Besta Mlagila
Senior Member
- May 29, 2018
- 101
- 191
- Thread starter
-
- #21
Lowassa alishindwa kufanya hivyo Lissu hatawezaKwa taarifa yako wanachama wengi wa CCM wapo nyuma ya Lissu ili awasaidie kukikomboa chama na waepuke balaa la kulazimishiwa watu kama Bashite 2025. Wanamuita adui mwenye manufaa
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ambaye ni nani???Hii hii CCM inayomilikiwa na aliyechapishiwa fomu moja ya mgombea.
Tena alishasema atakavyoamka ndiyo itakavyokuwa siku hiyoHii hii CCM inayomilikiwa na aliyechapishiwa fomu moja ya mgombea.
Eti maendeleo, hatari sn ameshindwa kuleta maendeleo amebaki kukimbina na wapinzaniKwanini kiongozi wa kisiasa awe na malengo ya kufuta upinzani, maana yake nini? Kuua demokrasia? Kuondoa mawazo mbadala? Alafu matokeo yake ni nini? Wewe mleta uzi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, unamuharibia mgombea wako bila kujua
Na ikawa hivyoTena alishasema atakavyoamka ndiyo itakavyokuwa siku hiyo
Mazuzu yanashangaliaNa ikawa hivyo
Walikubaliana yeye ndio anayewafaa zaidiHii hii CCM inayomilikiwa na aliyechapishiwa fomu moja ya mgombea.
Aisee kuna watu hata hamjui kujipendekeza, sasa hapa umeandika nini. Nakushauri weka jina lako na namba ya simu labda utakumbukwa mbeleni huko. Wasted sperm.JPM alipoingia madarakani alisema ataua vyama vya upizani hawakumuelewa, wakapiga kelele bila tafakuri Kumbe JPM alimaanisha kwa utendaji wake ifikapo 2020 hakuna atakaekuwa na Sera za kueleza kwa wananchi.
Nini Matokeo yake
Mpaka unafika mwaka wa uchaguzi Si CHADEMA, ACT Wazalendo wala CUF waliokuwa wanajua nani angesimamishwa katika nafasi ya Urais kushindana na JPM, Mpaka uchaguzi umekaribia CHADEMA wakamsimamisha LISSU, ACT Wazalendo wakamsimamisha MEMBE na CUF wakamsimamisha LIPUMBA.
Katika kampeni zinazoendeleo mgombea anayefanya kampeni kwa kiasi kikubwa ni TUNDU LISSU lakini ukimsikiliza hoja anazotoa majukwaani haziakisi maisha ya mtanzania wa kawaida anayehitaji Maji safi, Huduma za Afya bora, Kilimo cha uhakika, nk badala yake anaahidi uhuru wa kuongea, kutoa mawazo na kutoa ahadi nono bila kueleze utekelezaji wake kitendo kinacosababisha zionekane ni danganya toto.
Nini Kinaendelea sasa
Baada ya Wapinzani (CHADEMA na ACT) kuona JPM atawashinda kwa urahisi wameamua kuungana na Kumsaliti MEMBE kitendo kinacholeta sintofahamu kwa wananchi na baadhi ya wanachama.
HAKIKA kinacoendelea wapinzani kusigana siku 7 kabla ya uchaguzi ni anguko la upinzani Nchini.
Kwa Sasa unaishi wapi.Inaonekana km wewe ni mgeni umeingia Tz jana.Hili si andiko la mtu abayeishi Tz.JPM alipoingia madarakani alisema ataua vyama vya upizani hawakumuelewa, wakapiga kelele bila tafakuri Kumbe JPM alimaanisha kwa utendaji wake ifikapo 2020 hakuna atakaekuwa na Sera za kueleza kwa wananchi.
Nini Matokeo yake
Mpaka unafika mwaka wa uchaguzi Si CHADEMA, ACT Wazalendo wala CUF waliokuwa wanajua nani angesimamishwa katika nafasi ya Urais kushindana na JPM, Mpaka uchaguzi umekaribia CHADEMA wakamsimamisha LISSU, ACT Wazalendo wakamsimamisha MEMBE na CUF wakamsimamisha LIPUMBA.
