BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
-
- #21
Jamaa chenga sana hawa!Mi mwenyewe waliniacha hoi kwenye janga la uviko. Yaani madokta wakiona mgonjwa anaingia hospitali akahisiwa kuwa na uviko wote wanatoka nduki kujificha utasema mgonjwa kaingia na vilipuzi kujitoa muhanga
Nimeandika MADAKTARI nikimaanisha hao wote uliowataja.Bichwa Komwe hujui maana ya Daktari. Daktari (MD) sio kazi yake kugundua magonjwa mapya. Inakupasa ujue fani nyingine za afya kama Virology, Molecular Biology, Immunology, etc. Na hakuna maabara Tanzania za kupima hivyo unavyotaka.
Madaktari hawapigi ramli kama unavyofanya wewe unavyopima UKIMWI kwa macho akiwa mnene ananawiri unadhani hana.
Shida ipo.Umechelewa sana kujua kwamba madaktari ni watu wa kukariri na ni wagumu kufikiri nje ya kile walichokariri ikitokea kufikiri nje ya box basi wenzie watamuona wa ajabu, ni kama watu waliyofundishwa kufikiri kwa aina moja tu. Hasa kwa afrika hali ndio mbaya zaidi bora kidogo huko kwa wazungu wapo waliyoacha kukariri na wameandika hadi vitabu.
Aah!bichwa komwe!Ninaliandika hili kwa tahadhari kubwa sana, natamani hata niandike kwa wino mwekundu kisha niligongelee muhuri wa mahakama ili kutilia mkazo.
Nchi hii haina madaktari wala wanaojiita wataalamu wa afya. Hawapo kabisa, hakuna hata mmoja. Nitaeleza.
Mwaka 2020 kulizuka kitu kilichopewa jina la corona. Tukapigwa timbwili la maana tukaambiwa tujifungie uvunguni hakuna kutoa pua nje, ati la sivyo tutaangamia.
Kila mtu akabaki amejibanza kama kifaranga, hata wanaojiita wataalamu wa afya wote wakafyata mikia huku wamejicha nyuma ya milango.
Kuna rafiki yangu mmoja anajiita daktari bingwa, anafanya kazi muhimbili nikamfwata nikamuuliza hili swala limekaaje, akaniambia hata wao hawajui cha kufanya, wanasubiri NOTES (MADESA) kutoka Ulaya. Bila kupewa NOTES ZA KUSOMA kutoka Ulaya hawajui cha kufanya.
Nikagundua kumbe yote wanayoyafanya na kuyaweza ni yale tu waliyoyakariri kwenye vitabu na kwenye NOTES za TWISHENI. Nasikia kuna jamaa yao wa PCB anafundishaga TWISHENI YA UDAKTARI hapo sijui mchikichini!
Kwahiyo likitokea jambo ambalo halipo kwenye NOTES ZAO za kukariri shuleni, TWAFA! Tumekwisha!
Mimi nilijua daktari ni mtu mwenye utambuzi, mwenye elimu pevu ambaye anaweza kung'amua jambo lolote kwa kadiri ya linavyokuja. Kumbe wao wanasubiri kusoma NOTES kutoka Ulaya.
Na hivi juzi, walikuwa wanasubiri kupewa NOTES kutoka WHO ili waelezwe corona ni nini! Wenyewe kama wenyewe hawawezi kufanya lolote mpaka wasome NOTES za Ulaya. Wanakwambia "tunasubiri maelekezo kutoka China".
Bila Magufuli ndugu zangu tungeangamia! Hawa wanaojiita madokta ni watu wa kutafuna mshahara tu na kujitwika makoti makubwa ya danganya toto.
Cha kushangaza, chanjo zilivyoletwa tu, wakakurupuka kwa kasi kutoka mafichoni ati wanajidai kutoa elimu kwa umma!!! Ati wanaelimisha!
bichwa lenye madiniAah!bichwa komwe!
Mleta mada ni mjinga asie jua analo liongea
Ukitaka kuamini kuwa madakitali Tanzania wapo siku ukiugua au kuuguza weka hela mezani watakuzunguka kitandani kwako kama walivyo mzunguka nyerere kama huna hela watakuhudumia wanao jifunza udakitariNinaliandika hili kwa tahadhari kubwa sana, natamani hata niandike kwa wino mwekundu kisha niligongelee muhuri wa mahakama ili kutilia mkazo.
