Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Nimekuelewa kabisa, kwamba:
1. Watengeneze VLAN yao peke yao Tanzania nzima
2. Watumie encryption---data zao zote ziwe zinakuwa routed zikiwa encrypted
3. Watumie PUK codes kuhakikisha simu-card zao ziko locked

Kwa hali ya namna hii. anayeweza ku-leakisha taarifa uwezekano mkubwa ni yule ambaye ni mmoja wao, kwa yule wa nje inakuwa SIYO KAZI RAHISI SANA, japo inawezekana pia
unadhani haqaja consider hili suala. probably wana vlan yao kama wao. ila sasa ni issue ya security.
kuna kitu kinaitwa social engineering. kinatumika sana na black hat guys.

always kuna mtu lazima atakuwa na acces na hiyo vpn. na watapitia hapo hapo. with or without his knowledge.
maybe itapunguza but haitotokomeza
 
Washamba bwana! siku zote njia zenu za kusolve matatizo zimekaa kinyume nyume! Inamaana ungepewa dhamana ndio ungeshauri hivi?
 
The worst thing is that even the Intelligence fraternity is divided according to their political allegiances!!! Ndio maana wakina Membe & co. waliweza kupata siri za serikali!!! Mama Samia ni lazima arekebishe hali hiyo nae atasaidiwa tu kama atabahatika kumpata makamu wa RAIS asiyetokana na makundi ndani ya ccm!
Issue ni kuwa na idara maalum na mkurugenzi wake maalum ambae ni top kwenye kila kona ya masuala ya teknolojia.

Bila hivyo si TISS, TRA, na idara zingine za serikali zina mifumo ya computer duni sana.

Teknolojia inabadilika kila masaa 48.

Idara ya ujajusi ya nchi yapaswa kuwa juu ya nchi mithili ya ndege aina Tai.

Tai akiwa angani aweza kuona kipanya kidogo sehemu isiofikika na akakifikia kwa speed ya ajabu sana kukikamata.

Hawajawekeza kwenye teknolojia na vijana welevu kwenye masuala hayo.
 
Wanaweza Sana kupambana na kina Lissu Sasa wale hawako ...... Jazeni
 
....nimekuwa kwenye system hizi muda mrefu, kwa kujua madhara hayo sina email, siko instagram wala sina twitter.
Wewe nawe acha kutuzuga, eti huna email, haupo twitter na instagram halafu upo hapa JF.

Kwa hiyo kuwepo jf ndio unajiona upo safe sana kwa kuwa unatumia jina la bandia?

Sasa kama huna email, hii JF ulijiungaje? Ulitumia option gani kujiunga JF? Namba ya simu? Unatuchukuliaje dogo? Hivi unajuwa unajadiliana na watu ambao wapo deep sana kwenye nyanja hii.
 
Wewe nawe acha kutuzuga, eti huna email, haupo twitter na instagram halafu upo hapa jf.

Kwahiyo kuwepo JF ndio unajiona upo safe sana kwa kuwa unatumia jina la bandia?

unatuchukuliaje dogo? Hivi unajuwa unajadiliana na watu ambao wapo deep sana kwenye nyanja hii.
Japo alipo ana smart phone. Muulize anaitumiaje bila email?
 
nikurekebishe hapo. huwezi run heavy operation kama hiyo bila usalama wa taifa.
CIA walihusishwa, navy seals special operators.. pamoja na 106th special aviation squad.
though operation ilikuwa ya CIA.. navy seals wakiwa ni tactical team ya kuekeleza mission.

so ni joint opp. japo mission kama hii ilikuwa ya siri sana that watu wachache walijua. ila si wawili.
CIA sio tu walihusishwa, wao ndo waliokua wachunguzi hadi wakahisi jamaa alipo pale Abbotab... plan za execution ndio zikaanza kuhusisha watu wachache saana
 
Chanzo cha tatizo ni kulazimisha matumizi ya nguvu kupita kiasi mahala ambapo ilitakiwa itumike akili tu. Hapo tunaita matumizi mabaya ya afya ya mwili
 
Chanzo cha tatizo ni kulazimisha matumizi ya nguvu kupita kiasi mahala ambapo ilitakiwa itumike akili tu. Hapo tunaita matumizi mabaya ya afya ya mwili
Viongoz wetu wamezoea kujadili matokeo na matatizo... hawajishughulishi kudhibiti chanzo.
 
Washamba bwana! siku zote njia zenu za kusolve matatizo zimekaa kinyume nyume! Inamaana ungepewa dhamana ndio ungeshauri hivi?
Sasa wewe kwa nini usiweke ushauri wako - ungekuwa yakinifu hata ID yako isingekuwa ya uficho "ni ishara ya utayari wa uhalifu".
 
Yaani uzuie bidhaa za mataifa mengine ili kuharibu uzalishaji wao?? Aisee, kumbe ndio maana mnaiita vita. Nawe unataka kuzuiwa namna hiyo ili uje hapa useme “vita vya kiuchumi”?? Huu ni ujinga!
Ndo hivyo mzee; Huko Tz ndo wanavyoita Vita vya Uchumi; Hawajui kwamba hata US, UK Bidhaa from china zipo, Hight Quality na Price affordable wananchi ndio watachagua.
 
Fikiria Kama ole 7 baya n TISS unategemea nn huko ndan mkuu

Sifa ya TISS kuwa kada wa chama tawala imetosha elimu utaijua hukohuko mkuu nan atashindwa kuvaa miwan nyeusi na kaunda suti kwa Sasa hvyo n vigezoHI
Eti hata Musiba nae alikujaingia TISS.
Yote aliyaleta Marehemu akidhani anaimarisha 'kujilinda' dhidi ya 'maadui' aliyokuwa anawatengeneza kila uchao.
 
Back
Top Bottom