Tanzania has approx 2 Million more people living in slums, than Kenya

Tanzania has approx 2 Million more people living in slums, than Kenya

Yeah, there aint any slums in Dar, cos pretty much the entire place is shantytown. There isnt any particular place u can describe as a slum

Dar+es+Salaam+suburbs+2.jpg


Dar is Slum!

I told them that and they kept saying they didn't understand what i said
 
Yeah. kaa mbali na mimi. kubali umeshindwa. hata mtoto ako kindergaten ("chekechea" kama sijakosea) Kenya anaeza kukutoanisha vibaya sana. if you can't express yourself in English in Kenya, it means you never set your feet in a classroom door.

nilikwambia kabla,kuwa si tu kingereza bali hata lugha adhimu ya kiswahili huijui.

mtoto ako = mtoto aliye

Kenya anaeza = kenya anaweza

kukutoanisha = kukutoa

Jifunze kwanza lugha ya kiswahili halafu uombe mjadala na mimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Inabidi muwache ushindani wakijinga kwani united nation kwa wao slum ni sehemu yeyote ambayo haijapimwa, tatizo lilokuwepo Kenya especially in Nairobi watu wa hali ya chini hawana jinsi ya kujenga nyumba za bei nafuu
Wakati Dar Es salaam watu Wenye hali ya chini wanauwezo wakujenga.Kenya inabidi isaidie watu wake zaidi kwani Nairobi inaitaji nyumba zaidi ya 2 million za bei nafuu, inawezekana kujenga nyumba zote kwa kutumia Saccoss ilikuwapa watu mortgage za bei nafuu.
Watu wanaishi Slum za dar ni maskini tu kama wale wanoishi slumza Kibera...... hawana maji safi, mazingira masasi, au uwezo wa kiuchumi....... Lakini kinachofanya kibera iwe mbaya zaidi ni kwavile kibera ni mahali padogo sana ki jiografia (Ukilinganisha na hata mbuga ya wanyama ya Nairobi(Nairobi National Park NNP) ni 117square Kilometer wakati Kibera ni 2.5 sq.km) , hivyo kila kitu kimeshikana..... Tena ukumbuke Dar iko pwani -Upande wa pwani hua kuna design tofauti za kujenga, Mara nyingine si lazima uwe na simiti, Unaezajenga na udongo na ukuta flat nimeona hata mombasa vitongoo duni hua wanafanya hivyo.
---- Tofauti na kibera, pale wanaokaa kwa hayo mabati, si yao, wanakodisha na kulipa from 300,400-700Ksh kwa mwezi, ukipatengeneza unatengezea mkodishaji,mwezi ujao ukishindwa kulipa atakuhamisha!

Nilikua nasoma kuhusu dar nikaona mahali flani WB inasema suluhisho moja kupunguza uongezeko wa slum dar ni kupanua mipaka ya jiji kama vile swiden au sijui netherlands ilivyofanya...... Naona nairobi ikifuatilia hivyo na ikifanyikiwa kupanua mipaka ya mji pia tutatatua shida kadhaa, manake vile Nairobi ni ndogo, kununua shamba ekari moja ni zaidi ya pesa utakazotumia kujenga nyumba ndogo.. Wakiongeza jiji labda kutakua na nafasi ya kupumua..... Tena isitoshe, Nairobi Ni 684 skq.km wakati NNP ni 117sq.km hii inamaanisha 20% ya nairobi (ambayo ni ndogo tayari) ni mbuga ya wanyama!
nairobi-city-map.jpg

niarobi-map-2.jpg


Angalia nairobi, Mji mkubwa wenye watu wengi zaidi Kenya, huo mji na pia Mombasa imebewa mipaka midogo sana
Counties-in-Kenya.jpg


Kama Nairobi haitaongezwa mipaka basi ile mipango ya Nairobi Metro iharakishwe ili hata watu wa mapato ya chini wawe na uwezo wa kusafiri kila asubuhi na jioni kwa nauli ndogo kupitia treni au BTR kutoka metro region kwa county jirani kama Kajiado,Kiambuu, Machakos wakija Nairobi ili wawe hawana haja ya kuishi kibera ambapo wanaweza tembea hadi CBD wakitafuta kazi..


Alafu hayo mambo ya sijui morgage ya bei nafuu, hayata saidia, Tayari wakaazi wa kibera walianza kujengewa apartmets hapo kando ya kibera ambapo walikua watalipa bei nafuu(Nafikiri ilikua 1000 kwa mwezi 1 bedroom na 2k for 2 bedroom), Lakini mradi wenyewe ulionekana kufanya zero work, pindi wakazi wa kibera walipoanza kuhamishwa kwa hizo nyumba, walizikodisha 4K-5k kwa wakenya wengine na wakarudi kibera ya mabati ili wapate faida , Kwahivyo suluhisho la kuhamisha wakaazi wa kibera ni mwanzo uwapatie kazi itakayo lipa vizuri

apartment mpya za kibera ndo hizo hapo unaziona zilijengewa hata ukuta na barabara
Kibera 1.jpg
Kibera 2.jpg


Zile picha nimeona zikiwekwa hapa za kibera ni za kitambo, sasa kuna barabara (southern by-pass inapita kati kati ya kibera

