Tanzania hatuna Madaktari, tuna vishoka na makasuku

Tanzania hatuna Madaktari, tuna vishoka na makasuku

Ninaliandika hili kwa tahadhari kubwa sana, natamani hata niandike kwa wino mwekundu kisha niligongelee muhuri wa mahakama ili kutilia mkazo.

Nchi hii haina madaktari wala wanaojiita wataalamu wa afya. Hawapo kabisa, hakuna hata mmoja. Nitaeleza.

Mwaka 2020 kulizuka kitu kilichopewa jina la corona. Tukapigwa timbwili la maana tukaambiwa tujifungie uvunguni hakuna kutoa pua nje, ati la sivyo tutaangamia.

Kila mtu akabaki amejibanza kama kifaranga, hata wanaojiita wataalamu wa afya wote wakafyata mikia huku wamejicha nyuma ya milango.

Kuna rafiki yangu mmoja anajiita daktari bingwa, anafanya kazi muhimbili nikamfwata nikamuuliza hili swala limekaaje, akaniambia hata wao hawajui cha kufanya, wanasubiri NOTES (MADESA) kutoka Ulaya. Bila kupewa NOTES ZA KUSOMA kutoka Ulaya hawajui cha kufanya.

Nikagundua kumbe yote wanayoyafanya na kuyaweza ni yale tu waliyoyakariri kwenye vitabu na kwenye NOTES za TWISHENI. Nasikia kuna jamaa yao wa PCB anafundishaga TWISHENI YA UDAKTARI hapo sijui mchikichini!

Kwahiyo likitokea jambo ambalo halipo kwenye NOTES ZAO za kukariri shuleni, TWAFA! Tumekwisha!

Mimi nilijua daktari ni mtu mwenye utambuzi, mwenye elimu pevu ambaye anaweza kung'amua jambo lolote kwa kadiri ya linavyokuja. Kumbe wao wanasubiri kusoma NOTES kutoka Ulaya.

Na hivi juzi, walikuwa wanasubiri kupewa NOTES kutoka WHO ili waelezwe corona ni nini! Wenyewe kama wenyewe hawawezi kufanya lolote mpaka wasome NOTES za Ulaya. Wanakwambia "tunasubiri maelekezo kutoka China".

Bila Magufuli ndugu zangu tungeangamia! Hawa wanaojiita madokta ni watu wa kutafuna mshahara tu na kujitwika makoti makubwa ya danganya toto.

Cha kushangaza, chanjo zilivyoletwa tu, wakakurupuka kwa kasi kutoka mafichoni ati wanajidai kutoa elimu kwa umma!!! Ati wanaelimisha!
Dah kama kweli hamna daktari sasa haya mabusha yanayowalemea kina Malaria 2 adriz Ritz incharge ITR green rajab Accumen Mo na Adiosamigo yatatibiwaje? Ukizingatia wateule wanavyoendelea kupeleka moto mkali Gaza hawa wana wanamaumivu makali sana na mabusha yao.

Serikali iliangalie hili jambo kwa makini sana

Nyonzo bin mvule
 
Kuishi kwenye hii dunia kwataka kuwa na akili za ziada kung'amua mambo, dunia ina uongo mwingi sana yumkini hata kuwadanganya wasomi. Wengine tuna elimu ndogo lakini suala la corona tuliliona ni upuuzi tu na lingepita ki aina. Watu wangewekwa karantini wangeumia zaidi kwa kukosa chakula kwani hakuna drone za kutosha kudondosha chakula. Chakula chenyewe kingekuwa chepesi tu cha kulambalamba na ambacho hakishibishi. Watu wengi wangepata utapiamlo kwa kukosa lishe bora ambayo hupatikana kila siku masokoni. Cha ajabu upuuzi huu uliingia mpaka nyumba za kuabudia. Pumbavu sana nisingehangaika kwenda kusali kama kungekuwa na masharti yale ya kuvaa barakoa na kukaa mbali na wenzangu hiyo isingekuwa ibada bali ni mkusanyiko wa watu wenye hofu ya kufa na Mungu hayupo hapo kamwe. Wahuni wa dunia wanaweza wakazusha hofu tena duniani wakiamua kufanya hivyo
Kwamba Corona ilikua ni upuuzi?

Aisee. Sawa.
 
Sawa Kuna ukweli ila sio Kwa madaktari tu inaonekana karibia Kila sehemu yenye utaalamu tupo hivi ila serikali yetu inawawezesha kufanya tafiti hao madaktari?

Maana ni gharama kufanya tafiti ata Kwa wahandisi pia hela ya kununulia vifaa ni kubwa
Wajinga tu hao. Wanazani suala la Corona ni suala fikirishi. Kwamba kwakua ww ni daktari basu ukae sehemu tulivu utafakari na utuletee majibu
 
Ninaliandika hili kwa tahadhari kubwa sana, natamani hata niandike kwa wino mwekundu kisha niligongelee muhuri wa mahakama ili kutilia mkazo.

Nchi hii haina madaktari wala wanaojiita wataalamu wa afya. Hawapo kabisa, hakuna hata mmoja. Nitaeleza.

Mwaka 2020 kulizuka kitu kilichopewa jina la corona. Tukapigwa timbwili la maana tukaambiwa tujifungie uvunguni hakuna kutoa pua nje, ati la sivyo tutaangamia.

Kila mtu akabaki amejibanza kama kifaranga, hata wanaojiita wataalamu wa afya wote wakafyata mikia huku wamejicha nyuma ya milango.

