Tanzania has approx 2 Million more people living in slums, than Kenya

Leo hii wanakwambia nairobi ndio kichwa ya Kenya lakini chaa ajabu kichwa chenyewe kina makovu kila sehemu sasa unajiuliza kama kichwa kiko hivo mwili wore utakuaje....nairobi ndio giant wa slums dunia nzima ikiongozwa na kibera
😀😀😀😀😀😀
 
Iliyo baki hapo Ardh ni ya mabeberu
Wakenya wanaishi kwenye Slum!!
Hawa watu Hovyo kabisa
 
"nchi cha gani?" ndio kusema nini sasa? wacha 'kubwabwaja' (whatever the fook it means). be rest assured that anything that a Kenyan posts here on JF is not what exactly he would, if suppose there were only Kenyans in the thread. 'They' (Kenyans) are just bringing themselves to your level! halafu na uwache ku_shrub. 'l' haijawai kuwa 'r' so no sawa kusema 'jisajili' na wala sio 'jisajiri'.
 
Unamdharau huyo
Akifanya show moja
tena saa moja tu
nimshahara tosha wa Rais wenu mwezi mzima
bila kuingiza ufisadi
wewe unajua rais wetu net worth yake ama unamwaga ujinga wako tu? use google and search Uhuru kenyatta net worth..rhen search Diamond net worth alafu uje uniambie....
 
wewe unajua rais wetu net worth yake ama unamwaga ujinga wako tu? use google and search Uhuru kenyatta net worth..rhen search Diamond net worth alafu uje uniambie....
Uhuru Kenyatta kazaliwa kwenye familia ya mabepari so lazma awe hvo tu hehehhehehe
We ushaskia wapi hii karibu robo ya Kenya ardhi ya kenyatta nusu ya makampuni yakenya yake kweli asiwe fisadi tu hahahhhhahhh
 
Sio msee ni Mzee tengua kauli yako kwanza
nilikuwa naongea na mKenya. wacha kudakiadakia maneno. kuna tofauti ya 'msee' na 'mzee'. mzee ni mtu aliyezeeka... totally different from 'msee'.
haunifundishi Sheng'. Ala!
 
nilikuwa naongea na mKenya. wacha kudakiadakia maneno. kuna tofauti ya 'msee' na 'mzee'. mzee ni mtu aliyezeeka... totally different from 'msee'.
haunifundishi Sheng'! Ala!
Sheng in thug language so hatu consider kama proper language hehhehhehee ongea lugha ya adabu ueleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…