Katika kampeni zinazoendeleo mgombea anayefanya kampeni kwa kiasi kikubwa ni TUNDU LISSU lakini ukimsikiliza hoja anazotoa majukwaani haziakisi maisha ya mtanzania wa kawaida anayehitaji Maji safi, Huduma za Afya bora, Kilimo cha uhakika, nk badala yake anaahidi uhuru wa kuongea, kutoa mawazo na kutoa ahadi nono bila kueleze utekelezaji wake kitendo kinacosababisha zionekane ni danganya toto.
Nini Kinaendelea sasa
Baada ya Wapinzani (CHADEMA na ACT) kuona JPM atawashinda kwa urahisi wameamua kuungana na Kumsaliti MEMBE kitendo kinacholeta sintofahamu kwa wananchi na baadhi ya wanachama.
HAKIKA kinacoendelea wapinzani kusigana siku 7 kabla ya uchaguzi ni anguko la upinzani Nchini.
Unaishi wapie?Hakuna Upinzani Tanzania wote Wasaka tonge tu
Nyuma yakoUnaishi wapie?
Empty setNyuma yako
Ulitegemea Lissu azungumzie nini zaidi ya aliyoongea?JPM alipoingia madarakani alisema ataua vyama vya upizani hawakumuelewa, wakapiga kelele bila tafakuri Kumbe JPM alimaanisha kwa utendaji wake ifikapo 2020 hakuna atakaekuwa na Sera za kueleza kwa wananchi.
Nini Matokeo yake
Mpaka unafika mwaka wa uchaguzi Si CHADEMA, ACT Wazalendo wala CUF waliokuwa wanajua nani angesimamishwa katika nafasi ya Urais kushindana na JPM, Mpaka uchaguzi umekaribia CHADEMA wakamsimamisha LISSU, ACT Wazalendo wakamsimamisha MEMBE na CUF wakamsimamisha LIPUMBA.
Katika kampeni zinazoendeleo mgombea anayefanya kampeni kwa kiasi kikubwa ni TUNDU LISSU lakini ukimsikiliza hoja anazotoa majukwaani haziakisi maisha ya mtanzania wa kawaida anayehitaji Maji safi, Huduma za Afya bora, Kilimo cha uhakika, nk badala yake anaahidi uhuru wa kuongea, kutoa mawazo na kutoa ahadi nono bila kueleze utekelezaji wake kitendo kinacosababisha zionekane ni danganya toto.
Nini Kinaendelea sasa
Baada ya Wapinzani (CHADEMA na ACT) kuona JPM atawashinda kwa urahisi wameamua kuungana na Kumsaliti MEMBE kitendo kinacholeta sintofahamu kwa wananchi na baadhi ya wanachama.
HAKIKA kinacoendelea wapinzani kusigana siku 7 kabla ya uchaguzi ni anguko la upinzani nchini.
Umakini utatokea wapi wakati vyama vinaendeshwa na mtu mmoja,mpaka kufikia kufanya maamuzi kama haya 👇👇JPM alipoingia madarakani alisema ataua vyama vya upizani hawakumuelewa, wakapiga kelele bila tafakuri Kumbe JPM alimaanisha kwa utendaji wake ifikapo 2020 hakuna atakaekuwa na Sera za kueleza kwa wananchi.
Nini Matokeo yake
Mpaka unafika mwaka wa uchaguzi Si CHADEMA, ACT Wazalendo wala CUF waliokuwa wanajua nani angesimamishwa katika nafasi ya Urais kushindana na JPM, Mpaka uchaguzi umekaribia CHADEMA wakamsimamisha LISSU, ACT Wazalendo wakamsimamisha MEMBE na CUF wakamsimamisha LIPUMBA.
Katika kampeni zinazoendeleo mgombea anayefanya kampeni kwa kiasi kikubwa ni TUNDU LISSU lakini ukimsikiliza hoja anazotoa majukwaani haziakisi maisha ya mtanzania wa kawaida anayehitaji Maji safi, Huduma za Afya bora, Kilimo cha uhakika, nk badala yake anaahidi uhuru wa kuongea, kutoa mawazo na kutoa ahadi nono bila kueleze utekelezaji wake kitendo kinacosababisha zionekane ni danganya toto.
Nini Kinaendelea sasa
Baada ya Wapinzani (CHADEMA na ACT) kuona JPM atawashinda kwa urahisi wameamua kuungana na Kumsaliti MEMBE kitendo kinacholeta sintofahamu kwa wananchi na baadhi ya wanachama.
HAKIKA kinacoendelea wapinzani kusigana siku 7 kabla ya uchaguzi ni anguko la upinzani nchini.