Tanzania hatuna wachekeshaji bali tuna waropokaji, wengi ni kinyaa kuwatazama

Tanzania hatuna wachekeshaji bali tuna waropokaji, wengi ni kinyaa kuwatazama

mlevi piere anachekesha natural tu bila kufosi.. joti nae anachekesha sana .. japo kama hayupo serius sana now days

mc pilipili anatumia nguvu sana ila bado hucheki...

kuna watu wengi sana walazimisha kuchekesha watu...

now days nikitaka kucheka namwangalia piere tu...
Mamaa... hatari fire😂😂😂
 
Wachekeshaji Tz wapo wengi na wanajitahid sana sema sisi wenyewe stress kibao mpk mtu acheke inabid ufanye kazi ya ziada.
Nafasi ya 153 kati 156 ni hatari fire😂😂😂mtu mpaka ucheke ni shda.
Kwa hali hiyo inamanisha hata hao wachekeshaji wanakuwa na stress pia.
Kuna mmoja wao aliwahi kusema shida zetu ni kubwa kuliko vipaji vyao so wanatumia nguvu ya ziada kutuchekesha.
 
Mimi ni mpenda comedy sana hasa za nje. Awali nilikuwa nikizitazama hizi za Bongo za kina Kingwendu, Majuto n.k lakini sasa natazama za nje za kina Charlie Chaplin, Buster Keaton na wengine walio hai.

Ukitazama comedy ya MC Pilipili utagundua kuwa uropokaji ndio aliojaaliwa. Akina Kingwendu pia ndo walewale maneno mengi.

Comedy za bongo hovyo sana, wengi hawana vipaji na kazi zao hazina hata uwezo wa kushindana na soko la miaka hata 25 tu ya mbele.

Akina Tiny white, Erick, Kitale, Ringo hamna kitu.
Maufundi unakuja vizuri.
Mpaka Idris nae eti ni Comedian,duh bora hata ya RC wa Tabora Mwanri
 
wachekeshaji hawa niwapiga kelele tu
1. mkali wenu
2. mc pilipili
3... ongezea na ww
 
Wabongo stand up comedy bado sana, bora hata Cheka tu kidogo wanajitahidi ambako Deogratious na Nalimi nawaelewa sana, ila pilipili yule jamaa chenga sana kuchekesha ni ziro kabisa, ndo maana wajanja tunaangalia Churchill ya kenya kule Kuna jamaa anaitwa YY ni shidaa
Aisee Churchill wapo vizuri. Nilipokuwa Nairobi jumapili nilikuwa naihifadhi kuwaangalia. Sema wanazingualisaa lizima dk 20 ni matangazo. Hata kama ni ulafi wa pesa ule ni mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mpenda comedy sana hasa za nje. Awali nilikuwa nikizitazama hizi za Bongo za kina Kingwendu, Majuto n.k lakini sasa natazama za nje za kina Charlie Chaplin, Buster Keaton na wengine walio hai.

Ukitazama comedy ya MC Pilipili utagundua kuwa uropokaji ndio aliojaaliwa. Akina Kingwendu pia ndo walewale maneno mengi.

Comedy za bongo hovyo sana, wengi hawana vipaji na kazi zao hazina hata uwezo wa kushindana na soko la miaka hata 25 tu ya mbele.

Akina Tiny white, Erick, Kitale, Ringo hamna kitu.
Maufundi unakuja vizuri.


!
!
Mkuu Wachekdshaji Wapo Shazi. Jipe Muda Kufatilia Hotuba Za Viongozi Anzia Za Huyu Wa Dom Hutajutia Bundle Yako.
Vinginevyo Kwa Utawala Huu Hata Mr Bean Hawezi Kukuchekesha Mkuu
 
Mimi ni mpenda comedy sana hasa za nje. Awali nilikuwa nikizitazama hizi za Bongo za kina Kingwendu, Majuto n.k lakini sasa natazama za nje za kina Charlie Chaplin, Buster Keaton na wengine walio hai.

Ukitazama comedy ya MC Pilipili utagundua kuwa uropokaji ndio aliojaaliwa. Akina Kingwendu pia ndo walewale maneno mengi.

Comedy za bongo hovyo sana, wengi hawana vipaji na kazi zao hazina hata uwezo wa kushindana na soko la miaka hata 25 tu ya mbele.

Akina Tiny white, Erick, Kitale, Ringo hamna kitu.
Maufundi unakuja vizuri.


wenzako haturopokagi..... tunakunywaga ivo ivo bila sukari..... km unaona huyawezi nenda kwa jirani.... tuache tunaovumilia vya nyumbani..... maana makelele yako yatafanya hadi wengine wasusie na hiyo itapelekea vijana wetu kurudi mitaani kutukaba.

nikwambie kitu kimoja my friend..... ww ni mmoja kati ya watanzania ambao tuko negative kwa kila kitu hasa sanaa ya tanzania, mpaka imefikia wakati mtu anatizama kitu kwa jicho la kukosoa tu... sawa hatukatai kuna makosa mengi... lakini angalia changamoto watu wa sanaa ya tanzania wanayopitia ili kukupa kitu bora..... so, wapeni moyo, wakosoeni na muwape mawazo... kumbuka vijana wengi walioingia kule ni wale walioona hawana njia nyingine zaidi ya kutumia vipaji... so, km wewe ni muelewa wape njia mbadala, anzisha nyuzi za kuwahamasisha..... uone kama hujacheka hadi upsuke mbavu
 
mpoki kawa bishoo hana anachofanya zaidi ya kutoa shombo tu...
mc pilipili nae kuchekacheka tu
 
mlevi piere anachekesha natural tu bila kufosi.. joti nae anachekesha sana .. japo kama hayupo serius sana now days

mc pilipili anatumia nguvu sana ila bado hucheki...

kuna watu wengi sana walazimisha kuchekesha watu...

now days nikitaka kucheka namwangalia piere tu...
Joti yupo vizuri ila ananiboa tu akiigiza kama mwanamke shangingi
 
Back
Top Bottom