Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Nakumbuka by then membe alitahadharisha kwamba, sio kazi kubwa kutumia hackers ni suala pesa tu....

Unaenda duniani huko unaajiri hackers wako unawaleta dasilama wanakupigia mzigo
 
Yani ndio mchezo unakua hivyo vitengo vyote duniani vina kitengo cha information and disinformation.... yaani taarifa halisi na uzushi

Na hata jamaa amewapunguzia mzigo idarani kwenye kukipokea kifo cha jiwe imagine kingetangazwa kama suprise ingekuaje?
Kweli...mzigo ungekuja direct lingekuwa balaa jingine.
your smart mwamba
 
Twitter for iPhone , Twitter for iPad, Twitter for Mac siku hizi ile Android siioni tena huenda ikarudi naamimi wanaopambana nae wameacha kumundermine uwezo wake kama mwanzo huenda wakichanga karata vyema wanaweza kumjua siku za usoni....
Kama walishindwa kwa kipindi chote sidhani kama watatoboa...ila wakikomaa mambo yataenda

nahisi muda si mrefu ataachana na Iphone aendelee na Ipad + Mac + nyinginezo

Kiufupi ile akaunti imetrend sana siku za karibuni haswa mwishoni mwa 2019...
 
Maendeleo gani wakati zaidi ya 60% wanaishi chini ya mstari wa umaskini, bei za bidhaa ni kupanda kila uchao kwa sababu mfumuko wa bei uko juu. Nyie ndio wale wanaotambia unyonge.
 
Mapolisi wanaoiongoza ni Tiss walio Police au mimi ndio sielewi
 
Uko sahihi sana Chief, ila ukifatilia issue ya Tony Blair wa Britain kuhusu kusupport Vita ya Iraq utaelewa even technology can never overtake a human being!

Binaadam is way too complex hasa kama Ana lake jambo!
 
Tatizo lilianzia pale ambapo hao kitengo walianza kuchukua watu kutoka katika chama na siyo kuwa na mfumo wao unaojitegemea katika kuajiri..

Wakiweza kusafisha hilo basi wamefanikiwa.

Naomba kufahamishwa, kitengo kilianza lini kubeba watu tu kutoka kwenye chama bila vetting?

Najifunza....
 
Umesema kweli sana!

Lakini bado wapo kina Edward Joseph Snowden wengi tu na wengine are still in the making!

Technology and patriotism vinatakiwa viende Sawa kama pipa na mfuniko wake!
nimeipenda kauli yako. kwamba technology and patriotism lazima viende sambamba.
uko so so right.
but tufanye nn kufika hapo? kuna haja ya kuifumua taasis na kuisuka upya?
 
nimeipenda kauli yako. kwamba technology and patriotism lazima viende sambamba.
uko so so right.
but tufanye nn kufika hapo? kuna haja ya kuifumua taasis na kuisuka upya?

Kufumua taasisi na kuanza upya ni sahihi na pia sio sahihi!

Kwa kiasi kikubwa Patriotism kwenye mioyo ya wengi wetu imekufa kitambo sana (hata wahusika wa ulinzi na usalama sio wote ni patriots wa asili)

Kikubwa kwa sasa ni uwajibikaji uzingatiwe na hasiezingatia afanywe mfano! Binaadam ni matomaso kwa asili.
 
Issue ni kuwa na idara maalum na mkurugenzi wake maalum ambae ni top kwenye kila kona ya masuala ya teknolojia.

Bila hivyo si TISS, TRA, na idara zingine za serikali zina mifumo ya computer duni sana.

Teknolojia inabadilika kila masaa 48.

Idara ya ujajusi ya nchi yapaswa kuwa juu ya nchi mithili ya ndege aina Tai.

Tai akiwa angani aweza kuona kipanya kidogo sehemu isiofikika na akakifikia kwa speed ya ajabu sana kukikamata.

Hawajawekeza kwenye teknolojia na vijana welevu kwenye masuala hayo.

Kwa uhakika kabisa basi tuanze na waziri husika wa kitengo cha technology & infos!

Tupate mbobezi bora na sio bora waziri!
 
Inabidi tuwekeze sana kwenye teknolojia,nasisitiza tena tuwekeze kwenye teknolojia na tuanze kuwaandaa vijana wetu wenye 13yrs kwenye izi issue za tech toafauti na hapo kuna siku zitavuja taarifa ambazo zitazua taharuki hadi madhabahuni

Kweli investing in technology should be our number one goal as a Nation!

