Tanzania hatuna Madaktari, tuna vishoka na makasuku

Tanzania hatuna Madaktari, tuna vishoka na makasuku

Ss km hamna madaktari mbona ukiumwa unaenda kutibiwa nao unaoita sio madaktari! Ok tufanye huumwi mke wako anapojifungua au mama yako alijifungua wewe kupita msaada WA haohao unaoita sio madaktari, why this!!
 
Ss km hamna madaktari mbona ukiumwa unaenda kutibiwa nao unaoita sio madaktari! Ok tufanye huumwi mke wako anapojifungua au mama yako alijifungua wewe kupita msaada WA haohao unaoita sio madaktari, why this!!
Watanzania wengi walio shindwa kutekeleza majukumu kwenye field zao hua a kazi ya kusagia kunguni au ku amplify failures za wengine.

Ukifuatilia mtoa maada he/she nothing good at anything.
 
Kiasi flani wanasaidiaa,ingawa kunamapungufu makubwa...mfano Jamaa yangu mmja Dactari akawa ananipa story Toka kwa madaktari ajira mpya aaase....kutibu wanasoma notes kwanza ndo wanamtibu client,wakikwama wanatafuta notes tena๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnlicheka kama mazuri.
 
Kuuliza jambo ambalo huna ufaham nalo ni analytical intelligence hiyo, ww huna.....
 
Back
Top Bottom