BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
-
- #61
ππππππ naelewa dada anguMkuu BICHWA KOMWE - heshima kitu cha bure binti yangu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kishoka IN CHIEF ππ€£πNakubaliana na hoja hii, Tanzania tuna vishoka sana mpaka nahisi Mama yetu naye ni kishoka tu.
Watanzania wengi walio shindwa kutekeleza majukumu kwenye field zao hua a kazi ya kusagia kunguni au ku amplify failures za wengine.Ss km hamna madaktari mbona ukiumwa unaenda kutibiwa nao unaoita sio madaktari! Ok tufanye huumwi mke wako anapojifungua au mama yako alijifungua wewe kupita msaada WA haohao unaoita sio madaktari, why this!!
Na mambo ya kina mondi zuchu konde kba umbea udakuTuko gudi kwenye simba na yanga.