Ukiangalia upande wa kushoto bado ni hizo appartment mpya zilizojengewa za wakaazi wa kibera, lakini kama nilivyosema, wengine wao walizikodisha na kurudi Kibera ya mabati

ukiangalia hapo wamesafisha wanataka kuongeza apartment zengine, lengo ni kuondoa kibera polepole, lakini serekali imegundua ni vigumu sana
dji_0343-mov-00_01_19_22-still001.jpg

KIbera.jpg
 
nilikwambia kabla,kuwa si tu kingereza bali hata lugha adhimu ya kiswahili huijui.

mtoto ako = mtoto aliye

Kenya anaeza = kenya anaweza

kukutoanisha = kukutoa

Jifunze kwanza lugha ya kiswahili halafu uombe mjadala na mimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

hahaha. you never seize to amaze me. jibambe mzae.
Americans and British both speak English but is their English the same??
Germans and Austrians both speak Deutsch but is the Deutsch spoken in both countries the same???
Jiulize kwa Kenya na Danganyika pis hilo swali kosha utapata jibu. sawa mwalimu? but msanii mkubwa kama Diamond (an A-list celebrity in Danganyika) "ku-murder" lugha ya Kiingereza ati "I feel so INCOMPLETED...." lolwhut????? apo ata mimi pia "ameni_moda" my friend. ivi sasa niko hosi nawekewa drip. You are not different anyway either.

[HASHTAG]#Utanipata[/HASHTAG] hosi
 
hahaha. you never seize to amaze me. jibambe mzae.
Americans and British both speak English but is their English the same??
Germans and Austrians both speak Deutsch but is the Deutsch spoken in both countries the same???
Jiulize kwa Kenya na Danganyika pis hilo swali kosha utapata jibu. sawa mwalimu? but msanii mkubwa kama Diamond (an A-list celebrity in Danganyika) "ku-murder" lugha ya Kiingereza ati "I feel so INCOMPLETED...." lolwhut????? apo ata mimi pia "ameni_moda" my friend. ivi sasa niko hosi nawekewa drip. You are not different anyway either.

[HASHTAG]#Utanipata[/HASHTAG] hosi
wallah sijakuelewa.hicho ni kiswahili nchi cha gani?, maana hata kile kibovu cha kikenya ambacho binafsi nakielewa,hakishabihiani na kiswahili chako.

rudi shule au jisajiri hata katika madarasa ya jioni (evening classes), ujifunze kiswahili ili kujiepusha na aibu.
 
Look at your "unplanned settlements". They look pretty eyesore, anywhere else they could be called be called slums!
Tena 70% ya dar iko hivyo! Hata sisi tunayo mapicha ya dar is slum, lakini hautatuona kila siku tunazunguka tukipost picha hizo kwa kila thread ya Tanzania
131122158_11n.jpg
131123789_11n.jpg
131123790_11n.jpg
residents-of-temeke-a-slum-in-dar.jpg


Kukinyesha mji mzima chini ya maji
384576_178622848902788_100002652237808_301636_1021502255_n.jpg
385053_10151085780495691_853815690_22444325_710119089_n.jpg
 
so ukichukua populations za only 3 slums in nairobi maana ziko nyingi nimechukua tatu tu
kibera 1 million + mathare 0.5million + makuru kayaba 0.7 million = 2.2 million people
so bado slums nyingi kama kariobangi, mwiki, umoja, guthurei, soweto, kisumu ndogo, etc
tunaenda taratibu maana mimi hua natibu kichwa kwanza kabla viungo vingine
Hahaha Hawa kwasasa wanatushinda vitu vikubwa 2
Slum na barabara 2
lingine Wizi
 
Tena 70% ya dar iko hivyo! Hata sisi tunayo mapicha ya dar is slum, lakini hautatuona kila siku tunazunguka tukipost picha hizo kwa kila thread ya Tanzania
View attachment 497955 View attachment 497956 View attachment 497957 View attachment 497958

Kukinyesha mji mzima chini ya maji
View attachment 497961 View attachment 497962
Kwanza naskitika kukwambia pole sana dar hakuna nyumba ya mabati kama hizo so rudia tena hizo picha ujue za wapi, nyumba za dar ni blocks hilo ulijue kwanza alafu dar hakuna slums wacha nikuoneshe sehemu slums zinapatikana
Hio ni nairobi amabyo munaita kichwa ya Kenya.
Sehemu kama hizo kwa huku Tanzania wanakaa nguruwe
😀😀😀😀somo limeingia enhhhh
83d10c8c9a2a39b23d8d06357e8029ff.jpg
Un-gout-ciel-ouvert.jpg
FF65B0883CA99C49C6938798E29EACFA.jpg
000003907_5.jpg
images (16).jpg
Boy-and-sewage.jpg
3 (1).jpg
images (20).jpg
garbage.jpg
 
Kwanza naskitika kukwambia pole sana dar hakuna nyumba ya mabati kama hizo so rudia tena hizo picha ujue za wapi, nyumba za dar ni blocks hilo ulijue kwanza alafu dar hakuna slums wacha nikuoneshe sehemu slums zinapatikana
Hio ni nairobi amabyo munaita kichwa ya Kenya.
Sehemu kama hizo kwa huku Tanzania wanakaa nguruwe
😀😀😀😀somo limeingia enhhhhView attachment 497973 View attachment 497974 View attachment 497975 View attachment 497976 View attachment 497977 View attachment 497978 View attachment 497979 View attachment 497980 View attachment 497981
Mungu huyu
kwahiyo hayo nimakazi ya wakenya!!
Da!!
 
Back
Top Bottom