Tanzania has approx 2 Million more people living in slums, than Kenya

safi mkaze ili watoke maana hayo si mazingira rafiki ni kimeo sana
 
kwanza hzi information mumetoa wapi yaonesha wakenya bado tanzania inawasumbua sana kichwa 😀😀😀😀😀😀😀

hvi slum zilizokua nairobi pekeake hata ungekusanya unplaned area zilizokua dar na sehemu zingine haziwezi fikia slum area ya nairobi, na siku zote tunajifunza kutokana na facts za ukweli
nairobi uraban area is only 696 km sq, so nataka kila mmoja kutokana na akili yake aangalie hio picha kwa makini then achukue 696 km sq divide with slum area and city area
kwa mtazamo wa haraka haraka city area nairobi haizidi 120 km sq iliobaki 576 km sq ndio slum area


mkishaelewa sasa ntakuja kukuonesheni population of each slum in nairobi yaani inaskitisha sijawah kuona
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
hebu take a look on kibera slum in nairobi maana tusianzie miguu wakati kichwa kinamatatizo makubwa na hio ni moja ya slums kubwa duniani


 
siwezi kuanza kutibu miguu wakati kichwa hakifai hehehehe umeoa slums za nairobi hebu divide with 696 km sq 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 wazee wa sifa

 
hatuwezi kutibu mikono wakati kichwa kimepasuka 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 nairobi slum

 

Nimeamini kweli aliyeshiba hamuoni mwenye njaa.
Nimesoma na kuona hizo picha hapo juu. Nimepata hasira zenye machungu.... na nikaanza kujiambia wakenya wa humu jf wanaongea utadhani wote wameshiba.... kumbe kuna watu wanaishi maisha magumu ambayo huwezi wazia kama kweli binadamu anaweza ishi hivyo.
 
And it is the fastest growing slum in the world
Hapana chezea mabepari ya kiafrika

wazungu sio watu wa kupindisha maneno.mmoja anasema "kibera is one of the world 5 largest slums".

mwingine ili kuwachanganya wakenya wasijue anamaanisha nini,kasema "among the fastest growing slums in east africa...watch out kibera".

kwa jinsi ninavowajua wakenya kwa kupindisha maneno,hapo kwenye fastest growing,watesema mzungu alikuwa anamainisha growing in terms of development but not poverty and poor life standards within the slums.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dar es Salaam slum zao za Kwa mfuga Mbwa uwezi zilinganisha na slum za Nairobi. Nairobi ni hatari. Kwanza Dar ni tu slum twa kuhesabu na twenyewe ukiingia unapita hakuna vinyeshi wala vibanda kama vya slums za Kenya
 
Unaweza kusema chochote utakacho kwasababu hakuna anayeweza kukuzuia kufanya hivyo na hiyo ni haki yako ya msingi kabisa....

Tatizo ni kuthibitisha usemacho,hapo ndipo kwenye tatizo kubwa sana kijana,can you do that?
..sijui wewe ni akili punguani ama?
 
asa huyo anawafunika wakenya kwa kuchapa english..kuchapia kitu cha kawaida isitoshe aiyo lugha yetu hata tukichapia powa tu hatuna habari....ili mradi kishaeleweka[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
umapanic buda,punguza kutoa povu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…