Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Osama kwan alipatikana utawala wa Obama? Nahisi kusahauMkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
Ndo jua sasa wale jamaa na misuti yao myeusi na miwani na microphone kumbe hamna kitu .TISS inatakiwa kuundwa upya na sio kuokota okota tuu.Jeneza na maiti sasa hivi ya Jiwe inazagaa mitandaoni.
Tena video kabisa. Hehehehe 🤣
Nchi hii watu wanatundika suti tu na miwani nyeusi 🤣🤣🤣
Hii idara tangu ndege iziuwe kule Bondeni, tangu mahindi yazuiwe tangu nisikie rwanda wanatengeneza simu ilinihali maligafi zinapita bandari ya DSM bila kutoa taarifa na analysis mapema ili kuzuia au kuweka figisu tusipatwe na mabalaa nikajua kazi yao ni kubeba maboksi yaliojaa kura zilizopigwa tayari.
nikurekebishe hapo. huwezi run heavy operation kama hiyo bila usalama wa taifa.Mkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
hii hali imetokana na ccm kupenyeza vijana wasio na quality ndani ya shirika.Na ndio maana nasema nchi haipo salama,kuna Vijana wa TISS siyo waaminifu wanatoa taarifa nje. Hii kitu siyo ya kuchekea kabisa ni hatari sana
vifaa maalumu vya kunusa? huwez nusa digital camera. + pale watu ni wengi sanaWasaidizi wa Rais wana vifaa maalumu vya kunusa hatari,Wanaweza kudetect devices.Kitendo cha mtu kupita pale na Camera wakati walikataza jua hawa jamaa hawako makini.Any time hata Rais angeweza kuvamiwa
Mkuu ninavyofahamu, TISS miaka ya 70s walikuwa wanawachukua vijana bright toka shule zinazo perform vizuri.Mwamba ameongelea ethics za TIS za sasa zimebadilika sana??, Yaani mtu yupo ubelgiji ndo anatoa taarifa za mjomba?? Ni ukweli usiopingika kuwa kuna kundi la watu hapo TIS ndo wamempa taarifa huyo jamaa wa ubelgijj. Na hii yote ni kuwa TIS na huku ni mwana CCM . Awe ccm kwa kazi maalumu tuu. Lkn cyo kuwa kindakindaki . Tunaitaji kuwa na Strong institution na cyo strongmen. Pumuzika kwa amani mwamba Jpm! UlichokifanyaTz! kwa kila m tz wa kweli na mwenye machungu na nchi yake ni lazima akulilie kwa uchungu. Kazi umeifanya jpm! Umeiyachia Tz heshima hapa duniani na kwa familia yako kwa ujumla.
Pengine nao ni TISS piaunamukota Msigwa unamuweka ikulu,una muokota Buhohela na Jafari Haniu unawaweka ikulu unategemea nini? uswahiba na kazi nyeti haviendani.
Huyo Mpiga Picture Kaachia Video Na Sura Ya JPM, Hatari Technology Inatisha MnoTecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.
TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.
Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.
Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Uruss.
Huyo Mpiga Picture Kaachia Video Na Sura Ya JPM, Hatari Technology Inatisha MnoTecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.
TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.
Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.
Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Uruss.