Nchi hii haina madaktari wala wanaojiita wataalamu wa afya. Hawapo kabisa, hakuna hata mmoja. Nitaeleza.
Mwaka 2020 kulizuka kitu kilichopewa jina la corona. Tukapigwa timbwili la maana tukaambiwa tujifungie uvunguni hakuna kutoa pua nje, ati la sivyo tutaangamia.
Kila mtu akabaki amejibanza kama kifaranga, hata wanaojiita wataalamu wa afya wote wakafyata mikia huku wamejicha nyuma ya milango.
Kuna rafiki yangu mmoja anajiita daktari bingwa, anafanya kazi muhimbili nikamfwata nikamuuliza hili swala limekaaje, akaniambia hata wao hawajui cha kufanya, wanasubiri NOTES (MADESA) kutoka Ulaya. Bila kupewa NOTES ZA KUSOMA kutoka Ulaya hawajui cha kufanya.
Nikagundua kumbe yote wanayoyafanya na kuyaweza ni yale tu waliyoyakariri kwenye vitabu na kwenye NOTES za TWISHENI. Nasikia kuna jamaa yao wa PCB anafundishaga TWISHENI YA UDAKTARI hapo sijui mchikichini!
Kwahiyo likitokea jambo ambalo halipo kwenye NOTES ZAO za kukariri shuleni, TWAFA! Tumekwisha!
Mimi nilijua daktari ni mtu mwenye utambuzi, mwenye elimu pevu ambaye anaweza kung'amua jambo lolote kwa kadiri ya linavyokuja. Kumbe wao wanasubiri kusoma NOTES kutoka Ulaya.
Na hivi juzi, walikuwa wanasubiri kupewa NOTES kutoka WHO ili waelezwe corona ni nini! Wenyewe kama wenyewe hawawezi kufanya lolote mpaka wasome NOTES za Ulaya. Wanakwambia "tunasubiri maelekezo kutoka China".
Bila Magufuli ndugu zangu tungeangamia! Hawa wanaojiita madokta ni watu wa kutafuna mshahara tu na kujitwika makoti makubwa ya danganya toto.
Cha kushangaza, chanjo zilivyoletwa tu, wakakurupuka kwa kasi kutoka mafichoni ati wanajidai kutoa elimu kwa umma!!! Ati wanaelimisha!
ππππMkuu tangu niambiwe Nazi na maembe vimepimwa na kukutwa na virus vya korono nimekuwa nikijifunza Utabibu huko mjini youtube,sahizi mebakiza tu kununua koti jeupe na miwani nianze kazi.
Kwanini mlijificha wakati wa corona?JF mada za kuwakandia madaktari na watu wote wa taaluma za afya zinapata airtime ya kutosha sana siku hizi.
Siku hizi imekua mtu akitaka thread yake itembee lazima alete hizo mada. Kama ndugu yangu Mpwayungu Village na walimu.
Endeleeni kuponda lakini nyie na ndugu zenu mkiugua ndio hawa hawa wataalamu wa afya mnaowaponda ndio mtakaowakimbilia wawatibu. Ni asilimia chache sana kati yenu mnaoweza afford matibabu nje ya nchi, hata Kenya tu hapo.
ππππππUkitaka kuamini kuwa madakitali Tanzania wapo siku ukiugua au kuuguza weka hela mezani watakuzunguka kitandani kwako kama walivyo mzunguka nyerere kama huna hela watakuhudumia wanao jifunza udakitari
Kosa kamtaja shujaa aliyekufa kwa coronaMbona matusi mkuu? Kwani kadanganya? Ameongea alichoshuhudia. Pia amestaajabu ikiwa alichosikia ni kweli. Kosa lipo wapi hapo?
Inaonesha wewe ni mmoja waoNikafikiri una hoja kumbe takataka
bichwa lenye madin
Sawa Kuna ukweli ila sio Kwa madaktari tu inaonekana karibia Kila sehemu yenye utaalamu tupo hivi ila serikali yetu inawawezesha kufanya tafiti hao madaktari?Bila NOTES ZA ULAYA hutoboi wewe! I am telling you!
NOTES ndo kila kitu kwako! Kichwa kimejaa MADESA YA KIZUNGU.
Mambo ya TWISHENI
yakheee!