Kwa sasa watoto wanatakiwa wawe well informed na technology even as young as 4 years maana Binaadam wa sasa ni hatari mno! Japo sio salama kwao kiafya but in this technology era tuliyopo hakuna ujanja wala mjanja!
 
Ndio maana niseme watu wajiulize chanzo kikubwa cha huo uzalendo kushuka ni nini?

Sio wote waliopo hata katika huo mfumo walikua wakifurahishwa na yaliyokua yakiendelea...

Ni kweli sana huwezi wafurahisha wote lakini, when it comes to our nation’s security, patriotism is our self defense!

Kazi ipo! Japo sio kubwa kivile, tutafika tu!
 
Itakua wewe ni mgeni kumfuatilia huyo jamaa nikuambie tu hayupo Tanzania! Nikuongeze asilimia za uhakika kua 100% ila anapenyezewa taarifa

So ili kubalance mzani kuwa kuna muda anapewa tango pori na analipost na kusimamia bila kufuta

Na kuna muda anapenyezewa mzigo halisi!

Nikuambie tu kwanini hata matango pori huwa anapost? Sababu kuu ni kucheza pia na wafuata nyayo yani kuwapoteza wanaomfuatilia kujua taarifa zatokea wapi...

Note: 2019 huyu jamaa alitoa taarifa kuwa kuna boss mkubwa huko jikoni atang'olewa na kweli baadaye aliyekua DGIS Mr Modestus alibadilishwa! So jifunze kumsoma huyu mtu katikati ya mistari sio rahisi sana kumpata maana ni mtu smart sana kwa nilivyogundua

True to the core!

Sio rahisi ila ‘watapatikana’!
 
TISS imeingiliwa na wana siasa. haswa chama tawala. ukishakuwa kada wanakusukumizia huko.. hawajali kuhusu qualifications.

zamani TISS walikuwa wana recruit smart peoples tu. na kazi za weledi zilionekana.
lakin sasa hivi makada ndio usalama..nmatokeo yake tunapata watumishi wasio na weledi.

na huu ni mwanzo.tu.
Nilitaka nami Kuchangia Ndugu ila kwa haya Madini yako machache tu ya maana Umemaliza kila Kitu, Heko sana na sitakiwi tena Kuongeza niliyokuwa nayo.

Ulichokiwasilisha hapa Ukweli mtupu 100% Ndugu. Natama Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan aipitie hii post yako ili ajue wapi aanze napp. TISS ya sasa imeharibiwa na rotten and very bogus recruits tofauti na wale Weledi wa kweli kuanzia mwaka 2005 na kurudi nyuma ( tokea Uhuru wa Tanzania ) ambao ndiyo waliipa Idara Heshima na Kuheshimika si tu ndani ya Tanzania bali hadi nje ya Mipaka yetu.

Najua huu ni Ukweli Mchungu Kwao na hapa JF wapo wengi ila Wajitathmini na Wajirekebishe upesi. Idara imetoka nje ya Miiko na Misingi yake Mikuu ya Kiutendaji kwa Watanzania na Ustawi wao Kiujumla.
 
Siri zinavuja sababu ya teuzi zisizoangalia sifa stahiki wengi walichukuliwa watoto wa makada ma uvccm na waliokuwa mbele kutishia kushughulikia wapinzani sabaya type unategemea nn hapa.Kosa lililofanywa ni kuingiza siasa kwenye TISS wakapewa majukumu ya kuwashughulikia wapinzani so KILA mmoja akawa bize kumridhisha mteuzi Ili aonekane anafanya Kazi.
 
Mfumo watu wame resist mfumo waliokuwa wanautumikia kwa kuvujisha kila taarifa!
Mahela pia, kama watu wana njaa tusitegemee uzalendo wa kutunza siri, zitauzwa nje nje!

Hata wakitoa makamera na kufukuza watumishi wote, kama watakuwa na mfumo usiofurahiwa na wengi, mishahara ya ovyo, na kuajiri makada wa chama, tutegemee yale yale!

Sasa hivi hata nchi za Africa tulizozikomboa zinajiuliza kama zingechelewa kupata uhuru kama tungeweza kuwa wakombozi kweli??
Tupo uchi, tupo wazi, sad!

Everyday is Saturday............................... 😎


We have never been naked nor have we ever been open!

Usaliti wa wachache husiwajumuishe wote wanaopambana kufa na kupona juu ya Taifa letu!

Let’s be real! In a place where more than 20 peeps are supposed to stand with One , with a a truth or dare moment , comprising situations hazikwepeki!

Hasa “deal” likiwa nono haswa!
 
Back
Top Bottom