Tanzania hatuna Madaktari, tuna vishoka na makasuku

Mi mwenyewe waliniacha hoi kwenye janga la uviko. Yaani madokta wakiona mgonjwa anaingia hospitali akahisiwa kuwa na uviko wote wanatoka nduki kujificha utasema mgonjwa kaingia na vilipuzi kujitoa muhanga
Jamaa chenga sana hawa!

Hizi shule zetu tuziangalie vizuri kwa jicho la tatu!

Full ukanjanja na maigizo yaani!
 
Nimeandika MADAKTARI nikimaanisha hao wote uliowataja.

Wape jina lolote unalopenda, lakini ndio hao.

Nesi, MD, virologist sijui nani, wote hao. Kwenye COVID wote walitoka nduki.
 
Daaa

Shida ipo.
 
Sema ndio hivyo madaktari ni kama wamepewa umungu mtu kutokana na umuhimu wao na watu kudhani jamaa wanauelewa saana, nakumbuka siku Daktari anamruhusu mgonjwa wangu arudi nyumbani et atakuwa sawa tu kwa tiba aliyompa yeye tena huku ananihakikishia kabisa kuwa baada ya muda atakuwa sawa, kama si kujiongeza na kutochukulia daktari mungu mtu basi pengine yangekuwa maafa nyumbani ila nikampeleka Amana mgonjwa akalazwa.

Wanaokoa maisha ya watu hilo halipingiki ila kuna wakati wanacheza sana uhai wa watu.
 
Aah!bichwa komwe!
 
JF mada za kuwakandia madaktari na watu wote wa taaluma za afya zinapata airtime ya kutosha sana siku hizi.

Siku hizi imekua mtu akitaka thread yake itembee lazima alete hizo mada. Kama ndugu yangu Mpwayungu Village na walimu.

Endeleeni kuponda lakini nyie na ndugu zenu mkiugua ndio hawa hawa wataalamu wa afya mnaowaponda ndio mtakaowakimbilia wawatibu. Ni asilimia chache sana kati yenu mnaoweza afford matibabu nje ya nchi, hata Kenya tu hapo.
 
Mkuu tangu niambiwe Nazi na maembe vimepimwa na kukutwa na virus vya korono nimekuwa nikijifunza Utabibu huko mjini youtube,sahizi mebakiza tu kununua koti jeupe na miwani nianze kazi.
 
Ukitaka kuamini kuwa madakitali Tanzania wapo siku ukiugua au kuuguza weka hela mezani watakuzunguka kitandani kwako kama walivyo mzunguka nyerere kama huna hela watakuhudumia wanao jifunza udakitari
 
Mkuu tangu niambiwe Nazi na maembe vimepimwa na kukutwa na virus vya korono nimekuwa nikijifunza Utabibu huko mjini youtube,sahizi mebakiza tu kununua koti jeupe na miwani nianze kazi.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwanini mlijificha wakati wa corona?

Nyinyi sio wanataaluma huru, mnakopi na kupesti!

Mambo ya TWISHENI.
 
Ukitaka kuamini kuwa madakitali Tanzania wapo siku ukiugua au kuuguza weka hela mezani watakuzunguka kitandani kwako kama walivyo mzunguka nyerere kama huna hela watakuhudumia wanao jifunza udakitari
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuishi kwenye hii dunia kwataka kuwa na akili za ziada kung'amua mambo, dunia ina uongo mwingi sana yumkini hata kuwadanganya wasomi. Wengine tuna elimu ndogo lakini suala la corona tuliliona ni upuuzi tu na lingepita ki aina. Watu wangewekwa karantini wangeumia zaidi kwa kukosa chakula kwani hakuna drone za kutosha kudondosha chakula. Chakula chenyewe kingekuwa chepesi tu cha kulambalamba na ambacho hakishibishi. Watu wengi wangepata utapiamlo kwa kukosa lishe bora ambayo hupatikana kila siku masokoni. Cha ajabu upuuzi huu uliingia mpaka nyumba za kuabudia. Pumbavu sana nisingehangaika kwenda kusali kama kungekuwa na masharti yale ya kuvaa barakoa na kukaa mbali na wenzangu hiyo isingekuwa ibada bali ni mkusanyiko wa watu wenye hofu ya kufa na Mungu hayupo hapo kamwe. Wahuni wa dunia wanaweza wakazusha hofu tena duniani wakiamua kufanya hivyo
 
Bila NOTES ZA ULAYA hutoboi wewe! I am telling you!

NOTES ndo kila kitu kwako! Kichwa kimejaa MADESA YA KIZUNGU.

Mambo ya TWISHENI
yakheee!
Sawa Kuna ukweli ila sio Kwa madaktari tu inaonekana karibia Kila sehemu yenye utaalamu tupo hivi ila serikali yetu inawawezesha kufanya tafiti hao madaktari?

Maana ni gharama kufanya tafiti ata Kwa wahandisi pia hela ya kununulia vifaa ni kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…