Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

nikurekebishe hapo. huwezi run heavy operation kama hiyo bila usalama wa taifa.
CIA walihusishwa, navy seals special operators.. pamoja na 106th special aviation squad.
though operation ilikuwa ya CIA.. navy seals wakiwa ni tactical team ya kuekeleza mission.

so ni joint opp. japo mission kama hii ilikuwa ya siri sana that watu wachache walijua. ila si wawili.
Wabongo kwa peree!!!
Sasa Osama alivyowasumbua vile ndio azikwe baharini bila kuoneshwa hadharani,kina sadam hussein na muamar gaddaf waliuliwa hadharani tv zikiripoti mubashara..
Kwa Osama hiyo ni muvi Kama muvi zingine za Hollywood.
 
Ukiona hivyo ujue hao Tiss hawakubaliani na dreva wa hapo karibu na ferry ndio maana nyeti zinatembezwa nje ya mavazi...haiwezekani wawe watiifu kabisa kabisa wanafuata kanuni na taratibu Za kazi zao halafu yatokee haya.
 
Mkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush Jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.

Mkuu naomba uelezee hili jambo vizuri ikiwezekana lifunguliwe uzi
 
Wasaidizi wa Rais wana vifaa maalumu vya kunusa hatari,Wanaweza kudetect devices.Kitendo cha mtu kupita pale na Camera wakati walikataza jua hawa jamaa hawako makini.Any time hata Rais angeweza kuvamiwa
Ukiangalia vizur hio video pale mwishon
Utaona cm ndo ilitumika kurecord wala hata sii vifaaa maalum
 
Ni kweli mkuu TISS ya miaka ya Mwalimu ilikuwa very well informed, patriotic na wana weledi ambao wananchi tulikuwa tunajivunia kwamba fanya lolote baya kwa nchi, siku zako zimehesbika.

Ni vizuri TISS wenyewe wakajitathmini kiutendaji ili warudi katika hali ile ya zamani.
Siku hizi utakuta kijana anatamba mitaani kuwa yeye ni TSS!
Kinyume kabisa na maadili ya kazi, mtu anajiexpose kwa kutamba, kumbe ndio ameharibu kazi kabisa.
Ukimkuta hata Uvinza ni lazima mtu aliyemtambia atamu expose.
Image mbaya iliyotanda sasa kuwa Kitengo, kuwa kazi yake ni kuwa watu wasiojulikana imeua sana imani ya wananchi.
Walirekebishe hili kwa haraka.
Tis ya miaka ya mwalim ilikuwa haina juzi wowote maana mambo ya tecnonlogia Kama camera internet , mitandao ya Jamii hYakuwepo kwa hiyo hata kusambaa kwa taarifa haipakuwepo na pia taarifa ilikuwa mpaka ufunguo radio tanzania
 
Siku hizi wao ni kupangishia wanawake / watoto wa vyuo nyumba, kuwanunulia magari na kuwabwagia siri zote za kitengo. Watoto wa chuo nao wanawaambia mashosti zao. Basi raha tu. Taarifa zinapenya kiulainii.. wamekaa kuzurura beach kidimbwi kutafuta dogodogo. Wengine busy instagram kupost picha zao na kusaka mademu. Haki ya Mungu tumefika pahala pa hovyo sana.
 
Hiki kitengo inabidi kisukwe (reformed) kiustadi sana, la sivyo kinazidi kuwa bomu kubwa mno. Humo ndani kuna watu wanamaumivu yao - nahisi ya kunyanyapaliwa / kuona kama wananyanyasika.. wengine wanaonekana kama wanapendelewa.. wengine tu hawapendi mambo yalivyokuwa yanaendeshwa hapo kati, basi shida tupu. Mkuu wa Idara inabidi aangalie namna ya kukutanisha maslahi ya watu wake wote katikati. Sio kutega sikio kwa wapinzani na wakosoaji wa serikali mitandaoni.
 
Mwamba ameongelea ethics za TISS za sasa zimebadilika sana??, Yaani mtu yupo Ubelgiji ndo anatoa taarifa za mjomba?? Ni ukweli usiopingika kuwa kuna kundi la watu hapo TISS ndo wamempa taarifa huyo jamaa wa Ubelgijj. Na hii yote ni kuwa TISS na huku ni mwana CCM.

