Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Wee vumilia utaiona tuwapi naweza kuiona sura na video ya jpm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee vumilia utaiona tuwapi naweza kuiona sura na video ya jpm?
doh.Wewe na kufahamu sana tuko wote kitengoni ulitolewa uvccm ukaja mbweni pale kusoma. Nakuangaliaga tu.
Kama hili lilitokea basi ni dhahiri kwamba wale watu wanaodai kupata taarifa kutoka ndani(serikalini) walizitengeneza tu baada ya kudokezwa kwamba hayo magari yameonekana mtaani.Mkuu kwa mfano kuna yale magari ya jeshi ambayo hutumika kwenye sherehe za uhuru au kuapishwa kwa marais au kubeba miili ya marais waliofariki... hayo magari yalionekana tangu jumanne wiki hii inayoisha yakitoka lugalo jeshini kuelekea mjini sasa wenye akili walipoyaona hayo magari wakaunga dots kwamba kuna jambo kwa sababu yale magari huwa hayaonekanagi hovyo tu mitaani.....
Fikiria Kama ole 7 baya n TISS unategemea nn huko ndan mkuuNdo jua sasa wale jamaa na misuti yao myeusi na miwani na microphone kumbe hamna kitu .TISS inatakiwa kuundwa upya na sio kuokota okota tuu.
Mzazi alikuwa hawezi kujua kazi ya mwanaye, ndugu wengine na majirani ndiyo kabisaa.Hakika,hii ni taasisi nyeti sana,inahitaji watu makini.Zamani hawa jamaa tulikuwa tunaishi nao mitaani miaka kumi lakin huwezi jua ni mtu wa TIS,lakin hawa wa siku hizi aaah tunawajua kabisa na ndio wanaotoa taarifa za ndani za Serikali. Kwa vyovyote vile ukiona taarifa za ndani za ikulu zinasambaa ujue hatuko salama.
Marekani kudukuliwa na Urusi sawaTecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.
TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.
Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.
Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Uruss.
Inaweza kuwa technic ya kufanya zoezi la kuwatambua lianze moja badala ya kuendelea pale lilipokuwa limefikaSio real vipi, one day wamevurugana wao kwa wao huko twitter wakaanza kuanikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mmmh!..TISS pia walivujisha video ya mazungumzo ya Tundu Lissu alipotembelewa na Mama Samia Nairobi Hospital.
..Usisahau waliodukua mazungumzo ya kina Nape Nnauye, January Makamba, Bernard Membe, na Abdulrahman Kinana.
..Sasa jiulize aliyekuwa aki-direct mambo hayo ya hovyo ni nani?
Jamaa anapiga supana huko ni nouma Sana , anaonyesha mpak charting za magroup ya ulinzi na usalama ...kwenye uchaguzi wa makamu wa Raisi kasimamia ukucha kwel kwel ...... Inavyoonekana watu wake wa karbu ni watu wa ikuluHii information source sio reliable 100% tena
Ni Rwandese sio RwandaneseRwandanese invansion in Tanganyika soon hili bomu linalipuka