Kuna rafiki yangu mmoja anajiita daktari bingwa, anafanya kazi muhimbili nikamfwata nikamuuliza hili swala limekaaje, akaniambia hata wao hawajui cha kufanya, wanasubiri NOTES (MADESA) kutoka Ulaya. Bila kupewa NOTES ZA KUSOMA kutoka Ulaya hawajui cha kufanya.

Nikagundua kumbe yote wanayoyafanya na kuyaweza ni yale tu waliyoyakariri kwenye vitabu na kwenye NOTES za TWISHENI. Nasikia kuna jamaa yao wa PCB anafundishaga TWISHENI YA UDAKTARI hapo sijui mchikichini!

Kwahiyo likitokea jambo ambalo halipo kwenye NOTES ZAO za kukariri shuleni, TWAFA! Tumekwisha!

Mimi nilijua daktari ni mtu mwenye utambuzi, mwenye elimu pevu ambaye anaweza kung'amua jambo lolote kwa kadiri ya linavyokuja. Kumbe wao wanasubiri kusoma NOTES kutoka Ulaya.

Na hivi juzi, walikuwa wanasubiri kupewa NOTES kutoka WHO ili waelezwe corona ni nini! Wenyewe kama wenyewe hawawezi kufanya lolote mpaka wasome NOTES za Ulaya. Wanakwambia "tunasubiri maelekezo kutoka China".

Bila Magufuli ndugu zangu tungeangamia! Hawa wanaojiita madokta ni watu wa kutafuna mshahara tu na kujitwika makoti makubwa ya danganya toto.

Cha kushangaza, chanjo zilivyoletwa tu, wakakurupuka kwa kasi kutoka mafichoni ati wanajidai kutoa elimu kwa umma!!! Ati wanaelimisha!
Hujatumia ubongo wako kufikiri vizuri mkuu!!

Mi ni mkemia sio dokta by the way!!

Ikitokea watu wachache hasta mia hawafiki wakajifungia maabara kutengeneza chemical mpya ambayo wanaijua wait pekee wakaja wakatupa sisi tulio nje ya maabara bila theory yeyote ile Basi hasta size na knowledge tuliyo nayo tutafeli kuitambua ninmchanganyiko was Nini hiyo kemikali ilitengenezwa!


Corona ni product ya watu wachache sana walijifungia maabara kutengeneza chemical fulani itakayoua watu kwa njia ya hewa Tena mania ya watu!walipofanikiwa wakagonga cheers kujipongeza!!ikawa siri Yao Waka release hiyo kemikali hewani na watu wakaanza kufa!!

Sasa daktari yeyote ingechukua muda hata was miaka hata 20 au 50kujua kile ni ni na kinauaje watu vile!!!huwezi kung'amua haraka vile!!

Hata ugonjwa wa tauni uliua sana ikachukua muda mrefu Sana kutengeneza notes zake na jinsi ya ku deal nao!!!


Nimejaribu kukujibu scientifically!!

Jpm alitumia mbinu ya survival of the fittest na struggle for existence coz alikua Hana namna kwa uchumi ulivyo!yaani was kufa wafe was kupona wapone!Bahati nzuri sisi tuna natural immunity ambayo ilisaidia japo wengine walikufa wengi tu na takwimu zikafichwa!!!watu.wa idara ya afya wanajua!!
 
kwasababu hauumwi umeshiba maharage yako unajijambia tu, unatoa ushuzi tu subiri uumwe au upate ajali utuandikie tena. Kweli we ni bwege
Nimewahi peleka mgonjwa wangu hapo MOI baada ya kupata ajali, pamoja na kukaa miezi karibia 2 na kulipa mapesa kibao nasikitika kusema kwamba mguu haukutengamaa mpaka leo.. So sad...
 
Wanachojua ni kutunywesha ma O.R.S tukiwatembelea majumbani mwao. Unatengewa juisi kwenye glass ya wine macho yanakutoka kwa hamu ya juisi ukipiga funda moja unakuta ni mchanganyiko wa maji na ors. Madokta punguzeni kuchukulia mambo serious mda wote
 
T
Bila mzungu afrika sijui tungekua katika hali gani?
Amini kuwa tungekuwa katika hali njema sana ila sio ya kulinganishwa na hao nguruwe weupe....tatizo linakuja kuwa tumeishaharibiwa kiasi kuwa ili tuseme tumeeendelea lazima tujilinganishe na wao....kifupi maendeleo ni kuwa kama wao...huo ni undezi.
 
Tungekuwa na madokta ungesikia mama kaupiga mwingi kapeleka madokta 100 UAE
Ila kwa kuwa sisi elimu yetu ni kukariri alipopewa ofa huko akasema ukweli na kupeleka wafanyakazi wa ndani na hiyo ndio size yetu
Kama PhD wetu walikunywa juice kutoka Madagascar kwa mbwembwe eti ni dawa ya Corona bado unaamini kuna elimu hapo
 
Sema ndio hivyo madaktari ni kama wamepewa umungu mtu kutokana na umuhimu wao na watu kudhani jamaa wanauelewa saana, nakumbuka siku Daktari anamruhusu mgonjwa wangu arudi nyumbani et atakuwa sawa tu kwa tiba aliyompa yeye tena huku ananihakikishia kabisa kuwa baada ya muda atakuwa sawa, kama si kujiongeza na kutochukulia daktari mungu mtu basi pengine yangekuwa maafa nyumbani ila nikampeleka Amana mgonjwa akalazwa.

Wanaokoa maisha ya watu hilo halipingiki ila kuna wakati wanacheza sana uhai wa watu.
Kuna ma Dr , wengine wanatibu kwa ku google kwenye simu [emoji19]
 
Back
Top Bottom