Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Tatizo ni kuwa na TISS wenye kupenda sifa mitaani.
 
Wabongo kwa peree!!!
Sasa Osama alivyowasumbua vile ndio azikwe baharini bila kuoneshwa hadharani,kina sadam hussein na muamar gaddaf waliuliwa hadharani tv zikiripoti mubashara..
Kwa Osama hiyo ni muvi Kama muvi zingine za Hollywood.
 
Ukiona hivyo ujue hao Tiss hawakubaliani na dreva wa hapo karibu na ferry ndio maana nyeti zinatembezwa nje ya mavazi...haiwezekani wawe watiifu kabisa kabisa wanafuata kanuni na taratibu Za kazi zao halafu yatokee haya.
 

Mkuu naomba uelezee hili jambo vizuri ikiwezekana lifunguliwe uzi
 
Wasaidizi wa Rais wana vifaa maalumu vya kunusa hatari,Wanaweza kudetect devices.Kitendo cha mtu kupita pale na Camera wakati walikataza jua hawa jamaa hawako makini.Any time hata Rais angeweza kuvamiwa
Ukiangalia vizur hio video pale mwishon
Utaona cm ndo ilitumika kurecord wala hata sii vifaaa maalum
 
Tis ya miaka ya mwalim ilikuwa haina juzi wowote maana mambo ya tecnonlogia Kama camera internet , mitandao ya Jamii hYakuwepo kwa hiyo hata kusambaa kwa taarifa haipakuwepo na pia taarifa ilikuwa mpaka ufunguo radio tanzania
 
Siku hizi wao ni kupangishia wanawake / watoto wa vyuo nyumba, kuwanunulia magari na kuwabwagia siri zote za kitengo. Watoto wa chuo nao wanawaambia mashosti zao. Basi raha tu. Taarifa zinapenya kiulainii.. wamekaa kuzurura beach kidimbwi kutafuta dogodogo. Wengine busy instagram kupost picha zao na kusaka mademu. Haki ya Mungu tumefika pahala pa hovyo sana.
 
Hiki kitengo inabidi kisukwe (reformed) kiustadi sana, la sivyo kinazidi kuwa bomu kubwa mno. Humo ndani kuna watu wanamaumivu yao - nahisi ya kunyanyapaliwa / kuona kama wananyanyasika.. wengine wanaonekana kama wanapendelewa.. wengine tu hawapendi mambo yalivyokuwa yanaendeshwa hapo kati, basi shida tupu. Mkuu wa Idara inabidi aangalie namna ya kukutanisha maslahi ya watu wake wote katikati. Sio kutega sikio kwa wapinzani na wakosoaji wa serikali mitandaoni.
 

Umeanza vizuri ila hapo mwisho sasa.. huyo si ndio muharibifu mkubwa! Unamsifia nini sasa.!
 
Unakosea unaposema MAAFISA WA ZAMANI hawa hawapo walishatolewa na MEKO ila hawa alionao sasa (MAMA SAMIA) ndio wanaoendelea hawa ndio awashughulikie maana yuko nao ndani wanampekenyua wanavotaka.

This statement really sounds like a defense statement !

Binafsi naendelea kujifunza...
 

This statement will never be taken for granted!
 

Statement 457 contradicts statement 458!

Hujaleweka kinagaubaga Chief!
 
Waziri kabudi mbona alisha maliza utata!!
 
Wabongo kwa peree!!!
Sasa Osama alivyowasumbua vile ndio azikwe baharini bila kuoneshwa hadharani,kina sadam hussein na muamar gaddaf waliuliwa hadharani tv zikiripoti mubashara..
Kwa Osama hiyo ni muvi Kama muvi zingine za Hollywood.
nafikir una miss the point hapo. sijaandika jinsi alivyo zikwa.
how the mission was carried ndio nilicho fafanua.

hiyo habari sijui lazikwa baharini sijui mbinguni.. mm sitaki kujua or kuwa interested.
 
Yah nimesoma post yake. anasema new technology will make tiss kuwa loyal.. i say this is very very wrong.
loyalt inakuja kutokana na ethics za kazi, na si technology unayotumia.

and nakubaliana na ww. kuwa replace hawa jamaa with new faces itachukua muda mrefu sana.
waanze kidogo kidogo ,and this time wa recruit kwa style ya zamani where they select the best of the best.
wasiwe influenced kuingiza watu na chama, viongozi ambao wanataka watoto au ndugu zao ndio wafanye kazi huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…