Awe CCM kwa kazi maalumu tuu. Lkn siyo kuwa kindakindaki. Tunaitaji kuwa na Strong institution na siyo strongmen. Pumuzika kwa amani mwamba JPM! UlichokifanyaTz!

Kwa kila m tz wa kweli na mwenye machungu na nchi yake ni lazima akulilie kwa uchungu. Kazi umeifanya JPM! Umeiyachia Tz heshima hapa duniani na kwa familia yako kwa ujumla.

Umeanza vizuri ila hapo mwisho sasa.. huyo si ndio muharibifu mkubwa! Unamsifia nini sasa.!
 
Unakosea unaposema MAAFISA WA ZAMANI hawa hawapo walishatolewa na MEKO ila hawa alionao sasa (MAMA SAMIA) ndio wanaoendelea hawa ndio awashughulikie maana yuko nao ndani wanampekenyua wanavotaka.

This statement really sounds like a defense statement !

Binafsi naendelea kujifunza...
 
Siku hizi wao ni kupangishia wanawake / watoto wa vyuo nyumba, kuwanunulia magari na kuwabwagia siri zote za kitengo. Watoto wa chuo nao wanawaambia mashosti zao. Basi raha tu. Taarifa zinapenya kiulainii.. wamekaa kuzurura beach kidimbwi kutafuta dogodogo. Wengine busy instagram kupost picha zao na kusaka mademu. Haki ya Mungu tumefika pahala pa hovyo sana.

This statement will never be taken for granted!
 
Hiki kitengo inabidi kisukwe (reformed) kiustadi sana, la sivyo kinazidi kuwa bomu kubwa mno. Humo ndani kuna watu wanamaumivu yao - nahisi ya kunyanyapaliwa / kuona kama wananyanyasika.. wengine wanaonekana kama wanapendelewa.. wengine tu hawapendi mambo yalivyokuwa yanaendeshwa hapo kati, basi shida tupu. Mkuu wa Idara inabidi aangalie namna ya kukutanisha maslahi ya watu wake wote katikati. Sio kutega sikio kwa wapinzani na wakosoaji wa serikali mitandaoni.

Statement 457 contradicts statement 458!

Hujaleweka kinagaubaga Chief!
 
Unachekesha walionuna Chief!

Niulize waliomuua Ben Saanane kwani nina ushahidi gani kwamba kweli amekufa? Kuna mwili ulipatikana ama hata mabaki yake? Death announcement or even just death certificate ilitoka lini?

Eti Lissu aliuliwa wakenya wakamfufua!? You now making mockery kwa Mungu eeh? Mheshimiwa Lissu si alisema anawafahamu watesi wake and all those who attempted to murder him? Anasubiri nini kuwataja majina tuwatambue nao wapate stahiki yao?

Hizi mind games mnazocheza ain’t even worth anybody’s time basi tu!

Umesema mnaanza upya na liwalo na liwe, right?! Tupo, we are always watching! Kindly entertain us, please!
Waziri kabudi mbona alisha maliza utata!!
IMG_20210322_231348_161.jpg
 
Wabongo kwa peree!!!
Sasa Osama alivyowasumbua vile ndio azikwe baharini bila kuoneshwa hadharani,kina sadam hussein na muamar gaddaf waliuliwa hadharani tv zikiripoti mubashara..
Kwa Osama hiyo ni muvi Kama muvi zingine za Hollywood.
nafikir una miss the point hapo. sijaandika jinsi alivyo zikwa.
how the mission was carried ndio nilicho fafanua.

hiyo habari sijui lazikwa baharini sijui mbinguni.. mm sitaki kujua or kuwa interested.
 
Yah nimesoma post yake. anasema new technology will make tiss kuwa loyal.. i say this is very very wrong.
loyalt inakuja kutokana na ethics za kazi, na si technology unayotumia.

and nakubaliana na ww. kuwa replace hawa jamaa with new faces itachukua muda mrefu sana.
waanze kidogo kidogo ,and this time wa recruit kwa style ya zamani where they select the best of the best.
wasiwe influenced kuingiza watu na chama, viongozi ambao wanataka watoto au ndugu zao ndio wafanye kazi huko.
 
Back
Top Bottom