibaya sana inawezekana. Na Lissu kupigwa risasa pengine haikuwa watu wa Serikali kama wengi wanavyodhani. Lissu ni public figure na maadui wengi tu. pengine walitumia uhasama uliopo baina yake na Serikali kumtwaga njugu wakijua wazi lawama zote zitaangukia kwa Serikali. Nasema tu.
Hapa ndio nimekuona kumbe wewe ni bogus. Mwanzoni niliona kama una hoja ila kwa hii comment yako imeonyesha ulivyo mtupu kichwani.
 
Yule alifanya kitu kibaya sana inawezekana. Na Lissu kupigwa risasa pengine haikuwa watu wa Serikali kama wengi wanavyodhani. Lissu ni public figure na maadui wengi tu. pengine walitumia uhasama uliopo baina yake na Serikali kumtwaga njugu wakijua wazi lawama zote zitaangukia kwa Serikali. Nasema tu.
Umevuka mipaka katika kuandika porojo.
 
Back
Top Bottom