General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Hata Whitehouse taarifa ambazo hazijakaa poa zinavuja..
Itakua za hapo magogoni?
Itakua za hapo magogoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa na akumbuke Watanzania halisi tunapendana pasipo kubaguana.Mkuu unakuwa mjinga kidogo.
Watu wasiporidhika ni vigumu sana kuwanyamazisha.
YOU CANT SILENCE THE WORLD.
Kwamba vyombo vingi vimenyamazishwa siyo kwamba watendaji wote wanaipenda hali hiyo.
Kila binadamu anayo nafsi inayomtuma kutenda sawa hata kama kuna watu hawapendi ukweli ujulikane.
Kwa mwendo huu wa usalama. nashindwa kuamini km Mwamba kafariki kifo chakawaida.Wasaidizi wa Rais wana vifaa maalumu vya kunusa hatari,Wanaweza kudetect devices.Kitendo cha mtu kupita pale na Camera wakati walikataza jua hawa jamaa hawako makini.Any time hata Rais angeweza kuvamiwa
Labda aliona wanaoficha taarifa wanapanga Mbovu akaamua awaumbue.Huwezi kumwita Lissu mzushi wakati anapewa taarifa za kweli, na siwezi mlaumu kwa hilo
Tatizo ni aliyempa taarifa huku akijua ameapa kutunza siri.
Natamani uendele kusimuliaMkuu haya ni mambo ya kawaida sana kwenye system ya watu wengi. Bush na Bush jr walimtafuta Osama zaidi ya 10yr bila mafanikio kosa Lao kubwa lilikuwa ni kushirikisha usalama wa taifa. Obama alifanikiwa kumpata baada ya kushirikisha watu wawili tu na yeye ni wa3. Vijana wakaanza mazoezi bila kufahamu wana mission gani.
Si wanataka sifa wachukue madam wetu mtaaani kisa usalama wa taifaNa ndio maana nasema nchi haipo salama,kuna Vijana wa TISS siyo waaminifu wanatoa taarifa nje. Hii kitu siyo ya kuchekea kabisa ni hatari sana
Sidhan kama itapendeza kutiendekea kuisambaza vile. Ila imechukuliwa kwa umakini sana raisi anaoneka vizuri kama vile anatabasamu kwa mbali kama kasinzia vile.Sorry, kama hutojali naomba unirushie Pm au hata unitumie link pm
Sent using Jamii Forums mobile app
TISSMkuu ni TISS sio TIS.
sorry mimi sina chama au interest na upande wowote ule. lakin ni nili highlight concern yangu kwa usalama.Mngekua na Nia njema kwa nchi na wananchi basi hata taarifa zao (wale waliovujisha kuwaletea through Lissu) mngewakatalia na kuwataja hadharani!
When you use the weakness of your opponent/rival as a weapon against them, you are no more or less low than them!
zinavuja at what rate? tuanzia hapo.Hata Whitehouse taarifa ambazo hazijakaa poa zinavuja..
Itakua za hapo magogoni?
Competence also is requiredKwani mtoto wa jombii haendi kusomea?