Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

..TISS pia walivujisha video ya mazungumzo ya Tundu Lissu alipotembelewa na Mama Samia Nairobi Hospital.

..Usisahau waliodukua mazungumzo ya kina Nape Nnauye, January Makamba, Bernard Membe, na Abdulrahman Kinana.

..Sasa jiulize aliyekuwa aki-direct mambo hayo ya hovyo ni nani?
Niliwahi kusema siku moja. Aliyeasisi mchezo huo wa kuingilia/kudukua mawasiliano ya watu,.....ipo siku mchezo huo utageuka upande wake.
 
..TISS pia walivujisha video ya mazungumzo ya Tundu Lissu alipotembelewa na Mama Samia Nairobi Hospital.

..Usisahau waliodukua mazungumzo ya kina Nape Nnauye, January Makamba, Bernard Membe, na Abdulrahman Kinana.

..Sasa jiulize aliyekuwa aki-direct mambo hayo ya hovyo ni nani?
Hii inanifanya niamini sasa hata taarifa za kuugua na kifo cha Magufuli huenda Lissu alipewa na wasaidizi wa mama Samia?
 
Wasaidizi wa Rais wana vifaa maalumu vya kunusa hatari,Wanaweza kudetect devices.Kitendo cha mtu kupita pale na Camera wakati walikataza jua hawa jamaa hawako makini.Any time hata Rais angeweza kuvamiwa
Sielewi hawa vijana wanalindaga nn yaani kuna vijana unakutana anasema TISS uwezo wake tu wa kufikiri ni mdogo sana
 
Dah mama yetu Mungu akulinde na kukutia nguvu kuliongoza taifa letu,ikiwezekana safisha nyumba yote ,maana kwakweli haipendezi siri za nyumba yetu tukufu zikivuja kiasi hich ,Mungu muongoze Raisi wetu mama Samia
 
Huwezi kuzuia kuvuja kwa taarifa, kwa sababu ya kujua kuwa teknolojia. Mfano gari la kubeba maiti za rais zilionekana mchana kweupe ikitoka maeneo ya Lugalo kuelekea maeneo ya Makumbusho, watu wakapiga picha na kusambaza kwa kasi ya mwanga, wakaunganisha dots na kuanza kujua what goes on. Ingekuwa zamani na Simu zetu za phillips taarifa zaisingesambaa hivyo.. Halafu taarifa nyingi zilizovuja zilikuwa na maslahi kwa taifa. Sio kila mtu anapenda wachache wake nchi, Ndio maana wanaanika uozo
 
Zakamwamoba, nakubaliana na wewe ila kwa sababu tofauti na wewe.

Wewe unaona maadui kila mahala, mimi siwaoni hao maadui wengine unavyowaona wewe.

Maadui halisi ni hao hao unaodhani wanafanya kazi vizuri lakini kazi zao zinavujishwa na "maadui."

Adui mkubwa ni kukosa umakini katika jambo unalofanya.

Unafanya jambo huku hufuati utaratibu, miiko ya kazi hiyo; tayari wewe ni adui mwenyewe, huhitaji adui mwingine toka nje.

Kwa hiyo nakuomba, acha kulaumu na kutafuta adui asiyekuwepo. Himiza kazi za serikali zifanyike kitaratibu kama inavyotakiwa.

Kwenye kipindi cha Magufuli, siyo pekee aliyeweka taratibu pembeni, hata waliokuwa chini yake walianza kuachana na taratibu na kuanza kukata kona, ili mradi liende.
 
TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.

zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.

na huu ni mwanzo.tu.
Kuyajaza ma uvccm ndio kulikoleta hali hiyo wacha wavune walichopanda . Halafu kuna yale yaliyokuwa yanamlinda toka kwa Kagame vp bado yapo ?
 
Tecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.

TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.

Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.

Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Uruss.
share video ili tihakiki usemacho
 
Tecnojia ndio inafanya mambo yavuje haraka, zamani mambo mengi yalikuwa kwenye makaratasi.

TISS walizuia kabisa watu kupiga picha mwili wa Magufuli lakini leo kuna video inasambaa ikionyesha mwili wa Magufuli ukiwa kwenye jeneza.

Jamaa inaonekana alivaa kamera kwenye miwani ,kofia ama koti.

Tecnolojia imekuwa juu Sana Hadi USA wanalia Kila siku kudukuliwa na Uruss.
Eeenh,

Sasa kuna jambo gani la maana kuzuia mwili usipigwe picha? Alikufa kwa ajali mbaya hadii sura yake ikaathirika?
 
Jamaa anapiga supana huko ni nouma Sana , anaonyesha mpak charting za magroup ya ulinzi na usalama ...kwenye uchaguzi wa makamu wa Raisi kasimamia ukucha kwel kwel ...... Inavyoonekana watu wake wa karbu ni watu wa ikulu
Duh! Sasa hii ni hatari kwa taifa. Inaonesha kuna udhaifu mkubwa sehemu fulani
 
TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.

zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.

na huu ni mwanzo.tu.
Umeongea point sana.. sio TISS tu sekta nzima ya utumishi inaajiri kwa kigezo cha u ccm ndo mana kunakuwa na watumishi wasio na uwezo.
 
Kuna vitu vingine hauwezi kufanya siri hata uweke sheria kali kwenye hii dunia digito! Kifo uwezi kufanya siri. Jeneza linapotoka kuna watu, wapakiaji, dereva, wanao lipokea ikulu/hospital linapoifadhiwa hapo ikulu/hospital kuna wafanyakazi watakuwa wanaliona. Unaweza kuficha kwa masaa machache lakini sio siku utakuwa unajidanganya!!
Sasa walikuwa wanafanya siri ili nini?
 
Back
Top Bottom